basi

  1. Webabu

    Trump azidi kusisitiza kila mtu akachukue mafuta yake Homurz.Yeye basi

    Tofauti na waziri wake wa ulinzi,Hegeseth,Trump yeye hajivungi tena kuhusu kushindwa vita alivyovianzisha na Iran. Wakati wa mahojiano hapo jana na mashirika ya habari.Trump amerudia kwa mara nyengine kusema kuwa nchi zinazounda umoja wa NATO ni kama chui wa karatasi tu.Akawapa mipasho kama ile...
  2. Traxtion

    Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

    Huu ndio ukweli, haya mengine ni umbea tu wa binadamu Kama kweli Mungu yupo basi hataki tumjue, wala hataki tumuabudu na hataki tufuate sheria zake. Angekuwa anataka tumjue angejionesha au aongeonesha ishara kuwa yupo Angekuwa anataka tumuabudu angetuambia sisi direct, kila kizazi angekiambia...
  3. M

    Ajidai muhudumu wa basi na kuibia abiria

    Wezi kila siku wanabuni mbinu pya ili kutimiza nia zao ovu, huyo kwenye video alijidai mfanyakazi wa basi la Abood na kudai tiketi kisha iliyokuwa kwenye simu akajifanya anaenda kukagua akaondoka na simu
  4. Scott junior

    Kama sikupata UKIMWI pale, basi sitapata

    Kila mwanaume ana sehemu hatari aliyowahi kupita, akasema; ‘Kama sikupata UKIMWI pale basi sitaupata.’ Ilikuwaje kwako?
  5. Genius Man

    Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa

    Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa. Kuna hawa watu wanafunga na wakiona watu wanakula wanakasirika au wanawapiga na kuwauwa basi hao wanahinda na njaa wamebadilisha mda wa kula. Yule anaye funga kwasababu ya kuwaombea...
  6. Nyani Ngabu

    Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

    Mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kama kweli amekufa au bado yuko hai. Ila, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya siku 12. Iweje siku ya kwanza tu wanakukula kichwa kizembe namna hiyo? Nchi kubwa namna hiyo...
  7. Just Pray

    Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Katika harakati za masuala ya safari nimebahatika kupanda basi moja kutoka mkoa X, kero kubwa ni huu mrundikano wa abiria wanaolala kwenye korido kiasi cha tulioketi kukosa hata nafasi ya kunyoosha miguu. Vipi na wewe unakereka kama mimi? Au tabia ipi inayokukera wewe?
  8. Carlos The Jackal

    Kama walishindwa kujua Mh Gwajima Bishop alipo, basi Hawana intelijensia yoyote , Kauli ya Polisi ya "Tunawafatilia" ni Kujimwambafai tu !!.

    Jambo nalowahakikishia kama Mh Polepole , Balozi, alifika Nchini hawakujua, Kakaa miezi yote hiyo hawakujua, Utasema wana INTELIJENSIA??. Bisho Gwajima Kakaa Dar , muda wake wotee huo mpaka Leo hii, hata hawajui anapolala ,licha ya wao KUMFATILIA sana usiku na mchana , Utasema wana...
  9. M

    Nchi ambazo ukiweza kujitegemea basi unaweza kusurvive popote duniani

    Hio sio list ya nchi zenye vita ambazo watu wake huombea siku iishe salama hata wakikimbilia milimani. Hizi ni nchi ambazo hata kama hakuna vita ni ngumu kuishi, kujitegemea inabidi uumize sana ubongo , hawa ndio watu ambao wakitoka hata nje ya nchi kwenda nchi zisizo na mikiki wanasifika kwa...
  10. Mikopo Consultant

    Baada ya kutafakari sana kwa kina nimehitimisha kwamba: ukiwa mwanasiasa bila kuwa wakili, basi ujue unajipotezea muda, maana utakwama tu!

