azam tv

Mohammad Babar Azam (Urdu: محمد بابر اعظم‎; born 15 October,1994) is a Pakistani cricketer who captains the Pakistan national team in limited overs cricket and is a top-order batsman.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Simba imesababisha watu wapoteze ajira zao, gharama za kuleta marefa wa nje, hasara kwa Azam tv na mashabiki na bado imecheza mpira mbovu sana

    Habari wadau. Ukweli simba ya msimu huu ilipaswa wachezaji wote na viongozi wachapwe viboko. 1. Simba kugoma tarehe 8 kwa sababu ya kipuuzi ya mazoezi ya nusu saa, imesababisha ma bosi wa bodi ya ligi wamejiuzulu. Wazee wa watu wamepoteza ajira yao. Watoto wao wanateseka sababu baba hana kazi...
  2. Erythrocyte

    Ni Aibu sana Azam TV kutelekeza wateja na kuangalia Mpira wa Simba na Yanga

    Sijawahi kuona ujinga kama huu tangu nianze kujihusisha na Ving'amuzi. Yaani hata huduma kwa wateja imefungwa Ni aibu sana!
  3. ngara23

    Tetesi: Rais Karia atatangaza kujiuzulu TFF ndani ya saa 24, sababu kuu ni kuikumbatia Azam TV

    Inasemekana mashambulizi yamemzidia President Karibu kutoka kila Kona, kuanzia serikalini, vilabu na wadau Kuna kampuni kubwa ya kurusha matangazo ya mpira imekuwa ikipiga hodi TFF kuomba kurusha ligi ya NBC PL, lakini Rais Karia amekuwa akikumbatia Azam media, japo hiyo kampuni ilitangaza...
  4. Just Pray

    AZAM TV washinda kesi, wataendelea kuonesha vitasa

    Mahakama Kuu ya Tanzania imeipa ushindi Azam Media dhidi ya Bondia, Amos Mwamakula aliyetakiwa kulipwa fidia ya Tsh. milioni 250 baada ya kushinda kesi ya uvunjifu wa haki miliki ya wazo lake ambayo ilitolewa na Mahakama ya Kivukoni. Ushindi huo wa Azam unakuja baada ya kukata rufaa kupinga...
  5. Bila bila

    Hili tangazo la Azam TV fainali ya 2 CAFCC limekosa uhalisia

    Tangazo ulitengenezwa kabla ya Mechi ya mkondo wa Kwanza May 17, 2025 shabiki akijigamba Morocco Kwa tutampiga na Kwa Mkapa hatoki Mtu. Sasa kwao Berkane kashinda na Mechi haiko Kwa Mkapa lakini linaendelea kutolewa siku Hadi siku. Huu ni ukosefu wa ubunifu.
  6. J

    Hii hapa Azam TV yenye malipo nafuu

    Habari zenu wakubwa! Kuna kitu natamani kuelimishwa, mimi ni mtumiaji wa Azam TV, huku kwetu tunauziwa Tsh 99,000 complete but without any package ang Tsh 55,000 Dekoda pekee without any package. Unalazimika kununua package ya Tsh 28,000 ili iweze kufunguliwa baada ya kununua. Ila sasa kuna...
  7. MwananchiOG

    Maendeleo ya Soka nchini yameletwa na Azam TV, wadhamini na wafadhili wa vilabu sio umahiri wa Bodi ya Ligi wala TFF

    Ninashangaa sana wadau wanaosifia kwamba maendeleo ya mpira wa Tanzania yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na TFF na Bodi ya Ligi, Jambo ambalo si kweli. Miaka kadhaa hapo nyuma timu nyingi hazikuwa na hali nzuri kifedha kiasi cha kushindwa kusafiri kwenye mechi za mikoani, Ilikuwa ni jambo gumu mno...
  8. Mlalamikaji daily

    Azam Tv nayo imegeuka Tawi la CCM !

    Kama unafuatilia Azam Tv kwa sasa.. Zile habari Hasi za chadema mfano wale G55 ndio wanazitangaza kwa urefu sana. Lakini habari zenye Chanya kwa chadema huwa wanazitangaza kwa ufupi sana au kuzikata kata.. Tena zile habari muhimu za Chadema hawazipost kabisa . Mfano tukio la kukamatwa kwa Mh...
  9. shonkoso

    Jamani kuna nini kinaendelea kati ya Azam TV na CHADEMA?

