Kumbe mabikra bado wapo?
Kwenye huu ulimwengu wa social medias na uzinzi na talaka na makasiriko
Sasa mwamba hapa anasema mwanamke mwingine haoi lazima awe Bikra Safi ( brand new) hata akiwa na Miaka 50 anatoa
Ukitaka salamu nenda Pemba & Unguja,kwangu utaula wa chuya!
Nyinyi ndiyo chanzo cha migogoro kwenye ndoa hadi ndoa nyingi kuvunjika kwasababu ya kuolewa ukiwa umeshaharibiwa.
Mama zenu zamani waliitunza bikra kama vile roho zao,aliyemuoa ndiye aliyeitoa bikra hivyo heshima ilikuwepo na ndoa...
Salaam!
Nimekaa hapa nimekumbka kisa kilichonikuta siku za nyuma kidogo. Iko hivi katika harakati zangu za pimbi nilikutana na binti mdogo tu miaka 19 mitaa hii ya wasukuma.
Nikaomba namba nikapewe tukawa tunawasiliana na mwishoe tukawa wapenzi! Na katika maongezi yetu kama wapenzi alinambia...
Majuzi nilileta thread kuhusiana na faida ya ndoa kwa mwanaume tajiri ni nini, nashukuruni kwa michango yenu.
Nina ka story kadogo cha demu fulani hivi niliomtokeaga 2018 hapo kalikuwa kamemaliza F6, nilimkuta kwenye duka langu la Mangi. Uzuri kama kawaida yangu nilitumia nguvu ya hela ikatiki...
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 123, Theresia Nyirakajumba, kutoka Nchini Rwanda, amesema toka azaliwe hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote, na sasa yupo na tumaini kuwa atampata mwanaume sahihi na ambaye atakuwa tayari kuwa naye maishani.
Ni kweli kuwa kwa sasa wanawake wenye bikra...
Habari za jumapili!
Kama kichwa kinavyojieleza, huu ni mwaka wa 10 tangu nimemuoa mke wangu niliyemkuta bikra. Nilifunga ndoa 15 May 2013. Tangu nimemuoa huyu mtoto, ninakiri mimi ni mwanaume mwenye bahati kubwa.
Kanuni iliyoniongoza ni kuoa mwanamke bikra, nafaidi matunda ya kanuni hii...
Hii ni kwasababu ya kitu kinachoitwa 'sexual compatibility' yaani 'utengamano wa kingono'. Maana yake ni jinsi mapendeleo ya kingono ya wanandoa yanavoendana. Yaani anachopenda mke/mume kufanya/kufanyiwa wakati wa tendo la ndoa kinatakiwa kiendane na/kimridhishe mwenzi wake....
Hii imekua...
Kibao kimegeuka,kama ulitaka kuoa kijijini think twice.
Maisha ya vijiji vingi ni magumu sana,mabadiliko ya tabia ya nchi yamefanya mavuno shambani kutoeleweka , milo mitatu vijiji vingi ni ndoto,chai hawaijui,njaa haina ubaunsa matokeo yake mabinti wa vjijini wameuza bikra zao kwa gharama...
Toka dunia kuumbwa Mwanaume ndiye aliyepewa uwezo wa kulianzisha jambo na kulikamilisha kwa kufuata maelekezo ya MUNGU.. soma kitabu cha MWANZO(Biblia), Tusiende mbali nirudi kwenye mada kuu..
Sifa ya mwanaume kamili ni kulianzisha jambo iwe ni jambo la kiuchumi, mahusiano, familia, n.k Sasa...
Wasalaam JF,
Mtengeneza njia ni mmoja kwa matumizi ya walio wengi.
Mwanakulianza ni mwanamajumui wa kugawa upendo. Ulivyopewa wewe bila mbambamba hata bustani ya Eden nyoka aliwekwa kwa tafsiri yake.
Tuwasifie na wanaotupokea vijiti upele.
Wameupiga mwingi.
Wadiz
Hivi kwa mtu msafi anayejitambua ambaye sio mzinzi anaweza kuoa Mwanamke ambaye hana bikra kuanza kushare uchafu na mikosi?
Kijana bila bikra endelea kukataa ndoa acha wachafu na wazinzi waoane wao kwa wao.
Nilimkuta mke wangu ni bikra kabisa yaani hymen iko slide kabisa kwahiyo mimi ndiyo nilikuwa mtu wa mwanzo kumtoa hiyo bikra ila na bado wahuni wimechapa bila hata ya kupindisha kabisa ila masela ni michosho sana.
Labda sijui ni laana ya kuhasi uparoko wala hata sijui kuna moment katika maisha...
Mughonile!
Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe. MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra. Mwanamke...
Inapotokea kwenye mahusiano kuna sintofahamu ya aina yoyote, hapo ndio strength ya bond huwa inapimwa. Mengi hutokea, usaliti, dharau, uongo n.k ambavyo vinaweza pelekea uhusiano kuvunjika.
Na panapotokea mgogoro mzito sana, yule aliyekosewa huwa na option mbili, asamehe au achukue hamsini...
Unakutana na binti hata kina single mama hana bikra kashatembea na na wanaume kadhaa ila ajabu ni kwamba anaanza kujiona kwamba yupo sawa na wenye bikra, anamwambia mwanaume hawezi kutoa mzigo mpaka amuoe !!
Kwema Wakuu!
Mada hii inaweza kuwa Tata, ngumu au yenye kuibua hisia Kali miongoni mwa watu. Lakini hiyo haitufanyi tuache kuijadili.
Mahari ni desturi katika jamii nyingi Duniani ambayo imeanza tangu kale. Umuhimu wa mahari ni kuonyesha Nia ya mwanaume Kama kweli anataka kumuoa binti Fulani...
Wanawake nawakaribisha mtoe neno moja kwa dume lililokutoa bikra, inawezekana bado uko naye au yuko mbali mshaachana naye.
Kupitia uzi huu nimeona siyo busara kuwasahau hawa watu muhimu katika maisha yenu.
Wakumbukeni kwa maneno mawili matatu au hata neno moja tu.
Karibuni
Mwanamke huyo raia wa Congo, alieleza kuwa alijitolea maisha yake yote kuwalea ndugu zake na sasa yuko tayari kuolewa iwapo atapata mwanaume.
Akizungumza katika mahojiano na AfriMax, alisema: "Kilichofanya asiolewe ni kwa sababu sijapata mwanaume anayenifaa. Lakini nilipokuwa bado msichana...
Wakuu amani kwenu. Leo nimekuwa natafakari jinsi mambo ya mahusiano ya mapenzi yalivyo kwenye dunia yetu ya leo. Kuna swali najiuliza nabaki kutabasamu tu, hivi kweli leo hii sheria hizi zingetumika, nani angebaki salama?
Kumbukumbu la Torati 22 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹³ Mtu akitwaa mke...
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA
MTUNZI:SINGANOJR .
AGE:18+
NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA
PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346
PROLOGUE../DIBAJI
Ilikuwa ni muda wa usiku saa tisa kamili ndani ya chumba kikubwa anacholala mheshimiwa Rais Senga ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.