arusha

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Arusha tunaenda na Ally Babu, Makonda NO

    Tuwe Makini na Makonda kafanikiwa kutumia ukuu wa mkoa kumsimanga na kumdhalilisha mbele za hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuchukua kiti cha ubunge wa Gambo. Arusha tutakwenda na ALLY BABU
  2. Mtu_imara

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza ferniture Arusha

    Habari Wana jf naomba kuuliza nataka kufanya io biashara ya kuuza ferniture Arusha Mimi ni fund sofa ,bed sofa na pia niuze magodoro.naomba ushauri Wana Arusha inalipa uko
  3. Mtu_imara

    JamiiForums Tanzania Biashara ya fenicha Arusha

    Habari Wana JF naomba kuuliza nataka kufanya hio biashara ya faniture Arusha. Mimi ni fundi sofa, bed sofa na pia niuzie magodoro. Naomba ushauri Wana Arusha inalipa uko
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mrisho Mgambo atupwa kwenye jimbo la Arusha Mjini, Makonda apita kwenye mchujo

    Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa mazuri. Ile battle ya Makonda na Gambo imeisha rasmi, Makonda kapita kwenye mchujo
  5. M

    JamiiForums Tanzania TZS520bn zimepelekwa Arusha kumalizana kabisa na tatizo la maji Arusha mjini ni lita 200milioni kila siku,Hiii ni miaka 4 tu sijui ikiwa 10 itakuwaje?

    "Kwa mujibu wa utafiti ulioongozwa na Benki ya Dunia ulikadiria kuwa kuwekeza dola 1 katika maji safi hutengeneza faida ya dola 4 ya kiuchumi kutokana na kupunguzwa magonjwa ya matumbo (diarrhea) na kupoteza uzalishaji kazi ", Huu Ni mfano mzuri wa jinsi huduma rahisi kama maji safi inavyoweza...
  6. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mrisho Gambo anastahili Ubunge Arusha, anazo sifa ,huyu mwingine ni mchonganishi na mfitini anatakiwa kupewa ubunge labda wa kuteuliwa !

    Nawakumbusha CCM kwamba kazi kubwa wanayoipigania makada , kwenda bungeni na kuikimbia mikoa walimokuwa wameteuliwa kuongoza ,kwa ngazi mbalimbali kama u dc na u rc ni kwenda kupiga meza bungeni ,na kujihakikishia miaka mitano ya kuwa active na kula posho !! Hakuna miujiza atakayoileta Paul...
  7. Mwanga wa Jua

    JamiiForums Tanzania Je, Wadau wa AFCON na CHAN mnajua kama Mama katoa TZS298bn kwaajili ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa “Samia Suluhu Arusha stadium"?

    Rais Samia ametoa TZS298bn kwaajili ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu “ Samia Suluhu Arusha stadium” sasa Mkoa wa Arusha kwenye ramani za AFCON rasmi. Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia, mkoa wa Arusha umefanikiwa kupata uwanja wa kisasa wa mpira ambao unajengwa katika...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hawa watu 4,5OO waliopata ajira kipindi cha Rais Samia baada ya kuufanyia Mkoa wa Arusha mabadiliko makubwa ya kiuchumi wasiache kumshukuru sana

    Rais Samia amejenga Viwanda vipya zaidi ya 1,000 Vikitarajiwa Kuchangia TZS40bn hadi TZS60bn ya Pato lote la Mkoa wa Arusha na kuajiri walalahoi 4,500. Mkoa wa Arusha umeendelea kuwa miongoni mwa vinara wa maendeleo ya sekta ya viwanda nchini, kufuatia utekelezaji wa sera thabiti za viwanda na...
  9. dist111

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Arusha Home Design ni Matapeli Wapya Mjini

    Naandika huu Uzi kama tahadhari, Hawa Jamaa " Arusha Home Design" wanaojinasibu kwa kutengeneza TV cases za kisasa na Majiko ya kisasa ni matepeli, Niliwalipa 2.5M wanitengenezee TV cases, huu ni mwezi wa 3 wameshindwa kukamilisha kazi Yao, Nikasema niwaase Wana Arusha na watanzania kwa...
  10. LESIRIAMU

