Nikisoma Historia naona upinzani wa maana waliopata wakoloni walipoingia Tanzania ulitoka kwa maeneo na viongozi hawa,
1. Mtemi Isike & Mirambo-Unyamwezini Tabora
2. Chifu Mkwawa- Wahehe
3. Mangi Meli, Sina& Co-Uchagani, Meru, Arusha
4.Kinjekitile & Co-Wangindo, Wangoni
5.Chifu Machemba-Wayo...