Miongoni mwa wagombea ubunge wa CCM walinivutia na hoja zake moja wake ni huyu jamaa Babalevo licha ya uchawa lakini unaona hoja zake zinaweza kutekelezeka kabisa.
================
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Baba Levo amesema kuwa yeye ataahidi vitu...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma ,jini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando Maarufu Baba Levo akizungumza Oktoba 19, 2025 kwenye mkutano wa kampeni na wananchi wa Businde namna Mchakato wa yeye kuchaguliwa kuwa Mgombea wa Jimbo hilo kutokana na kiwango chake cha Elimu licha ya...
Wamemaliza kwa vyombo vya habari sasa wanaingia kwenye nyumba za Ibada kusambaza bahasha. Kwanini siku zote asichangie?
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM, Baba Levo leo Oktoba 19, ameshiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa la FPC Majengo, ambapo alihudhuria kama mgeni rasmi...
Baada ya mwananchi wa Jimbo la Kigoma Mjini Kata ya Kagera kueleza kero wanazokumbana nazo akimuomba Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando Maarufu Baba Levo kuwa endapo atapata ridhaa ya nafasi hiyo basi awasaidie
Miongoni mwa Kero alizoeleza ni Kodi...
Maendeleo ya watu siyo mabarabara au majumba ya serikali bali maendeleo ni kuwawezesha watu ili waweze kuboresha maisha yao na hasa katika kipengele cha ustawi wa afya za watu ili waweze kuwa na afya njema na kuweza kufanya kazi za uzalishaji.
Ukiwezesha hili basi kodi zitaongezeka kwa watu...
“Wanataka tuandamane tar. 29 Oktoba ila watuambie sababu zenye msingi wa kuandamana,sio kusema mtoto wa rais anaendesha gari zuri,je walitaka atumie bajaj”
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo amesema kuwa Oktoba 28, 2025 siku kabla ya Uchaguzi atafunga ndoa na Mkewe hivyo hakutakuwa na Mkutano wa Kampeni na kudai atauliza Serikali kama watu wake wa Jimbo hilo kula wali...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Baba Levo, amekishutumu chama cha ACT Wazalendo kwa kuonyesha dalili za kushindwa katika uchaguzi, na kujaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi.
Katika andiko lake, Baba Levo amedai kwamba wafuasi wa ACT wameiba mali za CCM, kuharibu bendera na mabango ya...
Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi Baba Levo amesikitishwa na Mpinzani wake kutoka Chama cha ACT Wazalendo, kuomba kupiga picha na baadhi ya Wanachama wa CCM Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama hicho uliofanyika Mkoani Mwanza.
"Inasikitisha sana kumuona kiongozi...
Kigoma kunazidi kuchangamka leo wananchi wanataka kumpeleka chawa bungeni baadae watalia hela zote za miradi zikipelekwa kwenye kujenga Maghorofa ya Baba Levo :Alien: :Alien: :Alien: :Alien:
------------
"Kuna watu wamekaa kwenye madaraka zaidi ya miaka 10 hadi 15 na wamesoma lakini...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ametoa ufafanuzi kuwa siku ya tarehe 11 na tarehe 12 Oktoba 2025 Jimbo la Kigoma Mjini linatarajia kupokea Ugeni Mkubwa wa madaktari Bingwa ambao watatoa huduma ya matibabu
Madaktari hao...
Mtu unakwenda kwaajili ya Starehe zake anasingizia kutafuta wafadhili:3Heading: hata ubunge ujaupata
===============
Miongoni mwa sababu kubwa zinazo mpeleka Dubai ni pamoja na kuzungumza na baadhi ya Taasisi kwa ajili ya uwekezaji mkubwa katika Soko la Ujiji liliopo Jimbo la Kigoma Mjini...
Mama mjane anayedai kudaiwa pesa na kampuni ya benk ya nmb amezungumza na seven media akimuomba baba levo anusuru nyumba yake iliyopangwa kuuzwa kaajili ya kufiidia deni ambalo anadaiwa katika benki hiyo.
Christina alikopa Tsh milioni 50 kwenye bank hiyo na kuiingiza kwenye biashara lakini...
Kupitia ukurusa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ameelezea sakata lililotokea la mama kudai kuibiwa simu baada ya kutembelewa na wanachama wa ACT-Wazalendo kuomba kura nyumba kwa...
Vita ya siasa inazidi kuwa tamu huko jimbo la Kigoma Mjini
=======================
Kutoka vijiweni hii ni baadhi ya mijadala ambayo inaendelea kujadiliwa na wananchi wa jimbo la kigoma mjini, kwa kupembua uwezo wa wahombea wao kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Katika mjadala huu amesikika...
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo amesema “Sisi hatutaki kuahidi vitu ambavyo havitekelezeki ndio na kama vibanda hivyo havitajengwa basi nikija tena mnifukuze”
Pia Soma: Baba Levo: Kama nitashindwa kuleta barabara, 2030 nifukuzeni
Nimekaa na wagombea wa nafasi za udiwani na nimewaambia siwezi kuomba barabara alafu diwani anaenda kumpa Tarura barabara laini laini,huyo diwani hawezi kunifaa kwenye jimbo langu,na wanasema sijasoma sasa hizi hoja natoa wapi?
Mwananchi kaamua kujisema bila kuogopa kwamba jamaa anajuwi kusoma wala kuandika, na Jimbo la Kigoma Mjini ni jimbo lenye viwanda kwahiyo linamtaka mbunge msomi.
Na akaukubali kupiga kura kwa Zitto Kabwe kwamba yeye ni msomi
================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia...
Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo amesema, "Kama nitashindwa kuleta barabara hapa Ujiji, 2030 nikitokea mbele yenu nifukuzeni. Barabara zitakuja kivyovyote, iwe kwa Uchawa, kwa kufoka ama kubembeleza lazima nilete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.