caf

The CAF Champions League is an annual continental club football competition run by the Confederation of African Football (CAF). The top club sides from Africa's football leagues are invited to participate in this competition, which is the premier club football competition in the continent and the equivalent to the UEFA Champions League. Due to sponsorship reasons, the official name is Total CAF Champions League, with Total Champions League also in use.The winner of the tournament earns a berth for the FIFA Club World Cup, a tournament contested between the champion clubs from all six continental confederations, and also faces the winner of the CAF Confederation Cup in the following season's CAF Super Cup.
Egypt's Al Ahly SC is the most successful club in the competition's history, having won the tournament eight times. Egyptian clubs have accumulated the highest number of victories, winning the title 14 times.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania FT: FAR Rabat 1-1 Mamelodi Sundowns | CAF Champions League Final | Prince Moulay Abdellah Stadium | Mamelodi yatwaa ubingwa | (2-1) Aggregate

    Ni mkondo wa pili wa Fainal ya CAF Champions League. Mechi ya kwanza iliisha kwa Mamelodi kuibuka na ushindi 1-0. Tuone leo hali itakuaje nani atabeba ndoo?
  2. JamiiForums Tanzania Mali 2 - 1 Tanzania | CAF U-17 AFCON | Morocco | 20/05/2026

    Michuano inaendelea. Group C ndio tuliopo. Dakika ya 30 ngoma imelala, tumepigwa 1 bila
  3. JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    Mtanange uko live Mamelodi wanaongoza 1-0. Kipindi Cha pili kinataka kuanza VAR haifanyi kazi. Refa anasema tukipige bila VAR, Mamelodi wanasema sawa, ila AS FAR RABAT wanasema hapana. VAR itengenezwe kwanza. Mechi imesimama mafundi wanashughulikia VAR. AFRICA KIVYETU VYETU
  4. JamiiForums Tanzania Angola 0 -3 Tanzania | CAF U-17 AFCON | Morocco | 17/05/2026, 16:00 EAT

    Mashindano ya Africa Cup of Nations (AFCON) kwa vijana wa umri chindi ya miaka 17, mwaka 2026 yameanza kutimua vumbi nchini Morocco kuanzia tarehe 13 May, 2026. Sisi Tanzania, vijana wetu wa Serengeti Boys wako kundi C, pamoja na Mali, Angola na Mozambique. Tushacheza mzunguko wa kwanza kwenye...
  5. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda CAF: Uganda Not Yet Ready for AFCON 2027

    Kampala, March 2026 – The Confederation of African Football (CAF) has flagged significant gaps in Uganda’s preparations to host the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), according to its official assessment as of February 2026. The report highlights challenges across stadiums, training...
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CAF: Kenya haina Kiwanja chenye sifa za kutumika AFCON

    Ripoti ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imebaini mapungufu makubwa katika viwanja vya Kenya vilivyopendekezwa kwa ajili ya mashindano ya AFCON 2027. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, hadi Februari 2026, hakuna kiwanja, kati ya viwanja vitatu vilivopendekezwa, kilichofikia viwango vya Daraja la 4...
  7. JamiiForums Tanzania SI KWELI Raisi wa FIFA Ametoa Masaa 72 Uongozi wa CAF kujiuzulu

    kumekuwepo na chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya facebook likiwa na nukuu ya kuwa rasis wa fifa gian infantinho ameta masa 72 kwa uongozi wa caf kujiuzulu Katika chapisho hilo ambalo limesambazwa kwenye mtandao huwa facebook lia nukuu ya ujumbe kama ufuatavyo” BREAKING NEWS...
  8. JamiiForums Tanzania CAF Champions League Inaendeleaje? Sijaifuatilia baada ya Kutolewa

    Nimesikia kuwa Al Ahly na Pyramid wameshatupwa nje. Vilevile Mamelodi wametwangwa kichwa na Stade Malien. Je, kuna taarifa zaidi?
  9. J

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Timu ya taifa ya Senegal imepeleka kombe la AFCON jeshini, baada ya CAF kutangaza kuipoka ubingwa wake na kuipa Morocco

    Naomba kupata msaada wa ufafanuzi
  10. JamiiForums Tanzania Patrice Motsepe kupigwa chini CAF kwa sababu ya kujihusisha na ufisadi

    Ni suala la muda tu. Rais wa CAF bilionea Patrice Motsepe yupo kikaangoni baada ya kuhusishwa na ufisadi wa kutisha ndani ya CAF. Wafuatiliaji wa kiintelejensia waliotega mitambo yao ndani ya shirikisho hilo wamegundua ufisadi wa kutisha unaomhusisha Motsepe moja kwa moja, akishirikiana na ofisa...
  11. JamiiForums Tanzania CAF President Patrice Motsepe Defends Decision to Strip Senegal of AFCON Title

