High income generating, low investment capital

emalau

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
2,775
3,100
Wakuu kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu nimejifanyia analysis kujua kwa nini nina income kidogo ukilinganisha na mahitaji ya kila mwaka.

Katika kujifanyia fair anaysis nikapata vikwazo saba, one of them is that I'm not engaged in high income generating activities leave alone lacking regular / daily income.

Katika kutafuta majibu nikakosa majibu ya haraka lakini nikasema ngoja niwashirikishe wana JF ni miradi gani ambayo unaweza ukaanza nayo na mtaji mdogo say 10 - 15m ambayo inaweza kukuzalishia at least a net profit of 3 - 3.5M per month.
Nakaribisha mapendekezo na maoni.

wasalaam.
 
Ukiwa na mtaji halafu hujui cha kufanya, ni ubabaifu mkubwa.

Kama kweli unayo hiyo fedha basi ungekuwa unajua cha kufanya kwa sababu, njia ulizozitumia kuipata ungezitumia kuiongeza, na usingekuja kutafuta ushauri hapa.
 
Ukiwa na mtaji halafu hujui cha kufanya, ni ubabaifu mkubwa.

Kama kweli unayo hiyo fedha basi ungekuwa unajua cha kutanya kwa sababu, njia ulizozitumia kuipata ungezitumia kuiongeza, na usingekuja kutafuta ushauri hapa.
vipi kama kapewa mgao wa urithi? au kacheza bet au kahongwa?
 
miradi gani ambayo unaweza ukaanza nayo na mtaji mdogo say 10 - 15m ambayo inaweza kukuzalishia at least a net profit of 3 - 3.5M per month.
Fungua kanisa uza mpaka nyasi za upako watu watanunua
 
B
Ukiwa na mtaji halafu hujui cha kufanya, ni ubabaifu mkubwa.

Kama kweli unayo hiyo fedha basi ungekuwa unajua cha kutanya kwa sababu, njia ulizozitumia kuipata ungezitumia kuiongeza, na usingekuja kutafuta ushauri hapa.
Be open minded, siyo kwamba sina shughuli ya kufanya, i'm a consultant shughuli ambayo ni highly taxed lakini pia hela yake inaingia kwa msimu. Nataka kufanya shughuli tofauti ambayo inaweza kuwa na regular income
 
Ukiwa na mtaji halafu hujui cha kufanya, ni ubabaifu mkubwa.

Kama kweli unayo hiyo fedha basi ungekuwa unajua cha kutanya kwa sababu, njia ulizozitumia kuipata ungezitumia kuiongeza, na usingekuja kutafuta ushauri hapa.
Vijana kama wew mna mchango wa ovyo sana kwenye hili taifa,

Kwa hio kama kasave kwenye mshahara? Kama ana access ya kukopa hizo pesa? Kama ni za urithi? Kama kapiga deal la wizi? Kama kafanya biashara lakin hio biashara ipo on maturation point, so anahitaji another bizness ya kumkeep safe ?

Achen kuwa na michango ya hovyo bora mlale tu
 
Vijana kama wew mna mchango wa ovyo sana kwenye hili taifa,

Kwa hio kama kasave kwenye mshahara? Kama ana access ya kukopa hizo pesa? Kama ni za urithi? Kama kapiga deal la wizi? Kama kafanya biashara lakin hio biashara ipo on maturation point, so anahitaji another bizness ya kumkeep safe ?

Achen kuwa na michango ya hovyo bora mlale tu
Sasa michongo yote hiyo aliyopitia hadi kupata hiyo hela anashindwa nini kujua cha kufanyia?
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Sasa michongo yote hiyo aliyopitia hadi kupata hiyo hela anashindwa nini kujua cha kufanyia?
Haya nambie kama ni fedha kuna mtu kamwambia anamkopesha ?
Au kama ni fedha ya urithi?
Au ni saving za mishahara?
 
Sasa michongo yote hiyo aliyopitia hadi kupata hiyo hela anashindwa nini kujua cha kufanyia?
so you know each and every business just because you have the money? I find your argument ridiculous.
 
hapana hii ngumu sana,million kumi tu upate 3 milion NP.

Sikia mkuu,maendeleo ni mchakato,lazima uzike ela kwanza kwa muda mrefu then baadae ndio uanze kukusanya faida.

Kwa jinsi nilivyokusoma kwa haraka haraka mradi unaoufikiria ni biashara tu kwa maneno mengine udalali ambapo inakubidi uweke mtaji mkubwa ili upate faida hiyo.

Sasa sikia Mkuu kuna hichi kilimo cha perenial crops,angalia eneo utokalo/unaloishi kuna zao gani ambalo ni perenial crops.Jikite humo baada ya miaka mitano mkuu ya kuanza kuvuna zao hilo utakuwa mbali sana hizo net profit za 3 millions utakuwa unaziokota tu pesa unaenda kukutana nayo bank.
 
Back
Top Bottom