Amani ni sawa na bikra ikiondolewa hairudi

Amani ni sawa na bikra ikiondolewa hairudi

JAMBO LILILONITISHA NI KWAMBA SASA UGAIDI UMEANZA RASMI.

NIMESIKILIZA MIJADALA MBALIMBALI KWENYE CLUB HOUSE NA MARIA SPACES NA KUJIRIDHISHA KUWA MAANDAMANO YALIRATIBIWA KWA UMAKINI MKUBWA.
NA SASA HAO WAANDAMANAJI WAMEAZIMIA KUANZA MASHAMBULIZI YA KIMYA KIMYA DHIDI YA VIONGOZI WA CCM WA NGAZI ZOTE, WABUNGE, MADIWANI, VIONGOZI WA SERIKALI KAMA VILE WAKUU WA MIKOA, WILAYA NA WATENDAJI WA MITAA, VIJIJI NA KATA.

PIA POLISI WA AINA YOYOTE AKIZUBAA MAHALI POPOTE ANASUGHULIKIWA KWA MISHALE YENYE SUMU KALI (SULPHURIC ACID)

KUTAKUWA PIA KUNAKULIPUA MAJENGO YA SERIKALI NA MIUNDOMBINU YA BIASHARA YA WATU WOTE WENYE UHUSIANO NA CCM AU SERIKALI.

NAAAMINI SISI CCM HATUWEZI KUJILINDA NA HATA VYOMBO VYA DOLA HAVINAUWEZO WA KULINDA MAENEO YOTE HAYO.

NASHAURI VIONGOZI WA CHAMA CHANGU NA SERIKALI YAKE WAFANYE MARIDHIANO HARAKA IWEZEKANAVYO.VIONGINEVYO TUTAANZA KUONA MILIPUKO NA MAUAJI YA KUSHTUKIZA MUDA SI MREFU.
 
Target ni kuharibu mali za mafisadi wa sisiemu ,chawa wa mama ,wasanii wasaka tonge ,polisisiemu etc

Ni kweli kwasasa hauwezi kutamka kwamba TZ ni kisiwa cha amani.
Shida ni kua wameharibu za watu hata wasiohusika na ccm, aloo watu wametiwa hasara mno ndgu yangu.

Ukisema utaonekana huna huruma kwa waliouawa ila mitaa ya ubungo, buguruni, kigogo hao waandamanaji walichofanya ni hasara juu ya hasara.
 
Shida ni kua wameharibu za watu hata wasiohusika na ccm, aloo watu wametiwa hasara mno ndgu yangu.

Ukisema utaonekana huna huruma kwa waliouawa ila mitaa ya ubungo, buguruni, kigogo hao waandamanaji walichofanya ni hasara juu ya hasara.
Ni kweli hasara ni kubwa mno ,mali zinatafutwa ila uhai haununuliwi sehemu yeyote!! Hasara kubwa ni kwamba tumepoteza nguvu kazi kubwa kama taifa! Lakini tujiulize kwanini tumefika huko?

Maandamano ni kwamba wananchi walikuwa wanataka reforms kabla ya kuingia kwenye uchaguzi ,na ukweli umejulikana wazi wazi kwamba hakukuwa na uchagzui wowote ,matokeo walikuwa nayo miezi mitatu nyuma ,nchi ilikuwa kwnye vurugu kuanzia saa tatu kwenda saa nane halafu Mkurugenzi wa NEC anasema walijitokeza kupiga kura ni zaidi ya asimia 90 kweli? Huo si uhuni? Uchaguzi wa sasa hauwezi kupata kiongozi unaomtaka wewe maana NEC imeunganisha na mifumo ya NIDA na SISIEMU ,kwahiyo SISIEMU ndiyo wanaamua nani awe kiongozi.
 
Siku hizi ziko bikra za kubumba FEKI nadhani kwasababu bila HAKI kutakuwa na bikra FEKI tu.
 
Wahamasishaji waje na mbinu mpya, hizi za kuharibu mali ni upuuzi kabisa.
Wahenga wanasemaga vita haina macho, panapotokea vita ama vurugu basi usichague madhara, kikubwa ni kuwaasa watu waepuke kuingia kwenye machafuko maana madhara yake huwa ni makubwa mno, lakini pesa wanazokwiba mafisadi na kwenda kuficha nje na huo uharibu nadhani ni chamtoto, tuusiane amani
 
Ni kweli hasara ni kubwa mno ,mali zinatafutwa ila uhai haununuliwi sehemu yeyote!! Hasara kubwa ni kwamba tumepoteza nguvu kazi kubwa kama taifa! Lakini tujiulize kwanini tumefika huko?

Maandamano ni kwamba wananchi walikuwa wanataka reforms kabla ya kuingia kwenye uchaguzi ,na ukweli umejulikana wazi wazi kwamba hakukuwa na uchagzui wowote ,matokeo walikuwa nayo miezi mitatu nyuma ,nchi ilikuwa kwnye vurugu kuanzia saa tatu kwenda saa nane halafu Mkurugenzi wa NEC anasema walijitokeza kupiga kura ni zaidi ya asimia 90 kweli? Huo si uhuni? Uchaguzi wa sasa hauwezi kupata kiongozi unaomtaka wewe maana NEC imeunganisha na mifumo ya NIDA na SISIEMU ,kwahiyo SISIEMU ndiyo wanaamua nani awe kiongozi.
Ili tuwe kitu kimoja basi tusihatarishe amani ya wengine pia.

Maana hao waliokua wanavunja maduka ya watu, ukiwaingilia pia unauawa vilevile.

Ndio maana maandamo yajayo yanapaswa kua na mkakati sio vurugu zisizo na mpango ni hatari ka wengine wasioshiriki hasa watoto na wengine wasiojiweza.
 
Ili tuwe kitu kimoja basi tusihatarishe amani ya wengine pia.

Maana hao waliokua wanavunja maduka ya watu, ukiwaingilia pia unauawa vilevile.

Ndio maana maandamo yajayo yanapaswa kua na mkakati sio vurugu zisizo na mpango ni hatari ka wengine wasioshiriki hasa watoto na wengine wasiojiweza.
Mkuu umesahau kwamba kwenye msafara wa MAMBA na KENGE pia wamo.

Target kubwa ilikuwa kuharibu mali za mafisadi na ndiyo maana walikuwa wanaruka vituo vya mafuta ,target ilikuwa TOTAL na LAKE OIL.

Hakuna cha maridhiano wala nini 4Rs zilikuwa kiini macho ,watu wanataka katiba MPYA tu ambayo kila kiongozi ataheshimu waliomuweka madarakani ,unaweka katiba ya ovyo kwamba matokeo ya uraisi hayahojiwi sehemu yeyote huo si UHUNI? sasa mtu anapita kwa 98% wakati waliojitokeza ni wachache sana ambao hawawezi kuzidi ya 2m kisha wanapika takwimu kwamba waliopiga kura ni 31m ,halafu watu wasiende kupinga mahakamani ni uzwazwa.
 
Wahenga wanasemaga vita haina macho, panapotokea vita ama vurugu basi usichague madhara, kikubwa ni kuwaasa watu waepuke kuingia kwenye machafuko maana madhara yake huwa ni makubwa mno, lakini pesa wanazokwiba mafisadi na kwenda kuficha nje na huo uharibu nadhani ni chamtoto, tuusiane amani
Ile haikua vita, hayakua machafuko ila ni watu kujitoa ufahamu tu.
 
Back
Top Bottom