baiskeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Hii aibu mwisho wake lini, wanajeshi wa Urusi watoroka kwa baiskeli

    Walioachwa nyuma wakati wenzao walitoroka kwa magari, wameishia kuiba baskeli na kutoroka nazo ili tu waokoe maisha yao...vijana wa Ukraine wanaendelea kutembeza kichapo.... Russian soldiers abandoned by their units in the eastern Kharkiv region of Ukraine fled in disguises on bicycles...
  2. Sky Eclat

    Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, wengi wameamua kutegemea usafiri wa baiskeli katika mizunguko. Barabara zetu ni salama kwa watumia baiskeli?

    Usafiri wa baiskeli kwa wengi ni kwa kuimarisha afya kwani unapotumia baiskeli unafanya mazoezi. Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta wengi wameamua kutumia usafiri huu kuwafikisha kutoka hatua A kwenda B. Barabara zetu ni salama kwa atumiaji wa baiskeli? Bila tahadhari hii kutakua na vifo...
  3. T

    Nahitaji baiskeli aina ya Phoenix

    Hellooo wakuu habarini, Nahitaji kufahamu panapouzwa baiskeli aina ya Phoenix nahitaji kwa wingi sana kama mia moja au mia mbili nisaidieni location au namba za WAUZAJI Mawasiliano yangu ni +255686978566
  4. MakinikiA

    Rais Biden wa Marekani adondoka akiendesha baiskeli, anamuiga Rais Putin

    Huyu ni Biden alidondoka akiwa anaendesha baiskeli Huyu ni jemedari Putin akiendesha farasi
  5. Mr Sir1

    Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

    Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli. Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye...
  6. Sdebaseboy

    Natafuta baiskeli ya kununua

    Wapendwa, habari zenu? Natafuta baiskeli nzuri kwa ajili. ya matumizi yangu ya kawaida. Je, nani anauza na kwa bei gani? Asante
  7. Nangose 1

    Nahitaji Baiskeli ya gear

    Wakuu Niko na Binamu yangu anasoma shule ya day Ila Kuna changamoto ya umbali kutoka nyumbani Hadi shule ni kama kilometa 3½ - 4. Mwenye Baiskeli nzuri used yenye good condition nistue
  8. Underthesea

    Story time: Amfuata mwanamke Sweden kutoka India kwa baiskeli

    Pradyumna Kumar "PK" Mahanandias alizaliwa mwaka 1949 katika kijiji kimoja huko India kwenye moja ya matabaka ya kihindi ya chini kabisa (untouchables) kwahiyo hakuwa na tumaini la kutoka kwenye maisha ya ubaguzi na umaskini. Ni kawaida Kwa wahindi kuita wanajimu watoto wanapozaliwa. Mnajimu...
  9. M

    Ligi kuu Tanzania Bara: Waliotangulia na baiskeli ya miti wanajifahamu, hata mwaka jana ilikuwa hivyo hivyo!!

    Hata mwaka jana walitangulia na baiskeli ya mbao na hawakufika popote!! Wakisikia gari kubwa huko nyuma linapiga lesi kiwewe tayari!!! Hiyo mliyosikia kilichompata Namungo ni lesi tu!!! Gari kubwa karibu lishaanza kuchanganya na hakuna namna ni suala la muda tu baiskeli ya miti lazima ipishe...
  10. BRN

    Kutembea kwa miguu au baiskeli kwenda Kigoma

    Wadau habari ya jioni,hivi karibuni tumeshuhudia wanaume wa mkoani Kigoma kutembea kwa miguu au kutumia baiskeli kwenda Dar kutazama mechi za Simba na Yanga. Je, wanaume wa Dar hamuoni kwamba sasa ni zamu yenu na nyie kurevenge.?!
  11. F

    Mtoto kaibiwa baiskeli

    Mtoto mmoja aliibiwa Baiskeli yake akaenda Police, akaulizwa unahisi ni nani aliekuibia? Mtoto akajibu: = Nahisi ni WAZAZI wangu, Police wakamuuliza kwanini unawashuku? Akajibu: = Jana usiku nilimsikia Mama akimuuliza Baba vipi IMESIMAMA? Baba akamjibu ndiyo PANDA BASI! Ikalie uichochee...
  12. Analogia Malenga

    Juni 3: Siku ya Baiskeli duniani

    Juni 3 kila mwaka ni siku ya kimataifa ya baiskeli ambapo wadau huangalia mazuri ya kuendesha baiskeli Kuendesha baiskeli kunaweza kuwa ni taaluma, burudani, sehemu ya mazoezi au namna ya usafiri Baiskeli imeelezwa kuwa ni nzuri kwa Afya ya Akili na pia kwa mazingira kwa kuwa haitoi gesi chafu...
  13. E

    Natafuta tairi ya baiskeli na tube zake, liwe na inchi 28

    Natafuta tairi inchi 28 na tube zake nipo Morogoro kama unashughulika nazo comments tumfanye biashara.
Back
Top Bottom