I hope Wote wazima na walio wagonjwa Mungu awape Tumaini jipya wapate kupona na kurejea katika Majukumu yao Amina🙏
Tuje katika wazo
Mimi Ni kijana 24Yrs naishi Dsm kwa sasa hivi nimepata wazo la kuanza kuuza Vyombo vya kupikia kwa capital ya 400k tu .
Nahitaji kujua starting point
Mimi...
The D-Prize Global Competition is live and seeking new social entrepreneurs! D-Prize challenges bold new leaders to tackle extreme poverty. This year, as many as 30 teams will be awarded with up to $20,000 each to launch nonprofits or social ventures that can distribute proven poverty...
Mwaka 2012 nilibahatika kuhudhuria mafunzo fulani kuhusu biashara na uwekezaji.Mafunzo haya yalifanywa na wataalam ambao walikuwa wanalenga kuhamasisha uwekezaji ili kukuza biashara ndogo na za kati.Lilikuwa somo zuri sana.Katika moja ya mijadala tulizungumzia kuhusu vikoba na kwa hakika...
The peaceful demonstrations and attempts to seek freedom accross the World must continue until the plandemic/scamdemic is shut down. This is a life or death Civil Rights struggle against medical & political tyranny and evil power-grab by Ruling Elites based on a fake pandemic, fraudulent...
Kama umewahi au unamiliki kampuni basi maneno yafuatayo yatakuwepo katika msamiati wa maneno yako Share Capital, Authorized Share Capital, Paid up and issued shares. Maneno mengine ambayo utakuwa unayafahamu ni pamoja na maneno kama Limited Liability, n.k.
Kupata maana ya maneno haya ni rahisi...
Watanzania tulidanganywa sana, nimemaliza Master Degree in Development Economics (MDE), nimesoma cases nyingi za nchi zilizokuwa maskini kama sisi wakati tunapata uhuru lakini sasa zimeshaingia nchi zilizoimarika kiuchumi.
Ukiachilia mbali S.Korea, Malaysia n.k. Hata nchi za Afrika...
LOGISTICS OFFICER
Capital Limited is an international and highly respected mineral exploration drilling company with operations throughout Africa. An industry leader in safety with ambitious growth strategies, we are seeking applications for the following position by dedicated and professional...
“TANZANIA’S CAPITAL MARKETS.”
(ANOTHER UNEXPLOITED RESOURCE)
Tanzania being a lower middle-income country, as of July 2020 according to the World Bank; is trying to its level best to keep abreast with the ongoing changes in the various aspects of globalization, be it in...
MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system.
We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition, and paying only installation and set up cost. After handover system to you we will fix all problem...
POSITION DESCRIPTION:
North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit one Technical and Capital Officer to join Supply Chain team. The Successful candidate for this position will ensure that all mine purchases meet the necessary technical specifications and quality, identify, recommend source...
Wafuasi wa Rais Donald Trump wameandamana Washington Dc wakizingira Bunge lililopo Capitol Hill
Hatua hiyo imekuja mara baada ya bunge kumuidhinisha Joe Biden kama Rais ajaye wa #Marekani
Trump ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuwataka waandamanaji wasifanye vurugu
===
As Congress...
Habari wakuu.
Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.
Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari...
Moja ya majukumu makubwa ya Rais ni kusimamia vizuri mapato na matumizi ya serikali.
Lakini ana kazi ingine kubwa sana ya kusimamia mitaji ya umma ambayo pesa za serikali zimewekwa kwenye vitega uchumi mbalimbali kwenye mashirika ya umma na taasisi ii hiyo mitaji isife.
Tunakumbuka kwa marais...
Kenya accounted for the second largest volume of venture capital deals in Africa after South Africa between 2015 and 2019, helped by its position as the eastern Africa regional economic hub.
A report by the African Private Equity and Venture Capital Association (AVCA) on VC deals for the period...
Job Title: Tracking Supervisor – Transport
Job location: Dar es Salaam
Company Name: FQF Capital
Salary: Negotiable
Job Description:
* To work as Supervisor a team in the tracking call center and
function as a vehicle tracking operator.
* Responsible for monitoring and recording truck...
Nafikiria mwiba ukikuingia inahitajika hekima kuutoa. Nafikiri kuna kitu sio chema, yawezekana kabisa kabisa ushahidi walionao hawa wana wa MArikani kuhusu Makonda utakuwa ni mbaya sana hata kuing'oa Sirikali.
Nilipoona kesi ya Tundu Lisu ya kudai ubunge wake imetupiliwa mbali Mahakamani kwa...
Per Capital income; Singapore > 60 000 vs Tanzania < 2 000 USD!
Nchi ya Singapore na Tanzania tuna fanana karibia kila kitu isipokuwa Jiografia na Utamaduni lkn karibia kila kitu kipo sawa kuanzia aina ya Mkoloni, kipindi tulichopata Uhuru mpaka aina ya Mfumo unaotawala nchi zetu tuko sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.