bongo flava

  1. Kindo Emmanuel

    JamiiForums Tanzania Gwair - Singida Dodoma (Lyrics)

    Singida, Dodoma... Man, I wish ungemuona, anavyojitingisha Jinsi nyuma alivyoshona Yeah! Singida, Dodoma... Yeah, mtoto amenona na anavyotetemesha Zaidi hata tranformer/ X2 (Verse 1) Yo! Kwa jina ni Irene, huyu bonge la queen Mtoto wa ku'shine kwenye cover za magazine Age yake ni kama twenty...
  2. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Kamusi ya Kiingereza ya Oxford (OED) yaongeza maneno 200 ya Afrika Mashariki

    Kamusi ya Kiingereza ya Oxford (OED) ambayo ni kamusi kubwa zaidi ya lugha ya Kiingereza imeongeza maingizo 200 mapya na yaliyosahihishwa kutoka Kiingereza cha Afrika Mashariki, ambayo kimsingi yanatumiwa nchini Kenya, Tanzania, na Uganda. Katika taarifa yake, OED ilisema kuwa lugha ya...
  3. bahati93

    JamiiForums Tanzania Msanii wa bongo fleva Marioo ana talent kubwa sana ya uundaji wa mashairi

    Gift and curse. Msanii wa bongo fleva Marioo ana talent kubwa sana ya uundaji wa mashairi. Kwa level ambazo yupo maneno yake yana nguvu kubwa mmno, yawezekana halifahamu hili. Ushaidi unaonekana pale anapopanda jukwaani watu wanaimba mashairi yake mwanzo mwisho. Sasa hatari nayoona kwa msanii...
  4. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo Flava star Harmonize arrested in Nairobi

    Bongo Flava Star Harmonize is reportedly under arrest in Kenya and is being held Kileleshwa police station, a day after headlining the Afrika Moja Concert at the KICC, Citizen TV has reported. Harmonize, who was supposed to leave the country on Sunday, was arrested after he reportedly failed to...
  5. new level

    JamiiForums Tanzania Mchawi wa Bongo Flava ni msanii, shabiki au media?

    Ngoja niwasaidie kuelewa MUZIKI na Aina yake naongea Kama mwandishi wa MUZIKI .. changamoto ata sisi waandishi tunapitia mtu anakupa beat ya amapiano au ya bolingo af anakwambia niandikie isound Kama ya mtu fulani. Kwa vile analipia mwandishi atajitaidi kuweka signal flan za asili za Aina iyo ya...
  6. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Historia Na maana ya Bongo Fleva

    Bongo Flava ni jina Mbadala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab...
  7. Mayunga234

    JamiiForums Tanzania Bongo Flava Battle: Rayvanny vs Marioo

    Now kuna Battle ya hawa Wasanii kati ya Rayvanny VS Marioo. Let discuss here do they deserve to be in Bongo Flavor Battle. Rayvanny Marioo
  8. Mayunga234

    JamiiForums Tanzania Soka sasa ina mashabiki wengi sana, imeanza ku-overtake Bongo Flava

    Mpira umeanza kuwa na mashabiki wengi sana hapa bongo ushaanza kuovertake bongo flavor usishangae baada ya miaka kadhaa bongo flavor ikageuka kuwa bongo movie kwa kukosa mashabiki. Wasanii angalieni hili kwa jicho la tatu Now kila mtu anashabikia mpira ata ambaye hajui mpira bongo now kuna...
  9. Mayunga234

    JamiiForums Tanzania Vanessa Mdee na Rotimi Watarajia kupata Mtoto wa Kiume

    Exclusive kabisa Vanessa Mdee na Rotimi wapata mtoto wa kiume baada ya kuficha kwa miezi mingi. === Staa Vanessa Mdee na mchumba wake, Rotimi kupitia mitandao ya kijamii wa Instagram wameposti ujumbe unaoshiria kuwa wanatarajia kupata kupata mtoto wa kiume hivi karibuni. Hayo yamebainika...
  10. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Muziki wa Tanzania: Wimbo gani ulikufanya kuwa shabiki au kumfuatilia msanii na kazi zake?

