Magonjwa mengi kama vile mafua na flu, hupona bila dawa.
Njia zenye kusaidia mwili kujikinga na maradhi kwa kutumia kinga yake yenyewe ni zipi?
1. Kujiweka katika hali ya usafi.
2. Kula chakula bora, balanced diet. Kula chakula bora sio ngumu, unaweza pika ugali wako, kula yai moja au samaki...