Hivi Ina maana vyombo havioni Biashara ya Madawa hasa ya cocaine inavyoenea majiji?! Network ya watu wanokwenda Mombasa, Dar , Arusha na Dodoma. Wanazuga kama wanafanya Biashara za Magari na spare!? Nani anawapa Baraka? Heroin ipo miaka kibao lakini cocaine Sasa hivi imeenea sana. Na inatumiwa...