brela

Brela (pronounced [brě̞la]) is a municipality in the Split-Dalmatia County of Croatia, population 1,771 (2001). The municipality consists of two villages: Brela and Gornja Brela. Village Brela is located on the Adriatic coastline of Dalmatia, about 15 km northwest of Makarska.
Brela is a tourist town located between the Biokovo mountain and the Adriatic Sea. It is known as the pearl of Makarska riviera. The pearl of Adriatic or the pearl of Mediterranean is the name given to the city of Dubrovnik. In 1968 Brela was crowned as "Champion of Adriatic" for high achievements in tourist activity.

The symbol of Brela is "Kamen Brela" (Brela Stone), a small rock island just off the main beach in Brela, the Punta Rata beach. In 2004, American magazine Forbes put the Punta Rata beach on the list of 10 world's most beautiful beaches, where it is ranked 6th in the world and 1st in Europe.

View More On Wikipedia.org
  1. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Brela ni Kizingiti, hawaendani na Kasi ya sasa

    Siku zote nimekuwa ninasoma habari za Brela, lakini nilikuwa sijui kama wana shida kiasi hiki. Nimeshuhudia mwenyewe. Kuna mtu anasajili kampuni zake tatu, miezi minne sasa bado anasumbuliwa majina. Kuna majina ali propose yalikataliwa ingawa hayakuwa yamesajiliwa (kupitia search) na sababu ya...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu BRELA ORS

    Hello, za muda huu wana jamvi, Nilikuwa nafanya application BRELA upande wa prepare e-application sasa nimekutana na changamoto kila ninavyotaka kuproceed inaniambia classes of shares Group must have only one item. naomba nieleweshwe ni nini nakosea? Shukrani
  3. Mbatizaji Mkuu

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Mtendaji Mkuu wa BRELA kuhusu kinachoitwa "Kukimbiza wawekezaji" kilichoandikwa JamiiForums

    Andiko hili nimeliona kwenye forums kadhaa, walau Wakili Msomi amekiri kwamba mfumo sasa upo stable. Kuhusu suala linalolalamikiwa, kwanza nikiri kwamba hoja zake Ni za ukweli na changamoto hii nilishaiona since day one. Mara kadhaa tumeeleza kuwa kuna kazi tunaendelea nayo ya system...
  4. F

    JamiiForums Tanzania BRELA ( Business Registration and Licensing Agency) kuna matatizo makubwa! Waziri wa Viwanda na Biashara tunakuomba uingilie kati haraka!

    Matumizi ya teknolojia yanapochukua nafasi kila mtu anategemea ufanisi kuongezeka! Hii imekuwa kinyume kabisa kwa BRELA, inaumiza, kuleta hasira na hasara sana kwa Wafanyabiashara. Mwaka jana mwezi wa nne 2020 nilianza mchakato wa kuhuisha taarifa za kampuni yangu ili kuomba leseni za...
  5. mama D

    JamiiForums Tanzania Rais, Mawaziri, Wakurugenzi bado kuna shida kubwa kwenye mchakato wa uwekezaji nchini

    Baada ya kuisoma ilani ya chama tawala CCM na kusikiliza hotuba ya rais alipokua anafungua bunge watanzania wengi tuliiona nia ya dhati ya serikali yetu kuboresha uchumi kwa kiasi kikubwa haswa kwa kuhakikisha wawekezaji wanapewa support na serikali kwa kujengewa mazingira mazuri na rafiki ya...
  6. Stroke

    JamiiForums Tanzania BRELA mnafanya vizuri ila boresheni utendaji kazi wenu

    Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza sana BRELA kwa maboresho katika utendaji kazi wenu mmekuwa active mno. Baada ya pongezi nije kwenye hoja ya msingi ambayo imenifanya kuandika waraka huu ikiwa ni namna mnavyodeal na applications za registration ya makampuni. Binafsi nimevutiwa na...
  7. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Huduma za Kusajili Kampuni, Majina ya Biashara kupitia Brela

