Mahakama huru.
Maridhiano chanya.
Wanaharakati Magaidi.
Maridhiano siyo udhaifu.
Hapo kaa kinjagu bwana mdogo, unaenda kuwa picha nzuri kwa mahakama.
Mwisho wenzako wanakucheka 😂!.
Kuna kesi inaendelea pale mahakama kuu masijala ndogo ya Kigoma kuhusu ushindi wa Clayton Chipando a.k.a Baba Levo kuhusu ubunge wake.
Kuna tuhuma kuwa ushindi wa Baba Levo ulikuwa na hujuma kwa wapinzani wake wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025.
Endapo atakutwa na hatia, Baba Levo anaweza...
Mpaka sasahivi Baba Levo ndo MBUNGE Bora, anafatiwa na simai aliyemwambia Nchimbi ni msaliti🤣😂 kama ndo hivyo nauliza kwa Nini majeshi hamtaki watoto waliomaliza darasa la 7 wawe wabunge?
Baba Levo anatetea wanaume wanao pigwa na wake zao, anatetea boda boda, anatetea darasa sa Saba wenzake...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo), akichangia Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa 2026/2027, leo Juni 22, 2026 Bungeni, amesema hatokubali ongezeko la tozo kwa Maafisa Usafirishaji ‘Bodaboda’ akisisitiza kuwa kundi hilo ni miongoni mwa Vijana waliowahi kuwa msaada mkubwa...
Katika kesi iliyopangwa kufanyika tarehe 6/7/26//2026 ya kupingwa ubunge wa ' Baba Levo' hisia za ndani kabisa zinaniambia ajiandae kisaikolojia kuachana na ubunge
Ila Babalevo leo kaamua kunyesha upande wake wa pili. Ila bunge la sasa linamambo ya hovyo mengi sanaa
=================
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) ameibua mjadala na taharuki baada ya kudai kuwa kuna baadhi ya wanawake wanaotumika kuwarekodi viongozi wakiwa...
Wanabodi,
Baada ya kuibuka kwa fani mpya ya uchawa, mimi nimekuwa nikiwaona machawa kama ni majitu fulani majinga zero brain!, nilipoangalia line up ya wagombea ubunge wa jimbo la Kigoma Mjini, kupitia CCM, kulikuwa na very good big brain, siku ya matokeo ya kura za maoni ya CCM zikitangazwa...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo) akichangia hoja bajeti ya Wizara ya maendeleo ya jamii leo Juni 1, 2026 Bungeni Dodoma
"Huwezi kuwa umeishi na mwanamke ndani, anakusingizia ujauzito unalea miezi tisa, anazaa mtoto unamlea mtoto anafikisha miaka kumi, baadaye mnakosana...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo) akichangia hoja bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 1, 2026 Bungeni Dodoma
" Wizara hii imejikita zaidi kwenye kutetea wanawake, lakini tunapozungumzia maendeleo...
Baada ya Mwenyekiti wa Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo, leo Mei 23, 2026 kutoa tuhuma mbalimbali dhidi ya Mbunge wa Kigoma Mjin Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) ikiwemo kudai kuwa ubunge wake aliupata kwa ubabe na kwamba “alipachikwa” ushindi katika uchaguzi wa mwaka 2025, Mhe. Baba...
https://www.youtube.com/live/F26wOjys36A?si=1PcO6uI7Cfci1rwJ
Abdul Nondo amezungumza hayo leo Mei 23, 2026 Jijini Dar es Salaam. kwenye Hoteli ya Land Mark Hotel , Riverside Ubungo.
KUFUNGUA MASHTAKA DHIDI YA CLAYTON REVOCATUS CHIPANDO (BABA LEVO) KWA KUNICHAFUA, KUNIDHALILISHA, KUNIVUNJIA...
Mbunge wa Kigoma mjini akifanya mahojiano na Chief Odemba amesema “Bado kuna baadhi ya Sehemu hatujafanya Vizuri, Viongozi na wanachama wa CCM tukubali pale ambapo hatujafanya Vizuri ili tutibu huo ugonjwa, Lakini kukataa tu kwamba tumeshatisha sana, tumetisha kwenye nini?”
Akifanya mahojiano katika kipindi cha Medani Kuu na Chief Odema, Mbunge Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chiponda 'Baba Levo' amesema kuwa anaekataa CHADEMA sio chama kikubwa cha upinzani huyo mtu kichwa chake kitakuwa kina shida. Mimi nakiheshimu sana chama cha CHADEMA kimeleta upinzani nchini...
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Mhe. Baba Levo, ametoa ushauri kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwekeza zaidi katika maendeleo ya timu ya taifa, hususan kwa kuwajengea uwezo wachezaji vijana watakaoiwakilisha Tanzania katika michuano ya AFCON 2027, ambayo nchi itakuwa miongoni...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo), amesema hayo Mei 2, 2026 wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Medani za Siasa kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba
Mtu kaumbuka huku Hadi akalazimika kujitetea hadharani Ili Mke wake asiliamshe timbwili 😂😂😂😂👇👇
https://www.threads.com/@radiomaarifatz/post/DXKlIPljjqq?xmt=AQF0S1U-gBF5xxJ8wC0Ju0Or1znu4YiRDB5E_9pbsApAIoQokX9KopbCuzwusbMZynTJaZxd&slof=1
My Take
Mambo binafsi ya kifamilia hayapaswi kuongelewa...
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba levo amesema kuwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawapo bungeni kwa ajili ya kukubaliana na kila hoja inayowasilishwa, bali huchambua na kuchukua msimamo kulingana na maslahi ya wananchi.
Ameongeza kuwa tayari kuna baadhi ya...
Haji Manara amejiunga na WASAFI FM na kuuangana na Oscar Oscar, Edo Kumwembe, na Adela Tilya kwenye kipindi Cha Leo na Jana.
Mara baada ya kukaribishwa, ameshaanza kuwa domokaya kiasi cha kutotaka kuwaachia wenzake nafasi ya kuongea huku akijaribu kufanya uchambuzi wa hapa na pale kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.