brela

Brela (pronounced [brě̞la]) is a municipality in the Split-Dalmatia County of Croatia, population 1,771 (2001). The municipality consists of two villages: Brela and Gornja Brela. Village Brela is located on the Adriatic coastline of Dalmatia, about 15 km northwest of Makarska.
Brela is a tourist town located between the Biokovo mountain and the Adriatic Sea. It is known as the pearl of Makarska riviera. The pearl of Adriatic or the pearl of Mediterranean is the name given to the city of Dubrovnik. In 1968 Brela was crowned as "Champion of Adriatic" for high achievements in tourist activity.

The symbol of Brela is "Kamen Brela" (Brela Stone), a small rock island just off the main beach in Brela, the Punta Rata beach. In 2004, American magazine Forbes put the Punta Rata beach on the list of 10 world's most beautiful beaches, where it is ranked 6th in the world and 1st in Europe.

View More On Wikipedia.org
  1. MR SALMIN

    JamiiForums Tanzania Madhara na faida za kujisajili mtandaoni

    Je, ulishawahi kutapeliwa na kampuni iliyosajiliwa!? Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi. Mfano TRA na BRELA. TRA huweza kusajili TIN no. Bure mtandaoni na BRELA ukasajili kampuni mtandaoni. Hiii imesaidia vitu vingi...
  2. Tempus Fugit

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo matano (5) yanayoweza kufanya kampuni yako ifutwe na mamlaka nchini Tanzania

    Mnamo mwaka 2019 Tanzania ilifanya marekebisho ya sheria yake ya Makampuni ya mwaka 2002 na kuleta mambo kadhaa mapya. Marekebisho hayo yaliletwa na sheria ya “The written laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Act, 2019" Kifungu cha 10 cha sheria hii kilileta kifungu kipya cha 400A katika...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Serikali iwe makini na sheria mpya za kutoza kodi hasa BRELA, TRA N.K

    Kuna baadhi ya taasisi za serikali zinazokusanya mapato hivi karibuni zimepewa au kuanzaisha namna ya kuongeza mapato yao kupitia sheria mpya, Mfano BRELA wana sheria ya Kufile Beneficial Ower Details kabla 31, dec,21 kwa makampuni yote, na wanadai kutofanya ivyo faini yake ni...
  4. Liverpool VPN

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua ukweli wa mishahara ya BRELA

    .... Uzi ifutwe .... Moderator please delete
  5. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Kwa Mkurugenzi wa BRELA: Naomba kujua namba za simu za customer care staff wako zinazofanya kazi

    Mheshimiwa Mkurugenzi wa BRELA, Hizi ni zama za kidijitali, na tuko fourth industrial revolution. Lakini hapo kwako BRELA kuna tatizo. NImeingia mfumo wa ORS nimekwama, na hakuna namna ya kupata msaada wa haraka kutoka customer care office ya BRELA. Nimechukua namba za customer care staff...
  6. K

    JamiiForums Tanzania BRELA imerudi ilikotoka kwa kutoa huduma mbovu

    BRELA mmerudi kulekule enzi za Mwalimu za huduma mbovu. Kipindi Rais Magufuli hajafariki ilikuwa huwezi kukaa zaidi ya siku tatu baada ya kufile application yoyote bila kufanyiwa kazi na namba ya bosi ilikuwa kwenye website yao kwa sasa hadi mwezi watu hawajitingishi. Kuna umuhimu mkubwa wa...
  7. Planeti

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa usajili majina ya biashara BRELA

    Wakuu habari zenu, Nimeanza jana kujaribu kusajili Jina la biashara kwa mfumo wa Brela ORS. Nimejisajili vizuri tu ili kuendelea na hatua inayofata, sasa shida ndio imeanzia hapo.. Kila nikijaribu kupakia taarifa ili kuendelea na hatua inayofuata, wao hunigomea. Wanadai kuna taarifa...
  8. mama D

    JamiiForums Tanzania Serikali, Wizara, Halmashauri, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC) mkiendelea na kazi kwa mazoea mtaendelea kuwa wahujumu uchumi namba 1

    Nchi yetu imepita kwenye mabadiliko makubwa sana ndani ya miaka sita. Kumekua na mageuzi makubwa sana kiutawala na kiuchumi tangu 2015. Kukataa kwamba mfumo uliokuwepo kabla ya 2015 ulishavunjwa na hauwezi kurudishwa ni kujidanganya, kinachotakiwa ni sasa ni kutembea na mabadiliko kwa serikali...
  9. Stroke

    JamiiForums Tanzania Ili kuwasaidia Machinga, ipo haja ya kuvisajili vitambulisho vyao BRELA na kuwapa TIN

