arusha

  1. mager6

    Watabiri wa mambo Arusha nani atazama mjengoni?

    Siasa za bongo mtifuano upo baadhi tu ya majimbo Arusha , mbeya nk. Je Arusha nani ni nani? Gambo ccm? Makonda ccm? Lema chadema?
  2. Mindyou

    GE2025 CCM Arusha watolea ufafanuzi Diwani aliyedaiwa kuhonga Mchele na Sabuni ili apitishwe "Vikao vinaendelea"

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimetoa ufafanuzi kuhusu madai yanayomkabili aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mbureni, Faraja Maliaki, ambaye hivi karibuni ilisambaa video kwenye mitandao kijamii inayoonesha baadhi ya wanachama wa CCM kurudisha zawadi alizowapa wakidai kuwa ni rushwa ili...
  3. SSH2025_2030

    Wajumbe Arusha waapa kumchagua Cde Dkt Makonda

    Wajumbe Arusha M Wana Jambo Lao nalo ni Comrade Dr Makonda
  4. TheMaster

    GE2025 Arusha: Kula kwa Makonda Kura kwa Gambo

    Nikiwa na pitapita zangu jijini jana nikakutana na mama mmoja mwandamizi wa chama mjini Nikamuuliza kwahiyo mama ndo tunaenda kumpa Arusha mtu ambae hata haijui Arusha, hata miaka mitatu hana. Mama kaniambia KULA KWA MAKONDA, KURA KWA GAMBO
  5. disturbanced

    chef&procurement officers Arusha

    wakuu habari za muda huu...niende moja kwa moja mimi ni mjasiriamali nipo arusha.Naomba mwenye connection ya chef wa hoteli au officers wanaohusika na ununuzi wa chakula na mbogamboga mahotelini hasa arusha...binafsi nafanya biashara ya kuuza mbogamboga soko kuu arusha lakini pia...
  6. Just Pray

    GE2025 Cecilia Paresso achukua fomu ya kuomba CCM kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Mkoani Arusha

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha anayemaliza muda wake Cecilia Paresso amechukuwa fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Mkoani Arusha Paresso amekabidhiwa fomu hizo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Karatu hivi leo na Katibu wa Chama Cha...
  7. Valencia_UPV

    Wajumbe CCM Arusha Mjini huenda watatuletea Waziri Mkuu Mpya 2025-2030

    NI kama mmepewa Nafasi ya kutupatia Waziri Mkuu mpya 2025-2030. Pole Gambo, pole sana
  8. DR HAYA LAND

    Gambo usipoteze kiinua Mgongo chako , hauwezi kutoboa hapo Arusha

    Ulipozuia kutokujengwa hosptali ya mama na Mtoto kisa Lema ndo alileta wafadhili basi hiyo karma haiwezi kukuacha salama utafutwa katika ulimwengu wa siasa https://www.facebook.com/share/r/16zAdR6ndf/
  9. Just Pray

    GE2025 Festo Kiswaga, aliyekuwa DC Monduli mkoani Arusha, achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Isimani, Iringa

    Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Festo Kiswaga, amejiingiza rasmi katika mbio za kisiasa kueleka uchaguzi mkuu 2025 kwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Isimani, mkoani Iringa, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya...
  10. Jay One

    Makonda kuwa Mbunge - Arusha mjini namuunga mkono kwa asilimia mia, na atapita kwa kishindo

    Wana JF habarini..!! Sio kawaida yangu ku post post thread humu JF kwa hivi karibuni, ila nimekuwa mchangiaji mkubwa kwa njia ya kutoa maoni kwenye thread zingine nyingi tu, ila leo moyo wangu umenituma toka ndani kabisa, nipaze sauti hii juu ya Makonda Christian. Mh. Makonda, mimi kada wa CCM...
  11. and 998 others

    Wajumbe CCM Arusha wamtaka Comrade Dr Makonda

    Wajumbe kwa ujumla wao. Wamemuelewa RC na Mwenezi Mstaafu Comrade Dr Makonda. Isanga family
  12. Just Pray

