Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,832
Bi Mercy Banda amepewa talaka yake na mahakama baada ya kumburuza mumewe Chipo Lukena kortini akimdai talaka kutokana na kukithiri uzinzi.
Bi. Lucy katika madai yake ametolea mfano mumewe kumpeleka mchepuko wake nyumbani na kumtambulisha kama binamu yake. Mume alikiri tuhuma hizo.
Baada ya kusikiliza pande zote, mahakama ilisema pande hizo zina tofauti ambazo haziwezi kupata suluhu na kuamua ndoa hiyo ivunjwe.
Ndoa ya wawili hao imedumu miaka 10 lakini matatizo yalianza ndoa ikiwa na miezi 9.
Zaidi, jisomee=▷ Hapa
Bi. Lucy katika madai yake ametolea mfano mumewe kumpeleka mchepuko wake nyumbani na kumtambulisha kama binamu yake. Mume alikiri tuhuma hizo.
Baada ya kusikiliza pande zote, mahakama ilisema pande hizo zina tofauti ambazo haziwezi kupata suluhu na kuamua ndoa hiyo ivunjwe.
Ndoa ya wawili hao imedumu miaka 10 lakini matatizo yalianza ndoa ikiwa na miezi 9.
Zaidi, jisomee=▷ Hapa