Habari zenu wakubwa!
Kuna kitu natamani kuelimishwa, mimi ni mtumiaji wa Azam TV, huku kwetu tunauziwa Tsh 99,000 complete but without any package ang Tsh 55,000 Dekoda pekee without any package.
Unalazimika kununua package ya Tsh 28,000 ili iweze kufunguliwa baada ya kununua.
Ila sasa kuna...