Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,124
Ni CHADEMA pekee ndicho chama ambacho hadi sasa kwa miaka mingi hakijawahi kuwa ana adui wa kudumu; leo wapo na Dr. Slaa zaidi ya unavyoweza kudhania.
Wamekuwa wakipigania haki bila kujali itikadi; wamewapigania akina Nape na Kinana wakati wa Magu. Hizi solidarity uwezi kuzipata CCM. Kinachoendelea CCM ni kiu ya madaraka tu; ukikwama kama mwana CCM wanachoangalia nani atakuwa mrithi wako......
Taifa linalojengwa kwenye imani ya Chadema ya kutokuwa na adui wala rafiki wa kudumu ni taifa la haki......
Wamekuwa wakipigania haki bila kujali itikadi; wamewapigania akina Nape na Kinana wakati wa Magu. Hizi solidarity uwezi kuzipata CCM. Kinachoendelea CCM ni kiu ya madaraka tu; ukikwama kama mwana CCM wanachoangalia nani atakuwa mrithi wako......
Taifa linalojengwa kwenye imani ya Chadema ya kutokuwa na adui wala rafiki wa kudumu ni taifa la haki......