Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
916
Reaction score
3,177
Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulance kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulance itakuwa imewasaidia wananchi wengi.


Hayo ameyasema bungeni wakati akichangia hoja Mei 12 2026
 
IMG_8573.jpeg
 
Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulence kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulence itakuwa imewasaidia wananchi wengi.


Hayo ameyasema bungeni wakati akichangia hoja Mei 12 2026
Wazo zuri saana
 
Back
Top Bottom