bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,144
- 2,024
Gift and curse.
Msanii wa bongo fleva Marioo ana talent kubwa sana ya uundaji wa mashairi. Kwa level ambazo yupo maneno yake yana nguvu kubwa mmno, yawezekana halifahamu hili. Ushaidi unaonekana pale anapopanda jukwaani watu wanaimba mashairi yake mwanzo mwisho.
Sasa hatari nayoona kwa msanii wetu kipenzi ni pale anapotaja KIFO katika mashairi yake. Na nimeshasema maneno yake yana nguvu kubwa sana, kuna hizi ngoma zake mbili zina mashairi ya kuogyofya sana.
" Mbona ka nataka kufa, mbona ka sijielewi,"
" Maisha mafupi babe ..... - bia tamu"
Ushaidi kwamba maneno yanafanya ulitokea kwa Godzilla, one of great rap artist bongo. Kuna ngoma king zilla anasikika akisema " maisha mafupi - get high". pia Langa " maisha yenyewe mafupi mi nafanya starehe zangu"
Sasa hii iwe rai kwa watu wote maneno yanaumba.
____________
Dah huyu msanii hataki kabisa kunisikiliza, si mmesikia nyimbo yake ya Dear Ex.....
Eti bora kufa.
Msanii wa bongo fleva Marioo ana talent kubwa sana ya uundaji wa mashairi. Kwa level ambazo yupo maneno yake yana nguvu kubwa mmno, yawezekana halifahamu hili. Ushaidi unaonekana pale anapopanda jukwaani watu wanaimba mashairi yake mwanzo mwisho.
Sasa hatari nayoona kwa msanii wetu kipenzi ni pale anapotaja KIFO katika mashairi yake. Na nimeshasema maneno yake yana nguvu kubwa sana, kuna hizi ngoma zake mbili zina mashairi ya kuogyofya sana.
" Mbona ka nataka kufa, mbona ka sijielewi,"
" Maisha mafupi babe ..... - bia tamu"
Ushaidi kwamba maneno yanafanya ulitokea kwa Godzilla, one of great rap artist bongo. Kuna ngoma king zilla anasikika akisema " maisha mafupi - get high". pia Langa " maisha yenyewe mafupi mi nafanya starehe zangu"
Sasa hii iwe rai kwa watu wote maneno yanaumba.
____________
Dah huyu msanii hataki kabisa kunisikiliza, si mmesikia nyimbo yake ya Dear Ex.....
Eti bora kufa.