Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,469
- 11,906
Tujadiliane kuhusu Bongo Flava industry ; Is still growing or declining industry?
Ni nini Maoni yako kweny Tanzania music industry.
Ni nini Maoni yako kweny Tanzania music industry.
Inakufa kwan hakuna ushindan kwa Sasa na ubunifu hakuna mfano unaniwekeaj hemed kweny movie ya bong ya ngum ety ndio kamnda na kwel akae amuone yule mtoto wa mama
Watu Kama nyinyi mpogo tu tangu enzi za mitume......Tuachane na Bongo Fleva, si ungeandika Kiswahili tu mkuu kuliko kujiaibisha!
Sio umri wal majukum bali now wanakalia majungu tuu kuon nan katoa na akiibuka msanii chipukiz wananuondoa ulimwengun ili asije kua juuAll in all nimetafakari ushindani Ni mdogo
Pia hata wasanii wengi wakali wameacha kutoa japo Heat song....
Sijajua tatizo Ni umri au majukumu yamekua mengi.....
Very few good musicians. Most so-called musicians jusy sell hypes and noises using their propaganda media.Tujadiliane kuhusu Bongo Flava industry ; Is still grow or decline?
Ni nini Maoni yako kweny Tanzania music industry.
Kwa taarifa Yako nimeandika makusudi....Mleta mada usiforce lugha za watu