    Je wewe ni Mjasiriamali unayetaka kurasimisha Biashara yako Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa kuisajili.Tutakupatia huduma zifuatazo kwa Gharama nafuu: Kwanza tutakushauri kuhusu muundo wa biashara...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Serikali iitazame vizuri taasisi ya Brela haiko karibu na Wananchi

    Members natumaini hamjambo. Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika. Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana...
  9. P

    JamiiForums Tanzania How to pay BRELA

    Jaman naombeni kuuliza unaweza kulipia BRELA baada ya kumaliza process zote
  10. C

    JamiiForums Tanzania BRELA Nimekwama kujaza muda wa mahesabu

    Salaamu Naomba kuuliza sehemu ya kujaza muda wa kupeleka return najaribu kujaza imekwama, je wenye ujuzi naomba msada inatoa ujumbe huu Accounting year to be only dates at the end of the month. / mwaka wa hesabu uwe tarehe tu mwisho wa mwezi. Nimejaribu kuweka tarehe bila mwaka yaani mwezi na...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 5 hakuna uzembe kwenye ofisi za umma? Help-Desk ya BRELA ina Ushahidi kamili

    Wandugu; Nipo kwenye mizunguko yangu ya kutafuta shekeli kwenye mji mmoja hapa nchini. Sasa hivi nipo kwenye daladala - wanaita mzunguko hapa - na nimemsikia jamaa mmoja akiongea na mwenzake kwa simu. Kwa kawaida sina mazoea ya kusikiliza mazungumzo ya watu, ila attention yangu kwenye...
  12. Janja PORI

    JamiiForums Tanzania Kwako Mkurugenzi mpya, BRELA mnafukuza wawekezaji

    Mwaka 2020 umeanza na fumua fumua ya hali ya juu pale BRELA lakini kwetu wadau wa BRELA na wadau wa wawekezaji tunaona ndiyo kwanza kero imeanza. Wakati wa KAKWEZI japo BRELA kulikuwa na urasimu na baadhi ya madudu lakini angalu mambo yalikuwa yanaenda, kwa sasa kusajili KAMPUNI Tanzania kwa...
  13. Syston

    JamiiForums Tanzania BRELA Online business name registration

    Guys nani amewahi sajiri jina la biashara Brela kwa huu mfumo wa online? anisaidie maana nimekwama kipengere cha kujaza majina na jinsia, niki hover mouse inaniletea haka ka alama 🚫, sasa nashindwa kujazahizo sehemu. Hii imekaaje au ndo mtaalamu wa IT brela anajitolea.
  14. F

    JamiiForums Tanzania Nini kimeikumba BRELA?

    Habari wakuu, Ni siku ya tano leo ombi lango la kufungua Kampuni halijafanyiwa kazi, status bado "making final decesion" naona hakuna tena email yao wala status change. Walisharudisha mara tatu nikafanya correction. Nina shida? Nahitaji Kampuni yangu ianze kazi mapema. Je nifanye nini wadau?
  15. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Serikali yafurahia Brela kusajili kampuni kimtandao

    SERIKALI imeridhishwa na utendaji kazi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kusimamia usajili wa kampuni na majina ya biashara kwa mtandao na inaandaa sheria kuboresha mazingira ya biashara. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezekezaji), Angellah Kairuki alisema hayo katika...
  16. VA Business Consultants

    JamiiForums Tanzania Usajili wa kampuni / biashara BRELA - Tanzania

    Unahitaji kufungua kampuni au biashara nchini Tanzania? Karibu VA Business Consultants tunatoa huduma za kusajili kampuni, jina la biashara, nembo za biashara (trade marks) na kutoa ushauri wa biashara katika hatua za kukamilisha urasimishaji wa biashara yako BRELA na mamlaka zingine. Wasiliana...
Back
Top Bottom