    Hii ni argument ambayo itakubidi upate experience kubwa ya kuitazama sana siasa kwa jicho la tatu, ndiyo utagundua kwamba ni argument ambayo ni ukweli kwa asilimia 99%. Mwaka 2010 nilipoenda pale UDSM, siasa za serikali ya wanafunzi na wanaharakati zilikuwa zinatawaliwa sana na vijana wa...
  11. Mindyou

    Februari 19: Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu inaendelea leo. Shahidi wa 12 anatarajiwa kuzungumza leo

    Wakuu, Kaeni karibu na uzi huu ili mpate updates ya kinachoendelea leo kwenye kesi ya leo Mawakili wa Serikali wameshaingia Mahakamani lakini Majaji na Mshitakiwa bado hawajaingia. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amefikishwa tena kizimbani tayari kwa kuvaana na mashahidi wa upande wa...
  12. Think2

    Wanaume wenzagu wa Musoma, jifunzeni kula vizuri basi! Mnatia aibu

    Traditionally chakula huwa tunakula pamoja it means kwamba msosi unawekwa kati mnakula wote sasa watu wanakula vibaya sana yaani ukichukua nyama na yeye anachukua anatafuna vibaya then anarudia nyingine kama mashindano fulani ivi, aisee mjilekebishe ulaji wenu sio mzuri kama mnakimbizwa kupanua...
  13. mirindimo

    CCM na tume kutoa zawadi kwa watakaoshiriki kutoa ushahidi, rudisheni na maisha ya wapendwa wao basi

    Zawadi kubwa ya kuwapa ilikua kuwapa Miili ya Wapendwa wao wakaizike au Kurudisha Uhai wa Wapendwa wao. Nyumba , gari au Mali havitafuta yaliyotoke Oct 29
  14. Mad Max

    Ukitaka Porsche Cayenne 3rd generation hafu pesa imepungua basi cheki Honda ZR-V!

    Porsche Cayenne ya 2020+ ni kali kimuonekano sana. Mchawi ni bei, ya moto hatari. Pamoja na kwamba ni used bila $36,000 ngumu kupata. Hapo bado ushuru TRA, na running cost zake ni zamoto. Sasa kama umependa “muonekano” (sio brand) unaweza ukaicheki Honda CR-Z kwa nusu bei. Latest kabisa...
  15. mcTobby

    Kama Security details ya Nicolas Maduro ilikuwa na raia wa Cuba , basi sishangai kilichompata

    Kila nikifikiria hili swala la Maduro kunyakuliwa usiku wa maanane ikulu ,basi bila shaka alikuwa hawaamini "My fellow county men" mpaka akaamua kuwakodisha wa Cuba kama Walinzi wake. Sasa wa Venezuela wenzake wakaamua "kumuuza" kwa bei ya jioni kabisa kwa Baba Baron 😂😂😂.
  16. Kelela

    Basi ya Kampuni Gani Lipo Vizuri Dar es Salaam to Musoma Kupitia Kiabakari?

    Naomba kujulisha nataka kukata tiketi, kampuni gani ipo vizuri kwa ruti hiyo ambayo hawana ubabaishaji?
  17. Bawabu wa pili

    Mane angezingatia kauli ya mama yake, basi tusingemfahamu leo

    Nyota wa soka wa Senegal, Sadio Mané, aliwahi kufichua ukweli wa safari yake yenye maumivu, upinzani na ndoto kubwa kabla ya kufanikiwa katika soka la dunia.Mané anasema kuwa akiwa mdogo, mama yake alimwambia wazi kuwa kucheza mpira ni kupoteza muda, akiamini kuwa hakuna njia ya mtoto wa...
  18. Godoro la kioo

    Basi tu ilimradi taflani

  19. Fbn

    Katika mahusiano kuna age fulani ikifika unasema ningelijua, ndio basi tena

    Leo ni mekumbuka enzi nzangu ni kipindi ni kiwa kijana. Nilimpata binti mmoja ambaye ujana wangu sikuwa na mda wa kumpa kama wafanyao wapendanao. Ilifikia tuka tengana naye mikoa tofauti kabisa kwa vile kwao ni mkoa mwengine. Baada ya kuanzishwa facebook mpaka ilivyoanza kuingia kwenye simu...
Back
Top Bottom