    Kwa ufupi huko zamani enzi za uzee wangu sikuwa kabisa mpenzi wala mtu wa mziki kabisa. Lakini mwaka 2009 au 2011 hivi ndipo nilipoanza kufuatilia na kuupenda mziki lakini, hayo yote yalikuja baada ya kusikia mziki mmoja mkubwa sana kwenye moja ya daladala iliyokuwa ikipita pembeni yangu na...
  11. Penologist

    JamiiForums Tanzania Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

    Salaaam wakuu, Nimekuwa nikisikiliza mziki wa bongo flava kuanzia enzi za takeu ikaja kiduku, ikaja ngololo hadi kufikia mpelekee moto. Ukweli ni kwamba hapo nyuma walianza vizuri kwa upande wa hiphop kina niger j na Mr.2 wakatengeneza njia wakaandika mashairi ya kuelimisha jamii na wengine...
  12. Dr am 4 real PhD

    JamiiForums Tanzania The Bongo Flava industry in Tanzania; Is still grow or decline?

    Tujadiliane kuhusu Bongo Flava industry ; Is still growing or declining industry? Ni nini Maoni yako kweny Tanzania music industry.
  13. bahati93

    JamiiForums Tanzania Lords eyes kama jigga kwa michano

    Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu) Pia nitaonyesha uhusiano wa michano yake na jigga Daah huyu jamaa anajua ukiachilia flow hatari haijawahi tokea...
  14. Deejay nasmile

    JamiiForums Tanzania Kuna aina ngapi za muziki?? Orodhesha unazozifahamu na baadhi ya nyimbo zake

    Mfano Sweete reggae --Busy signal-come over Hip hop--coolio-i see you when u get tgere Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine Country-kenny rogers-gamble Rnb-chris brown-with you Morden Taarabu--jahazi-najiamin .... .... ..... ..... .... Tuendeleee
  15. U

    JamiiForums Tanzania NEW Video: Rosa Ree - Kupoa {Official Video}

    Rapper wa Kike Tanzania Rosa Ree Ameachia Video ya nyimbo mpya inayoitwa - Kupoa Nimekuwekea hapa chini uitazame mtu wangu.
  16. Adamjuma94

    JamiiForums Tanzania Nani aliimba hii Ngoma?

    Huyu jamaa alikuwa ni bonge sio sana sema ana mwili wa kibabe fulani.Alitamba sana miaka ya 2000s Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu kinachonifanya niikumbuke ile video ndani kulikuwa na muigiza wa kike enzi hizo:Sandra Sasa ningependa...
  17. bahati93

    JamiiForums Tanzania B Dozen conflict of interest

    Habari comrades. Conflict of interest ni tukio ambolo taasisi ya jamii inapotumiwa kwa manufaa binafsi ya mwajiriwa wake. Kwenye hii mada taasisi ya jamii nayolenga ni kituo cha Radio Clouds FM na mwajiriwa wake anayeleta shida ni B Dozen al maruufu B Twangala, Hamisi Mandi na mengineyo. Hichi...
  18. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa bongo Harmonize na Vanessa katika dilemma kubwa

    WASANII WA BONGO HARMONIZE NA VANESSA KATIKA DILEMMA KUBWA. Mambo vipi wanajamii, Kuna choice nyingi sana mtu waweza kufanya pasipo pata wasiwasi wowote juu ya maamuzi yako, Lakini kuna mara unakuta unamachaguo mawili yote yenye kuwiana ulazima wake apo sasa ndipo dilemma anazaliwa. Nimekuwa...
  19. Two dimension array

    JamiiForums Tanzania Wimbo mpya wa Ali Kiba 'Hela'

    Habarini zenu. Msanii Ali Kiba anatarajia kudondosha nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la HELA itakayo anguka muda wowote kuanzia sasa Huko mitandao ya kijamii imefulika na kuwa na shauku kubwa juu ya ujio wa ngoma hiyo baada ya kimya cha muda mrefu tangu alipo achia ngoma yake ya mwisho...
  20. Barcelona763

    JamiiForums Tanzania Yupi ni msanii bora wa bongo flava kwa sasa?

    Msanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
Back
Top Bottom