    Patrice Motsepe, President of the Confederation of African Football, has defended the decision to strip Senegal of the AFCON title following their walkout during the final. The incident has sparked debate across the football community about discipline, sportsmanship, and the enforcement of...
  12. JamiiForums Tanzania Vilabu vyote vigome kushiriki michuano ya CAF kama vilabu vya Senegal vimetangaza kugoma

    SENEGAL NAO WAMETANGAZA VILABU VYAO VYOTE HAVITASHIRIKI MICHUANO YA CAF MPAKA WAPATE AOLN YA KOMBE LAO NGOMA BADO TAMU KUMEANZA KUCHANGAMKA
  13. JamiiForums Tanzania Imefahamika: Wamoroko walishinikiza CAF wawape ubingwa ili waweze kuandaa WAFCON, sababu nyingine mbili zisome hapa chini

    Ukweli ndio huo ndugu zangu waafrika. Imebainika hivyo ya kwamba michuano ya WAFCON kwa wanawake ilimsimamishwa ghafla kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi, ila imekuja kubainika ya kua kumbe wamoroko walitoa mashinikizo makubwa na vitisho kwa CAF kuhusu rufaa yao kua wanaitaji kushinda na wawe...
  14. JamiiForums Tanzania Senegal imeapa kukata rufaa ya uamuzi wa CAF kuwapoka ubingwa wa AFCON 2025

    Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limethibitisha kupokea uamuzi uliotolewa na Kamati ya Rufaa ya CAF kuhusu kupokwa ubingwa wa Kombe la Mataifa la Afrika 2025 FSF imepinga rasmi uamuzi huo ambao wanaona hauna msingi wa kisheria, upo kiholela na hauna uwiano. FSF inaamini kuna Ukiukaji...
  15. JamiiForums Tanzania Mambo yanatafakarisha sana haya. Nawaza Nawaza Nawaza tena. CAF

    Wanafiki wa siasa eti wanasema Game is won on the stadium 🏟? Wakati kwenye siasa game is not won by voters but who count the voters votes 🤔 Hongereni sana Morocco Pia soma Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco
  16. JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa na maamuzi ya CAF kumvua ubingwa Senegal

    Senegali walifanya tukio la aibu mbele ya wageni na dunia nzima. Wakati mpira wa Afrika ukianza kuimarika na kutazamwa na watu wote dunia wao Senegal hawakuona hilo na wala hawakuweza kufikiri nini kinafuata. Mpira ni biashara na hatima za maelfu ya watu unawezaje kufanya blander kama ile...
  17. JamiiForums Tanzania Tanzania kuilipa CAF kuwa mwenyeji wa AFCON 2027, ni utaratibu wa kawaida kikanuni, Kenya na Uganda nao wamefanya hivyo

    Kwa mujibu wa kanuni na mikataba ya uenyeji ya CAF, nchi inayopata nafasi ya kuandaa AFCON hulazimika kusaini makubaliano ya uenyeji yanayojumuisha majukumu mbalimbali ya kifedha. Miongoni mwa masharti hayo ni kulipa kile kinachoitwa “hosting” au “commitment fee”, ambacho ni ada ya makubaliano...
  18. JamiiForums Tanzania Orodha ya Waamuzi wa Afrika watakaochezesha mechi za FIFA World Cup 2026

    Shirikisho la soka barani Afrika (CAF), limetoa orodha ya Waamuzi wa Afrika na Maafisa wa VAR waliochaguliwa kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA 2026, huku maafisa kadhaa wenye uzoefu wakipata fursa ya kuwakilisha bara kwenye Mashindano makubwa zaidi ya Kandanda. Michuano hiyo ya Kombe la Dunia...
  19. JamiiForums Tanzania Nassoro Mwinchui ni Simba lialia lakini tumtayarishe kuchezesha CAF.

    Mwamuzi wa dabi ya tarehe 01 March ni Nassoro Mwinchui ingawa wote tunajua kuwa inaipenda sana Coastal Union na Simba ss na alishapewa adhabu mara nyingi kwa kuzipa upendeleo Simba na Coasta kwa vipindi vya karibukaribu vilivyofuatana. Alishawahi kutumwa mara nyingi kuchezesha mechi za Yanga...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bunge Lakataa Ongezeko la Bajeti ya AFCON 2027 Huku Kenya Ikiwa Bado Haijalipa Ada ya CAF

    Kamati ya Bunge ya Michezo na Utamaduni imekataa ombi la Wizara ya Michezo la kuongeza bajeti ya maandalizi ya AFCON 2027 kutoka Shilingi bilioni 3.5 hadi bilioni 5, ikisema sababu zilizotolewa hazitoshi. Wabunge walibainisha kuwa Kenya bado haijalipa ada ya lazima ya bilioni 3.5 kwa CAF...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…