Kwa mfano unakadiria shilingi ngapi? Na kwa namna gani? Maana usike sema mikopo kwakuwa atalazimika kulipaTayari kashapiga mkwanja wa kutosha kwenye hii miezi michache ya ubunge hata wakimtoa ni sawa tu
posho ,marupurupu na mishahara ya kipindi chote hichoKwa mfano unakadiria shilingi ngapi? Na kwa namna gani? Maana usike sema mikopo kwakuwa atalazimika kulipa
we jamaa una akili kweli si ata mwaka hajafikisha kwenye ubunge wake we unahisi fedha alizopiga kasema zimemetosha au we msemaji wake?posho ,marupurupu na mishahara ya kipindi chote hicho
Kwa matumizi ya mbunge hiyo ni pesa ndogo ikizingatiwa ana miezi michache bungeniposho ,marupurupu na mishahara ya kipindi chote hicho
Ha ha ha mkuu, sikujua kama jukwaa lilisharudi hewani kutoka kifungoni nimekuja kujua mwishoni mwa mwezi uliopitaUmepotelewa wapi au ni makambi na njombe net event?
Wana mikopo lukuki, hela Yao ni Ike kiinua mgongo wanachopewa mwishoni. Akitemwa atauza lile VX kulipa madeni basi.posho ,marupurupu na mishahara ya kipindi chote hicho
Nchi ya ajabu sana hii!Mahakama huru.
Maridhiano chanya.
Wanaharakati Magaidi.
Maridhiano siyo udhaifu.
Hapo kaa kinjagu bwana mdogo, unaenda kuwa picha nzuri kwa mahakama.
Mwisho wenzako wanakucheka 😂!.
View attachment 3626316