Magari na boda boda vinatumaliza kimya kimya

Magari na boda boda vinatumaliza kimya kimya

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,238
Reaction score
11,907
Wasalaam.

Kila kitu kizuri kina ubaya wake. Kama ilivyo umeme, maji kukurestisha in Peace ni dakika 2. Magari na piki piki vinatumaliza sana now days. Unanunua kagari kako unavimba nako kanakurestisha in Peace.

Ajali zimekua nyingi nowadays; sijui chanzo ni nini. Kuna hii matairi kubust nayo huchangia sana. Je, matairi hayajatengenezwa vizuri au?

Nini kifanyike kupunguza ajali?

images (69).jpeg
 
Magari na pikipiki yameongezeka ukilinganiasha na miaka ya nyuma hivyo tutegemee hata ajali nazo kuongezeka. Ingawa sababu kubwa inaweza kuwa uzembe wa ma dererva hasa bodaboda.
 
Kwa teknolijia ya miaka hii tairi hazipasuki sana bali zina isha tu upepo taratibu na unaweza kulipak na kuweka lingine ukaendelea na safari
 
Umeshawahi kutafuta takwimu wa watu waliofariki wakiwa wamelala tu???!! Kifo hakiepukiki muda wako ukifika umefika tu, unaweza ukapaliwa hata na chakula na huo ndio ukawa mwisho wako.
 
Gari ya mchezaji wa Liver
 
Watu wanazungumzia vifo tu ila majeruhi wa ajali wanaopata ulemavu wa kudumu hasa jeraha la uti wa mgongo ni shughuli pevu nyingine kwenye familia.
 
Watu wanazungumzia vifo tu ila majeruhi wa ajali wanaopata ulemavu wa kudumu hasa jeraha la uti wa mgongo ni shughuli pevu nyingine kwenye familia.
Tena saa nyingine unatamani ungekufa kuliko mateso na kua omba omba
 
Hii gari ni bei mno.Najiuliza kwanini wasiweke material hata kumkinga mtu? Sa ina tofauti gani na hizi gari za rahisi?
FB_IMG_1751567980364.jpg
 
Back
Top Bottom