Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,248
- 36,306
Basi bwana,
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....😬.
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu 🙄.
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.
Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu.....
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....
Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani....
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu.....😬.
Naomba Mungu pakuche salama nirejee kwangu 🙄.
Kawaida ni ileile, Haba ni la Baba.
Kasinde.