baada

The Bardi people, also spelt Baada or Baardi and other variations, are an Aboriginal Australian people, living north of Broome and inhabiting parts of the Dampier Peninsula in the Kimberley region of Western Australia. They are ethnically close to the Jawi people, and several organisations refer to the Bardi Jawi grouping, such as the Bardi Jawi Niimidiman Aboriginal Corporation Registered Native Title Body (RNTBC) and the Bardi Jawi Rangers.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Kwanini Ole Sabaya anashtakiwa kesi moja baada ya nyingine badala ya kesi moja yenye mashtaka zaidi ya moja?

    Kweli ni magumashi ya kulipiza kisasa baada ya kushughulika vema na ufisadi hai. Tumeona washitakiwa wengine wenye kosa zaidi ya moja kufunguliwa kesi moja na kisha kutumikia hukumu moja kwa makosa yote. Ila kwa sabaya wanamshitaki kesi tofauti ku maximise kifungo na kumdhalilisha. Hebu...
  2. JamiiForums Tanzania Baada ya S400 kuumizwa vichwa vya wamagharibi sasa Urusi hatimae yaleta S500

    Nchi nyingi zilionesha nia ya kununua S400 na Marekani ilipinga vikali nchi hizo zisinunue silaha hiyo muhimu kwa Ulinzi wa anga la nchi yoyote. Ilifikia hatua kwa Marekani kumuogopa S400 ikatishia kuziwekea vikwazo nchi zitakazo inunua. Mfano Uturuki,India na Saudia. S400 ni pasua kichwa kwa...
  3. JamiiForums Tanzania Kisu kimegonga mfupa, views kwa wasanii zimepungua sana baada ya mabando kupanda bei

    Sote tunajua katika ukanda wa Afrika, Nchi yetu ndio ilikuwa na mabando ya bei rahisi kuliko nchi yoyote hapa afrika (sub saharan) Hii iligeuka kuwa silaha kwa tasnia yetu ya muziki wa bongo flava katika sura ya bara la Afrika, Ilikuwa rahisi sana msaga sumu kupata views milioni kuliko msanii...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Baada ya as vita kutolewa ,mazembe naye keshapigwa goal

    As vita a.k.a utopolo de kinshasa wametolewa na ka team kageni cha south africa kwenye kombe la shirikisho kaitwacho Garrants, mechi ya kwanza kapigwa 2-1 huko south africa ,pale kinshasa katoka 1-1 Kwa sasa Giant jingine la congo liko kikaangoni nyumbani kwao lubumbashi , tayari wako nyuma kwa...
  5. JamiiForums Tanzania Spirit bora zisizo na harufu baada ya kutumia

    1. Valeur(valuu) hii ni ni chaguo langu ila shida koo kukauka usiku. 2. Smartgin hii ni nzuri sana hata ukinywa kavu haina shida,kasoro tu chipa yake ni plastiki. 3. Kiwingu hii naipitisha kwa 80% sababu haina harufu,hata uchanganye na safari lager asubuhi unaamka kama ulilalia maji ya bomba...
  6. JamiiForums Tanzania Serikali iangalie upya suala la usajili wa meli za kigeni baada ya kusitishwa mwaka 2018

    Usajili wa Meli (Ship registration) hiki ni kitendo Cha kuipa meli uraia katika nchi Fulani na kurusiwa kutumia bendera hiyo iwapo baharini. Meli iliyosajiliwa na Tanzania italazimika kufata Sheria na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mfano endapo meli itakiuka jambo lolote itaadhibiwa...
  7. JamiiForums Tanzania Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

    Dunia ina double standard sana. Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi. Mpaka sasa ni nchi kama Saba zinazoweza kuunda Aina hii ya nyuklia. USA haikufahamu kuwa Korea Kaskazini ina uwezo...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya utafiti wa siku nyingi hatimaye nimegundua hili...