    PreGE2025 Catherine Magige achukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia CCM, Arusha

    Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Catherine Magige amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Catherine amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumamosi, Juni 28, 2025...
  13. Parabolic

    ‘Wachokonozi’ wapandishwa kizimbani Arusha kwa ‘Makosa ya Kimtandao’

    Jackson Kabalo na Joseph Mrindoko wanaojulikana kama “Wachokonozi” jana Juni 27, 2025 walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na kushtakiwa kwa makosa mawili ya kuchapisha taarifa za uongo kinyume na kifungu namba 16 cha Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cybercrimes Act) na kosa la pili...
  14. PendoLyimo

    PreGE2025 Rais Samia ameweka alama kwa watumishi wa magereza Arusha, awagawia mitungi 528

    RAIS SAMIA AMEWEKA ALAMA KWA WATUMISHI WA MAGEREZA ARUSHA, AWAGAWIA MITUNGI 528 📌Nishati safi ya kupikia ni endelevu 📌Yaelezwa ni salama na mkombozi wa mazingira Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameacha alama mkoani Arusha kwa kugawa mitungi ya gesi 528...
  15. Stuxnet

    Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

    Kwa Daudi Bashite kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha sina shida kwa kuwa ni cheo cha uteuzi. Ila Arusha kuwa na Mbunge mwenye haiba ya Bashite ni kudhalilisha Jiji la Arusha na wananchi wake. Imagine mtu anapigiwa debe na WADUDU
  16. B

    Kihongosi na Arusha nako utafanya kama ulivyofanya Simiyu?

    RC Kihongosi akiwa RC Simiyu amelaumiwa sana na wananchi kwa kutumia muda mwingi kufanya siasa za sanaa za kurekodi clip na kumtumia Mh. Rais kwamba anafanya kazi nzuri ya kuwasaidia wananchi. RC Kihongosi amelaumiwa sana kwa kuua zao la pamba kwa kushirikiana na Waziri wa Kilimo Bashe kwa...
  17. The Father of All

    PreGE2025 Makonda atatoboa Arusha au ni yale yale ya Kigamboni tena?

    Mwanasiasa mchumia tumbo Daudi Bashite ajiitaye Paul Makonda anajulikana kwa tamaa na kupenda madaraka. Sasa ni rasmi kuwa atagombea Arusha. Kama anajiamini, kwanini asigombee kwao au hana kwao? Je Arushwa watakuwa mazezeta wamchague mtu muovu Je akibwagwa, atarejeshwa tena kama iivyotokea...
  18. McLaren

    Makonda: Sikutegemea kwamba leo ndo itakuwa ni siku yangu ya mwisho kuaga, namshukru sana Rais Samia

    Wakuu, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemshukuru Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini mara mbili ikiwemo kumpa nafasi ya kuwa Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na baadaye Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambapo Makonda amesema licha ya baadhi ya Watu...
  19. Carlos The Jackal

    Huwa nawaambia RAIS SAMIA Hasomi chochote anacholetewa Mezani, yeye ni kusaini tu , Aliyefukuzwa Ukurugenzi Arusha kwa Ufisadi, Ateuliwa Tabora !!

    Mnaona MTU wenu sasa anavyoendelea kadhihirisha kua Wanaomzunguka wanamchezesha kidalo Poo watakavyo nayeye anacheza ,huku wakimsifia Mamaa mamaaa unaupigaa unaupigaaa !!. Kuna mwaka alimtumbua Mkurugenzi wa Musoma Vijijin Bwana Panela Nitu Msongela , kwa Makosa ya Utumbuaji Fedha, Usimamizi...
  20. Knock life

    Hawa vilaza wanaogombania ubunge wa Arusha Mjini Makonda na Gambo je ni wazaliwa wa Arusha.?

    Kwanini hawa Vilaza Makonda na Mrisho Gambo wasiende kugombea ubunge sehemu walipozaliwa ? Nitashangaa Sana watu wa Arusha wakiwapa nafasi
Back
Top Bottom