    Salaam wakuu, Moja wapo ya Initiatives za awamu ya tano katika kuboresha maisha ya watu wake ilikuwa ni kuwatambua na kuwaruhusu wafanyabiashara wadogo qadogo, jambo hilo lilifanikiwa kwa asilimia kubwa na kuiwezesha serikali kupata mapato yake. Awamu ya sita (6) imeonekana kutokuwa mbali sana...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Gharama za usajiri wa jina la biashara na kampuni BRELA

    Kufanya biashara bila kusajiriwa ni kosa kubwa kisheria, Fininnovation Limited itakusaidia kukuhakishia inakusaidia ili uweze kupata kampuni au jina la biashara muda mfupi. Mchakato mzima unachukua muda chini ya week moja kama hakutakuwa na marekebisho.
  11. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Brela ni Kizingiti, hawaendani na Kasi ya sasa

    Siku zote nimekuwa ninasoma habari za Brela, lakini nilikuwa sijui kama wana shida kiasi hiki. Nimeshuhudia mwenyewe. Kuna mtu anasajili kampuni zake tatu, miezi minne sasa bado anasumbuliwa majina. Kuna majina ali propose yalikataliwa ingawa hayakuwa yamesajiliwa (kupitia search) na sababu ya...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu BRELA ORS

    Hello, za muda huu wana jamvi, Nilikuwa nafanya application BRELA upande wa prepare e-application sasa nimekutana na changamoto kila ninavyotaka kuproceed inaniambia classes of shares Group must have only one item. naomba nieleweshwe ni nini nakosea? Shukrani
  13. Mbatizaji Mkuu

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Mtendaji Mkuu wa BRELA kuhusu kinachoitwa "Kukimbiza wawekezaji" kilichoandikwa JamiiForums

    Andiko hili nimeliona kwenye forums kadhaa, walau Wakili Msomi amekiri kwamba mfumo sasa upo stable. Kuhusu suala linalolalamikiwa, kwanza nikiri kwamba hoja zake Ni za ukweli na changamoto hii nilishaiona since day one. Mara kadhaa tumeeleza kuwa kuna kazi tunaendelea nayo ya system...
  14. F

    JamiiForums Tanzania BRELA ( Business Registration and Licensing Agency) kuna matatizo makubwa! Waziri wa Viwanda na Biashara tunakuomba uingilie kati haraka!

    Matumizi ya teknolojia yanapochukua nafasi kila mtu anategemea ufanisi kuongezeka! Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara. Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za...
  15. mama D

    JamiiForums Tanzania Rais, Mawaziri, Wakurugenzi bado kuna shida kubwa kwenye mchakato wa uwekezaji nchini

    Baada ya kuisoma ilani ya chama tawala CCM na kusikiliza hotuba ya rais alipokua anafungua bunge watanzania wengi tuliiona nia ya dhati ya serikali yetu kuboresha uchumi kwa kiasi kikubwa haswa kwa kuhakikisha wawekezaji wanapewa support na serikali kwa kujengewa mazingira mazuri na rafiki ya...
  16. Stroke

    JamiiForums Tanzania BRELA mnafanya vizuri ila boresheni utendaji kazi wenu

    Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza sana BRELA kwa maboresho katika utendaji kazi wenu mmekuwa active mno. Baada ya pongezi nije kwenye hoja ya msingi ambayo imenifanya kuandika waraka huu ikiwa ni namna mnavyodeal na applications za registration ya makampuni. Binafsi nimevutiwa na...
  17. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Huduma za Kusajili Kampuni, Majina ya Biashara kupitia Brela

    Je wewe ni Mjasiriamali unayetaka kurasimisha Biashara yako Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa kuisajili.Tutakupatia huduma zifuatazo kwa Gharama nafuu: Kwanza tutakushauri kuhusu muundo wa biashara...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Serikali iitazame vizuri taasisi ya Brela haiko karibu na Wananchi

    Members natumaini hamjambo. Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika. Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana...
  19. P

    JamiiForums Tanzania How to pay BRELA

    Jaman naombeni kuuliza unaweza kulipia BRELA baada ya kumaliza process zote
  20. C

    JamiiForums Tanzania BRELA Nimekwama kujaza muda wa mahesabu

    Salaamu Naomba kuuliza sehemu ya kujaza muda wa kupeleka return najaribu kujaza imekwama, je wenye ujuzi naomba msada inatoa ujumbe huu Accounting year to be only dates at the end of the month. / mwaka wa hesabu uwe tarehe tu mwisho wa mwezi. Nimejaribu kuweka tarehe bila mwaka yaani mwezi na...
Back
Top Bottom