ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Saa 2:15 usiku Simba SC, kukipiga na Namungo FC. Je, ni timu gani kufuzu kwa hatua ya fainali? Kuungana na Azam Fc?
Ni kufa au Kupona mmoja Lazima aende kupambana na Azam FC.
Je, tutashuhudia Mikwaju ya Penalt Tena?
Tuwe pamoja
Ni kufa au Kupona mmoja Lazima aende kupambana na Azam FC.
Je, tutashuhudia Mikwaju ya Penalt Tena?
Tuwe pamoja