    Jamani kuna nini kinaendelea kwa anaejua kati ya Azam media na CHADEMA,naona wanareport taarifa hasi tu kuhusu CHADEMA, kama ni taarifa nyingine basi wanapewa muda mfupi mno,au CCM wameinunua kana walivyo fanya kwa channel 10,mwenye kujua tafadhali.
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Kwanini Tume ya Uchaguzi (INEC) inatangaza mambo yanayogusa wananchi kwa Azam TV pekee wakati wana chaneli yao ya YouTube?

    Wakuu Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, alipaswa kutoa taarifa muhimu kwa umma kuhusu masuala ya uchaguzi kupitia vyombo vingi vya habari ili kuhakikisha taarifa hizo zinawafikia Watanzania wote kwa uwiano na uwazi. Kwa kuwa uchaguzi ni suala...
  11. Dalton elijah

    TANZIA Mfanyakazi wa Azam Tv, Rahabu Fungo amefariki Dunia

    TANZIA: Uongozi wa kampuni ya Azam Media Limited, unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi wake, Rahab Fred Fungo, aliyekuwa Mhariri Mkuu Msaidizi kwenye Idara ya Habari na Matukio. Rahab amefariki dunia Aprili 5, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya...
  12. kaisar19

    Azam tv mnazingua

    Bila kupoteza muda asalaam alaykum Bwana asifiwe. Msiokua na mungu habari zenu. Azam tv mmekua na tabia ya kukata matangazo ya mpira yakiwa mubashara. Jambo hili linakera na kuzua sinto fahamu. Nikweli brand yenu ni kubwa fanyeni kazi kama ma professional. Mnakera mnakera mnakera
  13. S

    King'amuzi cha Azam tv

    Habar za jioni,nimepata changamoto king'amuzi kinaniambia "hakuna kituo" Msaada kwa anaejua tafadhali
  14. kipara kipya

    Mjadala uliopo ni camera za Azam tv kurudia na kushindwa kuona tukio lililofanya refa kutoa red card je camera hizo hazikuweza kuona tukio hili?

    Mjadala nimeusikia haswa amri kiemba akikazania kauli kuwa hata marudio ya camera za azam haikuona kitendo alichofanya mchezaji kupewa red card ...swali je hizi camera hazikuliona tukio hilo la baka kwenye picha..... napatwa na wasi wasi na ubora wa kamera za azam labda ni chache uwanjani au...
  15. Msela Wa Kitaa

    Hawa Watangazaji Wa Azam TV Wanaotangaza Mpira Wa Ujerumani Wanakuwa Tanzania Ama Huko Huko Ujerumani?

    Msaada tutani
  16. mdukuzi

    Azam FC inavyowapa taabu wachambuzi wa Azam Tv kuwatetea

    Wachambuzi na watangazaji wa Azam Tv wanapata taabu sana kuwatetea akina Faisal na wenzake, Timu inabebwa haibebeki wanaulizwa hiyo ni penati au la, wanapatwa na kigugumizi Kuwatetea Azam FC lazima uwe na sifa za uchawa
  17. THE BEEKEEPER

    Hawa azam tv wanashida gani lakini wanaiwaza Simba tu

  18. Sir John Deere

    Azam TV Max Kuna utapeli mwingi watu wanasajili kupitia decoder za watu wengine Free of Charge kuangalia vipindi bure azam Media wanahusika.?

    Habari ndio hiyo. Mjumbe hauwawi azam Media. Kuna malalamiko watu wanasajili azam max kupitia namba za visimbuzi ambavyo si vya kwao. Je taarifa hizi wanazipata wapi kama si kwa Wafanyakazi wenu? Naomba hili suala lichukuliwe siriazi huu ni wizi kama wizi mwingine wa kimtandao. Serikali naomba...
  19. Multi-skilled

    Azam tv mmeweza, lakini kuna shida kundi la vijana

    Azam TV Niwapongeze kwa kusaidia kuleta mapinduzi makubwa kwenye soka la Tanzania kwa sasa kila nyumba ina shabiki wa mpira kama si familia nzima, Mnastahili pongezi. Lakini hofu yangu ni juu ya kuongezeka kwa vijana wavivu wanaopenda kuangalia mpira muda wote wakimaliza NBC PL wanaenda Laliga...
  20. DELETED ACCOUNT

    Azam TV jiongezeni mtuwekee sauti bandia za mashabiki mechi ya Simba vs Constantine

    Tunakubali Simba tuko kifungoni ila Azam TV watakuwa wazalendo sana wakiweka sauti bandia za mashabiki ili kunogesha matangazo yao ya mechi hiyo. Wenzetu huko walikoendelea ndiyo wanafanyaga pale mechi zinapochezwa bila mashabiki. Magoli ya Ateba na Mpanzu (2) ya siku hiyo yanastahili kelele...
Back
Top Bottom