Mahitaji ya ardhi yameongezeka wakati wawekezaji wanatafuta maeneo ya kupanda chakula cha kuuza nje, au kukuza nishati ya mimea, au tu kupata faida.
Hii hupelekea unyakuaji wa ardhi kutoka kwa jamii za hali ya chini ambao ni wamiliki wa asili wa ardhi hizo.
Unyakuaji wa ardhi huwaathiri...