Serikali Kuwagharamia Wazee na Watoto Bima ya Afya

Serikali Kuwagharamia Wazee na Watoto Bima ya Afya

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
604
Reaction score
552
Bima ya Afya kwa Wote kugharimu shilingi 150,000 kwa kaya (watu sita).

Wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito na wenye ulemavu) watagharamiwa na serikali.
20260512_094131.png
 
Ni habari mpya hii? Nimeanza kuisikia mwaka 1982, na hii michoro ya Juma na Roza ya darasa la pili
 
Mipango ya serikali kwenye "HANSADI" au kwenye MALOKA Wizarani ni mizuri sana ila fika FIELD ukajione NGONDOIGWA ,zilongwa mbali zitendwa mbali.
 
Back
Top Bottom