    JamiiForums Tanzania Arusha Jiji amkeni

    Yule anae taka jimbo lenu na kusema yeye ni mkaazi wa Arusha sasa tafuteni anapo ishi. Ang'ang'ania nyumba ya Mteule mpya. Na mteule ana kaa Hotelini. Bado hamja shtuka tuu kwamba hapa hakuna mwakilishi?? Kwenye kuchagua mwakilishi tuache ushabiki, chagueni mtu sahihi. Hizi ni dalili za...
  11. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka saba aliyejinyonga Arusha Bongo Movie zalaumiwa

    Ndugu wa mtoto mvulana aliyejinyonga Arusha siku chache zilizopita, wanasema labda sababu ilikuwa ni kutazama filamu za kutisha Wazazi wangetuachia,Men of the Cloth,tutunze watoto,badala ya kuwapotezea muda watoto kwa kuwafundisha uongo
  12. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati ya makatibu wakuu yaridhishwa na ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini Arusha

    Kamati ya Makatibu Wakuu inayoongozwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, imekagua na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa wa mpira wa miguu katika eneo la Olmoti, jijini Arusha. Uwanja huo unatarajiwa kuwa miongoni mwa viwanja...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Neema mpya Arusha! Wananchi kicheko

    Mikopo ya 10% 👇🏽 Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi. Arusha OKTOBA Tunatiki ✅
  14. chiembe

    JamiiForums Tanzania GE2025 No Reform, No Election yapingwa kila kona, mchungaji ampiga marufuku Heche kuongelea mada hiyo msibani Arusha, Heche aufyata

    Hakika watanzania wameamka, wameona kampeni hiyo ni utapeli wa kisiasa wenye nia ya kuvuruga amani ya nchi. Baada ya kauli hiyo Heche na Golugwa walionekana kutahayari kama wanataka kukimbia
  15. M

    JamiiForums Tanzania ARUSHA YA KENANI Sekta ya Afya Yaimarika Chini ya Rais Samia

    Chini ya Rais Samia Upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi Mkoani Arusha wafikia asilimia 93. Rekodi za Kitaifa zinaonesha kuwa Tanzania imeongeza MRI kutoka 7 hadi 13, CT scan kutoka 13 hadi 45, Digital X-Ray kutoka 147 hadi 491 na Ultrasound kutoka 476 hadi 970. Hata hivyo Mkoa wa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora! Rais ametumia TZS99bn kujenga shule mpya 34, madarasa 834 mabweni 60 na maabara 78. Rais Samia amejenga shule mpya 27 za sekondari, shule mpya saba (7) za msingi na kujenga vyumba vya madarasa 843 na mabweni 60 ya wavulana na wasichana. Hata hivyo Mama Samia...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waratibu na Wasimamizi wa Uchaguzi Wapatiwa Mafunzo Maalum Jijini Arusha

    WARATIBU wa uchaguzi , wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo wamekutana jijini Arusha kwa siku tatu kwa ajili ya mafunzo ikiwa ni maandalizi ya kuwawezesha kutekeleza ipasavyo kazi na jukumu lililo mbele yao. Akifungua mafunzo hayo leo Mjumbe wa Tume huru ya...
  18. Mparee2

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha General tire - Arusha

    Hivi tukifufua kile kiwanda cha Matairi Arusha ambapo miundo mbinu ipo kwa pengine 50% na tukasema tairi zote za magari ya kawaida ya Serikali Mikoa yote wachukue pale na majeshi yetu pia wachukue pale.nk Bila kusahau soko la kawaida la secta binafsi; Hivi si tutakuwa tume serve mabilioni ya...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu ni mgombea wa Arusha, namuona miaka ijayo akikata mbuyu mkubwa na matawi yake

    Sabato Njema! Leo nilikunywa kinywaji cha Maono. Nikaona mwanaume Mmoja, ambaye atagombea mwaka huu Arusha, ingawaje watataka kumuengua lakini atapita. Huyu mtu atachukua shoka na kukata mbuyu mkubwa uliopembezoni mwa bahari. Ule Mbuyu uliowashinda wengi ukakatika. Akakata na matawi yake...
  20. Mributz

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kupata hati ya nyumba mkoa wa arusha

    Habarini Nimepata makazi apa mkoa wa arusha maeneo ya olasiti Tokea nijenge nina mwaka sasa Nilikuwa naomba msaada jinsi gani ya kupata hati ya nyumba Kama mtu ana mtu huku aliopo kwenye hiyo mission anisaidie kuniunga nae Thanks
Back
Top Bottom