Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,703
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani atafanya Ziara ya kikazi Arusha kuanzia kesho Novemba 21, 2021.
Akiwa Arusha atawatunuku Kamisheni Maofisa Wanafunzi wa JWTZ Kwenye Chuo Cha Uongozi wa Kijeshi Monduli (TMA).
Mama Samia pia atahusika kwenye uzinduzi wa Hotel ya Nyota 5 iliyopo Jijini Arusha.
KaziIendelee.
Akiwa Arusha atawatunuku Kamisheni Maofisa Wanafunzi wa JWTZ Kwenye Chuo Cha Uongozi wa Kijeshi Monduli (TMA).
Mama Samia pia atahusika kwenye uzinduzi wa Hotel ya Nyota 5 iliyopo Jijini Arusha.
KaziIendelee.