    Wasalaam ndugu zangu. Baada ya kuingia chimbo la takriban miezi kadhaa nikifanya tafiti mbalimbali, ghafla nikajikuta navutiwa sana na utafiti juu ya hili jambo. Ni jambo moja nyeti sana ambalo watu wengi hawajalitilia maanani, si wanaume wala wanawake. Kwa kifupi wote hawajagundua juu ya jambo...
  9. JamiiForums Tanzania Baada ya video kuvuja utofauti wa Nigeria social network vs Tanzania waonekana

    Week hii zimevuja sex video za Msanii mkubwa Africans Nigerian singer Tiwasavage ,akiwa na boy friend wake. Hata hivo bado exactly ajajulikana nana kavujisha, licha ya video kurecordiwa na wao wenyewe. Baada ya kuleak video hizo blogs ,social network, fanpage zote zimekuwa zikimfariji star...
  10. JamiiForums Tanzania Baada ya Wamachinga, Nahisi mlioko Bondeni mtabomolewa. Jiandaeni!

    Wamachinga sasa wanataabika, Bondeni mtabomolewa muda siyo mrefu, jiandaeni. Tafuteni mbadala mapemaaaaaa.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Baada Ya 'Machinga' Kukiona cha Mtema Kuni..! Bodaboda Wa Mjini Kati Kaeni Chonjo

    Wahenga Wana msemo Wao... 'Mwenzio Akinyolewa Wewe chako Tia Maji'. Tamko la Kuondolewa Machinga Likiendelea kwa Kasi huku Mabanda Sehemu Mbalimbali Yakiendelea Kuvunjwa Jijini Dar Kwa Mzee Amos Makalla. Ni Vema Bodaboda wa mjini Kati Wajiandae Kisaikolojia maana Chochote Kinaweza Kutokea...
  12. JamiiForums Tanzania Ninatafakari sana juu ya upasuaji wa miili (marekebisho) ya akina dada matokeo yake miaka kadhaa mbeleni baada ya upasuaji huo

    Habari watu wangu wa nguvu..mnaendeleaje!(nimewahamu)😊 Aiseh mbona hamtoi mialiko ya hii public holiday jamani😉fresh lakini😁 Sawa turudi kwenye mada husika. Ni kwa muda kidogo nime kuwa nikitafakari tunakoelekea miaka kadhaa mbele watoto wetu watakutana na changamoto zipi Hapo baadae...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuona jinsi Chelsea ilivyoteseka kwa Brentford, nikaelewa Arsenal hakuwa na namna nyingine zaidi ya kufungwa!

    Brentford wanaupiga mwingi sana, has a wakiwa nyumbani. Watu wengi waliwadharau sana Arsenal walipofungwa 2 bila na Brentford mechi ya mwanzo. Kusema ukweli haka katimu kalikopanda daraja mwaka huu ni moto wa kuotea mbali! Mashabiki wa Chelsea walipata wakati mgumu sana kipindi cha pili...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya mitandao ya simu, Serikali ya Uingereza nayo ikaanzisha

    Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii. Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nini hasa tangible benefits tulizozipata kama nchi kwa kuingia mkataba na Barrick baada ya kuwatimua Acacia?

    Serikali ya awamu ya tano ilitumia nguvu na rasilimali kubwa ya nchi ikiwamo rasilimali fedha kuwatumia Acacia na kuingia mkataba na Barrick (wanaume) na tukapewa matumaini makubwa kuwa Barrick wataleta mapinduzi katika sekta ya madini hapa nchini. Sasa ikiwa ni takribani miaka miwili kama...
  16. JamiiForums Tanzania Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?

    Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Msomali kuchoma kisu mbunge wa Uingereza leo sijui jamii ya kisomali itaashi kwa amani

    Inakuwaje Wanajamvi! Imethibitika mwanaume MSOMALI mwenye miaka 25 ndo alimuua Tory MP Sir David Ammes kwa kuchoma kisu mara nyingi kifuani huku mashuhuda wakipigwa mayowe ya hatarii. Hii imepelekea jeshi la polisi Uingereza kupitia upya ulinzi wa wabunge na wanasiasa. Wasomali ambao idadi...
  18. JamiiForums Tanzania Muonekano wa Lengai Ole Sabaya baada ya kumaliza kifungo.

  19. JamiiForums Tanzania Muonekano wa Ole Sabaya 2051 baada ya kutoka jela utakuwa hivi.

  20. JamiiForums Tanzania Baada ya Sabaya kuhukumiwa una lipi la kusema kuhusu serikali iliyomteua na kutochukua hatua kwa matendo yote hayo?

    Mimi nasema Tanzania haitakiwi kuwa na viongozi wa tabia za JPM. Wewe je?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…