HONOURABLE PETER
Member
- Jul 8, 2019
- 21
- 31
Je, kuiga na kufanya biashara zinazofanana ni kukosa ubunifu?
Sio kukosa ubunifu bali ni kuutumia udhaifu au mapungufu yaliopo kwenye biashara iliyopo(Current) na kuyatumia mapungufu hayo kama fursa.(Wajasiriamali wanalifahamu hilo vizuri).Je, kuiga na kufanya biashara zinazofanana ni kukosa ubunifu?
Itoshe tu kusema "Hakuna biashara mpya" hapa duniani. KinachofanyikaBongo utafanya biashara gani mpya
Naam 👋Sio kukosa ubunifu bali ni kuutumia udhaifu au mapungufu yaliopo kwenye biashara iliyopo(Current) na kuyatumia mapungufu hayo kama fursa.(Wajasiriamali wanalifahamu hilo vizuri).
Kwa mfano yupo mamantilie na biashara yake lakini hana kauli nzuri kwa wateja, hazingatii usafi wala hana wepesi katika kutoa huduma na hana vyakula tofauti-tofauti(Varieties). Huo ni udhaifu alionao katika biashara hiyo yake. Akitokea mtu mwingine atakayefanya biashara hiyo-hiyo na kuepuka hizo kero atampiku chap' na kujizolea walokuwa ni wateja wake. Kwa mantiki hiyo, huyo #2 ni mbunifu i.e. ni mwenye kujiongeza. Na hilo linakwenda hadi kwenye biashara kubwa kubwa e.g. Mchina yupo mbioni kuyapiku makampuni makubwa ya magari ya Western countries na anachoangalia na kurekebisha ni e.g. Ulaji wa mafuta wa chombo, Speed na Urahisi wa kukikontrol chombo kwa kutumia elimu kidogo kwa muda mfupi wa mafunzo, kwa kutumia Hydraulic systems, Automatic systems n.k. badala ya Manual systems.
Hapo ongeza urahisi wa upatikanaji wa spea na bei n.k.
Labda Kuuza human fleshBongo utafanya biashara gani mpya
Inaruhusiwa?Labda Kuuza human flesh
Biashara zinazoruhusiwa haziwez kukulipa.Inaruhusiwa?