boda boda

Boda bodas are bicycles and motorcycle taxis commonly found in East Africa. While motorcycle taxis like boda bodas are present throughout Africa and beyond, the term boda boda is specific to East Africa. In Kenya, they are more frequently called piki pikis. Their ubiquitous presence in East African cities is the result of a number of factors including an increasing demand for public transit, the ability to purchase motorcycles on credit, and an influx of cheap imports from Indian manufacturers like Bajaj. In the countries where they are present, boda bodas can provide transportation options to riders and job opportunities to drivers while at the same time resulting in an increase in road hazards and collisions and unnecessary injuries and deaths.

View More On Wikipedia.org
  1. Frank Wanjiru

    TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

    Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani...
  2. Archival Sense

    KCCA Begins Midnight Road Clean-Up

    The Kampala Capital City Authority (KCCA) has launched a large scale road clean up exercise across Kampala beginning at midnight on March 7, 2026, in a move aimed at making the city cleaner and more organized. The night-time operation saw KCCA teams deployed to major roads and streets to remove...
  3. Eronda

    KCCA to end Bodaboda Mess in Kampala

    Following the ban of vendors along different streets on Kampala, KCCA embarks in the move to organize the Boda Boda industry. The Kampala capital City Authorities(KCCA) plans to ban unregistered Boda Boda from accessing the five city division of Nakawa, Rubaga, Kawempe, Makindye and Kampala...
  4. Genius Man

    Tetesi: Kuna magari yanakamata vijana ovyo kwenye magereji na vijiwe vya bodaboda kinyume cha sheria

    Tetesi kuna cruser zinakamata vijana ovyo kwenye magereji na vijiwe vya boda boda kinyume cha sheria. Nitoe wito kwa wananchi mnaweza kumalizana nao hawa ndio wauaji na watekaji tunaowatafuta. Ukiona kuna cruiser mtaani kwako haieleweki eleweki jua ndio watekaji wananchi wanapaswa kuwadhibiti...
  5. Mr Devil

    Nime gundua BODA BODA wetu wako vizuri sana kwenye ulengaji wa shabaha

    Kupitia misuko suko ya maandamano kuna jambo moja nime weza kuli gundua . BODA BODA wetu wako vizuri sana kwenye kulenga shabaha na kulinda upotevu wa risasi , kwani wahanga wengi uki achilia walio pigwa risasi wakiwa wame lala chini wengi wame pigwa risasi za kichwa . Ova and Out
  6. MIHULU

    Boda boda na wake zetu

    Aiseee leo nilimpeleka wife saloon na usafiri wangu, akanipa cash nijaze mafuta ili nimfate baadaye. Wote ni watumishi. Ile kamaliza, katuma text “nimemaliza,” nikaanza kujipanga nimfate, mara namuona kaibuka home. Nikamuuliza umekujaje, akasema kampigia boda. Nikamuuliza ulipo text ukaona...
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Vituko vya boda boda. Tupia picha au clip tufurahi/tucheke

    Weka picha ama clip ya bodaboda yenye maudhui ya kuchekesha ama kufurahisha
  8. Royal Son

    Boda boda ni hatari na nusu angalia hii video

    Boda boda baadhi yao sijui hawajui sheria au wanakuwa na haraka wanawahi wapi
  9. ELI COHEN

    Rai yangu ni picha za majeruhi hoi na kukatwa viungo kutokana na ajali za boda zisambazwe kwa hawa madereva boda boda labda wanaweza kubadirika.

    Yani boda boda na kujitoa ufahamu..:👇🏻
  10. W

    Boda boda wa KIVUKONI ni kero kubwa kwa watembea kwa miguu

    Boda boda wa KIVUKONI ni kero kubwa abiria watembea kwa miguu wanapata shida kutembea kwa uhuru hadi kuna Wakati mwingine wanaleta msongamano kwa kupaki bodaboda zao kati Kati ya barabara za watembea kwa miguu .Naomba Mamlaka husika iwataftie eneo maalumu kwa ajiri ya kusafirisha Abiria.
  11. Knock life

    Kama hakuna ulazima wa kupanda boda boda, usipande!

    Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
  12. BUMIJA

    Magari na boda boda vinatumaliza kimya kimya

    Wasalaam. Kila kitu kizuri kina ubaya wake. Kama ilivyo umeme, maji kukurestisha in Peace ni dakika 2. Magari na piki piki vinatumaliza sana now days. Unanunua kagari kako unavimba nako kanakurestisha in Peace. Ajali zimekua nyingi nowadays; sijui chanzo ni nini. Kuna hii matairi kubust nayo...
  13. Jamii Opportunities

    Boda Boda Delivery Driver at LZ Fish Suppliers June 2025

    Location: Dar es Salaam – Mbezi Beach, Mbweni, Bunju, Tegeta, Mikocheni, Masaki, Oysterbay, and surrounding areas Job Type: Full-time / Part-time / Contract Reports to: Transport Supervisor Job Summary: We are seeking a reliable motorcycle delivery driver to deliver goods to customers...
  14. ommytk

    Hivi kuwa boda boda mwisho umri gani nataka nikajribu upande huo maana hali tete

    Wadau msaada maana hali tete sikujipanga kimaisha naona naelemewa na maisha sasa naona kazi ya haraka ni boda boda Ila mimi umri umeenda sasa sijui naweza pambana uko
  15. M

    Heche Boda Boda wote kulipwa Pensheni,Lema kazi ya Boda Boda ni Laana

    Makamu mwenyekiti wa chadema akiwa anahutubia wananchi ameahidi ya kwamba sera ya chadema ni kuhakikisha ya kuwa kila boda boda hapa nchini analipwa pensheni .Je mzee Lema aataendelea na msimamo wake kuwa boda boda ni kazi ya laana?
  16. M

    Boda Boda wote kulipwa Pensheni,Lema kazi ya Boda Boda ni Laana

    Makamu mwenyekiti wa chadema akiwa anahutubia wananchi ameahidi ya kwamba sera ya chadema ni kuhakikisha ya kuwa kila boda boda hapa nchini analipwa pensheni .Je mzee Lema aataendelea na msimomo wake kuwa boda boda ni kazi ya laana?
  17. Amani Girls Organization

    Boda Boda Hero: Pius Takes a Stand for Girls' Rights

    Pius, a boda boda rider from Bwiru B – Mwanza, has shown tremendous change in protecting his community against acts of gender-based violence and exploitation. One day, while going about his business and carrying a passenger, he came across an older woman beating an adolescent girl by the...
  18. ELI COHEN

    Ukitaka kujua wengi wao wa hawa wenzetu boda boda hawako stable katika fikra zao tazama hii video aliopost Samatime

  19. W

    PreGE2025 Bodaboda waaswa kutotumika kisiasa mwaka huu wa uchaguzi

    Maafisa Usafirishaji (Madereva bodaboda) wametakiwa kupambana dhidi ya vitendo vya rushwa kwa kutokuwa tayari kutumika kwa namna yoyote katika vitendo vya rushwa katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi mkuu 2025. Wito huo umetolewa leo Aprili 17, 2025 na Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma TAKUKURU...
  20. C

    Polisi wapita Vijiweni na kutishia madereva boda boda, wawaone kwenye misafara ya CHADEMA

    CCM kama hamtaki bora ipitishwe sheria bungeni ya kufuta upinzani , haiwezekani muanze kutuma askari polisi wapite kwenye vijiwe vya bodaboda na kuwatisha kuto shiriki kwenye mikutano na mikusanyiko ya upinzani kwanini mnawapangia wananchi ?
Back
Top Bottom