Itakuwa umesoma Sunday schoolHata sijakuelewa
Kwa ulivyo andika, bora watu wasome tu hiyo Sunday schoolItakuwa umesoma Sunday school
Huyu kibwengo akishiba mchemsho wa nguruwe anajiona bonge la mjanja.Kwa ulivyo andika, bora watu wasome tu hiyo Sunday school
Kama kuandika kwako wewe una PhD! Hiyo PhD yako inaujinga mwingi
Nakubaliana na mawazo yako na mimi naongezea ushauri tu kuwa, watu wakasome tu huko Sunday school ni mara elfu zaidi kuliko kuwa mfano wako
Ki ukweli, hujaeleweka mkuu