Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi
Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio kubwa sana ila lina compose mahitaji yote muhimu kuanzia vitafunwa n.k
Sasa wakati nikiwa pale dukan binamu huyu lazima aje kununua Vitafunwa pale mara nyingi ananiomba nimuongezee nyongeza addition au anatabia mfano ananunua vitu vya elfu 1 anaongezea moja anasema nimlipie mimi kila siku ananambia hivo ananunua anajipngezea ananiangalia kwa tabasamu anasema moja nimejiongeza utanilipia huko
Sasa siku zinaenda zinaenda siku moja nikamzingua alimtuma mdogo upande wa kaka yake pesa haikutosha nikamrudisha baada ya dakika kama 2 yule mtoto alirudi na pesa imekamilika nikampa sukari aliokua akiitaka akilini nikaamini yule binamu atanichukia na hata taka kuniona tena
Zikapita siku 2 hajaja tena pale Dukan mtoto wa kiume nikaanza kuwaza eeeh nishaharibu u dugu ila nikawaza zikipita siku 3 hajaja basi na mimi napotezea
Siku ya 3 akaja kapendeza kinoma kama kawaida anataka vitafunwa ila stori nilizowahi kuzipata turudi nyuma kidogo kulikua na mtoto wa kike mwingine ananikubali sanaa alikua nae anamazoea ya kuja dukan pale sasa akimkuta binamu yule alikua anammindi sana alifikili ni mpenz wangu kumbe ni cousin tu sasa akamwita nje akamuwashia moto cousin wangu sikujua waligombana nini lakin yule cousin alikuja kunambia yule dada ninar mkuta hapa ni mtu wako nikamjibu hapana kwa kuficha ukweli
Sasa sikutaka kumuuuliza sana na ilionekana yeye cousin kakasirika sana ukaribu wangu na wale watu lakin siku wale wadada wakaondoka
Na mimi hom nikabaki peke ang maza kaenda harusini Dsm cousin akaniletea chai asubuhi kazin bila kuomba na chakula cha mchana kesho piaa asubuhi akaniuliza chai umekunywa? Mmmmmh hiii care ilinivuruga kabisaaaaaaaaaaa
Sasa turud kule baada ya kuacha kukasirika siku ya tatu kaja akaja tena siku ya 4 na simu yake anashindwa ku downliad applications kupitia unknown source APK FILE sasa akaniita nitoke nje ya duka nilipotoka nikawa naweka app kwa simu yake huku akiwa close sana mtoto ananukia marashi mazuri sana siku moja nilimwambia unependeza akajibu Ahsante.
Sasa mimi najiuliza huyu cousin ni pisi kali sana wakulukungwa nyie mmepata picha gani hapaa niko dilema
Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio kubwa sana ila lina compose mahitaji yote muhimu kuanzia vitafunwa n.k
Sasa wakati nikiwa pale dukan binamu huyu lazima aje kununua Vitafunwa pale mara nyingi ananiomba nimuongezee nyongeza addition au anatabia mfano ananunua vitu vya elfu 1 anaongezea moja anasema nimlipie mimi kila siku ananambia hivo ananunua anajipngezea ananiangalia kwa tabasamu anasema moja nimejiongeza utanilipia huko
Sasa siku zinaenda zinaenda siku moja nikamzingua alimtuma mdogo upande wa kaka yake pesa haikutosha nikamrudisha baada ya dakika kama 2 yule mtoto alirudi na pesa imekamilika nikampa sukari aliokua akiitaka akilini nikaamini yule binamu atanichukia na hata taka kuniona tena
Zikapita siku 2 hajaja tena pale Dukan mtoto wa kiume nikaanza kuwaza eeeh nishaharibu u dugu ila nikawaza zikipita siku 3 hajaja basi na mimi napotezea
Siku ya 3 akaja kapendeza kinoma kama kawaida anataka vitafunwa ila stori nilizowahi kuzipata turudi nyuma kidogo kulikua na mtoto wa kike mwingine ananikubali sanaa alikua nae anamazoea ya kuja dukan pale sasa akimkuta binamu yule alikua anammindi sana alifikili ni mpenz wangu kumbe ni cousin tu sasa akamwita nje akamuwashia moto cousin wangu sikujua waligombana nini lakin yule cousin alikuja kunambia yule dada ninar mkuta hapa ni mtu wako nikamjibu hapana kwa kuficha ukweli
Sasa sikutaka kumuuuliza sana na ilionekana yeye cousin kakasirika sana ukaribu wangu na wale watu lakin siku wale wadada wakaondoka
Na mimi hom nikabaki peke ang maza kaenda harusini Dsm cousin akaniletea chai asubuhi kazin bila kuomba na chakula cha mchana kesho piaa asubuhi akaniuliza chai umekunywa? Mmmmmh hiii care ilinivuruga kabisaaaaaaaaaaa
Sasa turud kule baada ya kuacha kukasirika siku ya tatu kaja akaja tena siku ya 4 na simu yake anashindwa ku downliad applications kupitia unknown source APK FILE sasa akaniita nitoke nje ya duka nilipotoka nikawa naweka app kwa simu yake huku akiwa close sana mtoto ananukia marashi mazuri sana siku moja nilimwambia unependeza akajibu Ahsante.
Sasa mimi najiuliza huyu cousin ni pisi kali sana wakulukungwa nyie mmepata picha gani hapaa niko dilema