Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi 😂
Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.
Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta...
Katibu Tawala Msaidizi wa zamani wa Mkoa wa Kilimanjaro, Renatus Msangira (45), amepanda kizimbani akidai kwamba aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani humo, Lengai Ole Sabaya, hakupewa kibali chochote cha maandishi kwenda kutekeleza majukumu nje ya kituo chake cha kazi.
Msangira, ambaye ni...
JOHN LIMO WA TPC NA CHAKI WA COSMOPOLITAN
Picha ya kwanza ni ya John Limo na picha ya pili ni ya Chaki mbae katika miaka ya 1960 alikuwa golikipa wa Cosmopolitan na Timu ya Taifa na aliacha kucheza golini na kuja kucheza mbele kwa umahiri mkubwa sana.
Chaki ni huyo katika picha ya mwisho...
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Msaidizi wa kazi za ndani (House Girl) jina limehifadhiwa mwenye umri wa miaka (13) kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wa miaka minne aliyejulikana kwa jina la Natalia Essau.
Kwa Mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo mtoto huyo...
16 September 2021
Arusha, Tanzania
Mechi ya kujiweka sawa pre season kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani yatakayoanza tarehe 25 september 2021 league ya Tanzania na baadaye michuano ya kimataifa ya CAF Champion league. Mchezo wa kirafiki baina ya Simba SC dhidi ya Aigle Noir C.S ya...
Wakuu Wamachinga wa soko la Samunge maarufu kama NMC jijini Arusha wameieleza kilio chao kwa mbunge Mrisho Gambo cha kulipa ushuru wa shilingi 50 kila siku huku wanaowatoza wakiambiwa kuwa vitambulisho vya machinga vimezikwa na hayati Rais Dkt John Magufuli huko Chato.
Machinga wa soko hilo...
Habari wanafamilia wa JamiiForums.
Muda 3:48 am kishindo cha kasi sana/ tetemeko la ardhi limepita maeneo ya Arusha.
Je, kuna yeyote aliyepo Arusha amelisikia?
Kwa sasa anaye jua hizi bei na uhaba wa baadhi ya bidhaa atuambie tunaelekea wapi gesi Arusha ni pasua kichwa mtungi mdogo 25000, cement haipo na ukipata ni 18000, chumvi imepanda, mafuta ya kula lita 5 ni 30k, petrol na dieasel uko hatusemi, nondo nazo zimepanda bati ndio kasheshe kabisa...
POST: ASSISTANT LECTURER (MATHEMATICS) – 1 POST
POST CATEGORY(S): STATISTICS AND MATHEMATICS
EMPLOYER: Arusha Technical college ATC
APPLICATION TIMELINE: 2021-09-03 2021-09-16
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To teach up to NTA level 8 and may assist teaching in higher NTA levels
To...
Shule ya St Jude itakuwa na mnada wa kimya kwa ajili ya kuuza vitu zaidi ya 6,000, vipya na vilivyotumika! Hii si ya kukosa.
Tarehe: Ijumaa Septemba 17
Muda wa kuangalia: Saa 4 hadi 4:30 asubuhi
Muda wa mnada: Saa 4:30 hadi 5:30 asubuhi
Mahali: Shule ya St Jude, Kampasi ya Sisia, Moshono...
Mkurugenzi wa Mashitaka ya jinai nchini l (DPP)amemfutia Mashtaka ya uhujumu uchumi yaliyokuwa yakimkabili Mahakamani mhadhiri wa Chuo kikuu cha SAUT tawi la Arusha, Subilaga Masebo na wenzake wanne.
Akiwasilisha maombi ya kuondoa shtaka hilo, mwendesha mashtaka wa serikali Lusiana Shaban...
A-Town/ R-Chuga/ Geneva of Africa yote ni majina ya utani kuwakilisha Jiji la Arusha.
Jiji hili la tatu kwa maendeleo Tanzania utalii na usafi ni baadhi ya sifa zake za kuvutia.
Wenyeji wa Arusha ni Wamaasai, Waarusha, Wairaqw, Wameru, n.k
Hizi ni sifa 10 za kipekee zinazoitambulisha Arusha...
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wamelalamikia Halmashauri ya jiji la Arusha Kutokana na hatua ya kufunga maduka Yao wanapokuwa wakidai leseni au Kodi mbalimbali Jambo ambalo linakiuka maelekezo ya Serikali ya kutofunga maduka ya Wafanyabiashara.
Miongoni mwa Wafanyabiashara hao, Juma...
Habari wakuu!
Nahitaji kujua kama kuna usafiri wowote wa jioni au usiku wa kwenda Arusha!
Nimepata dharura nahitaji kusafiri jioni/usiku wa leo huko na nimezoea kusafiri na mabus ya kawaida tu! Nimefatilia Kilimanjaro Xprs safari za usiku wamesitisha kwa mda!
Msaada wenu tafadhali wapi naweza...
Naimani nimesomeka hapo, Kwanini nimechangua hayo maeneo kwasababu niwe karibu na kazini ili nisiwe natumia nauli....naweza nikapata Single Cha Bila choo ndani kuanzia Elfu Arobaini(40). Na chenye geti ndani kwaajili ya usalama zaidi.
Kukosewa kwa jina la tatu la mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha Lengai Ole Sabaya, kumesababisha malumbano ya kisheria na kuahirishwa kesi kwa muda.
Katika hati ya maelezo ya mashitaka, jina Sabaya limesomeka Sayaba na kusababisha kuibuka kwa malumbano ya...
Kwa wale wageni Arusha,
Kuna barabara nzuri sana kutokea Sakina hadi Tengeru na kuna mpango wa kuindeleza ifike Namanaga na Holili kwa upande wa pili
Pamoja na kupendezesha mji kwa kiasi kikubwa kwa mtazamo wangu kuna changamoto inayotakiwa kufanyiwa kazi.
Hii barabara pamoja na kuwa na njia...
Kesi ya Mgogoro wa Ardhi baina ya Kanisa la Christ Synagogue Ministries lililopo Sakina jijini Arusha na wasimamizi wa mirathi Bernadette Changuru na Samweli Changuru inatarajia kuanza kusikilizwa Desemba 6, mwaka huu.
Shauri hilo namba 57/2021 linasikikizwa na Baraza la Ardhi na Nyumba wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.