anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Msichana wa kuuza Duka la Vipodozi anahitajika

    Anahitajika msichana wakuuza Duka la vipodozi. Vigezo: Awe na uzoefu wa kuuza duka la vipodozi Elimu atleast form 4, awe anajua hesabu vizuri. Kituo cha kazi kipo Tandika Dar es Salaam. Ambae atakua tayari anicheki PM.
  2. Mwizukulu mgikuru

    security anahitajika

    kituo cha afya mkarama kinatafuta security kwa ajili ya kuweka usalama eneo la hospital...sifa awe ni kidato cha nne na awe amepitia mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kwa mawasiliano zaidi nicheki pm
  3. chuma jr

    Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala

    Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala ya Tigopesa. Vigezo awe na uzoef kwenye kazi hiyo au uzoef katik tasnia ya uwakala. awe mtu wa kujituma na mwenye lugha nzuri kwa watu wote. asiwe mtu wa hasira au dharau. awe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe na kupangilia mambo katka ofisi...
  4. G

    Mke anahitajika

    Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati...
  5. X

    Mchumba wa kike anahitajika Tanga

    SIFA ZANGU Mwanaume mrefu Fut 5.6, Mweupe, Macho ya Brown, Mfanya Biashara Tanga Mjini, Nipo ( SINGLE ). SIFA ZA MCHUMBA WA KIKE. Awe mrefu wastani/ Mfupi sawa, Dini yoyote, Awe Tanga / Mkoa mwingine, Awe tarari kuanza Mahusiano mapya, Awe na upendo wa dhati. Kwa aliye tayari naomba Ani...
  6. N

    Dada wa kazi za nyumbani anahitajika

    Dada wa kazi za nyumbani anahitajika, nyumba ipo Kinondoni studio Dar es Salaam. Kuna dada mwingine yupo anahitajika mwingine wa kusaidiana naye. Kazi za kawaida za nyumbani na malezi ya Watoto. Kazi sio ya kuja na kuondoka ni ya Kuishi apo apo. Mshahara utakuwa makubaliano baina ya pande...
  7. K

    Anahitajika Dereva Bajaji Arusha

    Mimi Nina Bajaji RE 250 Nimeinunua Mwezi Wa 3 ipo Arusha, Kazi Zangu Nyingi Zinanifanya Nisiwepo Arusha Hivyo Usimamizi Unakua Mdogo Na Madereva Wakishajua Haupo Wansumbua kutoa Hesabu Ya Day Hivyo Nahitaji Dereva Anayetaka Bajaji Ya Mkataba 1) Awe Na Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA) 2)...
  8. Mjomba Nchumari

    Anahitajika Accountant

    Anahitajika Accountant VIGEZO -Uwe na degree or diploma kwenye accountant -Uwe mkazi wa Tanga Tuma Cv yako WhatsApp 0752965879(usipige sim)
  9. ikhlas

    Nahitaji kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa

    Kwema wazee, natafta kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa awe na sifa zifuatazo Chini ya Umri wa miaka 25 Awe mzoefu wa biashara ya juice ya miwa hasa eneo la Kariakoo na Mbagala Awe na ujuzi wa kuifanyia service mashine Awe ameshapoint eneo la kufanyia kazi lenye mzunguko mzuri ...
  10. The bump

    Fundi simu anahitajika, nina ofisi nahitaji fundi

    Fundi simu anahitajika kama kichwa ya habari inavyosema hapo juu,fundi ninae muhitaji ni fundi makini,anaejua kazi,anaejua majukumu ya kazi yake Maeneo yote mawili software na hardware. Japo matatizo ya software sio mengi lakini fundi mwenye anajua basic tips za kuondoa FRP,FLASHING TOOLS,nk na...
  11. H

    Mwenye cheti cha labourbase anahitajika

    Habari nahitaji mwenye cheti cha mafunzo ya labourbase tuwasiliane kwa namba hii 0626402722
  12. R-K-O

    Baba anahitajika sana kwenye familia, asipuuzwe! Nilikuwa naogopa kuwachezea mabinti nikisikia wana baba zao, nilijaribu kwa baadhi chamoto kilinikuta

    Nakumbuka hapo nyuma 2010 - 2015 kipindi nipo sekondari form 2 hadi 6 nilikuwa nipo active sana linapokuja suala la sketi, nilikuwa dunga dunga. Ila pamoja na utukutu wangu huu nilianza kuwaogopa mabinti ambao wapo karibu na baba zao. huko nyuma form 3 niliwahi kuwa kwenye penzi zito na binti...
  13. J

    Information technology Secretary Anahitajika

    Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika. Vigezo Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza Awe na simu ya smart phone Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer Awe anajua kutype kwenye computer Ofisi ipo Makumbusho Dar es salaam Kwa alikwepo tayari atume message inbox ikiwa na maelezo...
  14. emmarki

    Insemination Officer anahitajika haraka

    TANGAZO LA KAZI: Position: Insemination Officer QUALIFICATION: *Certificate/Diploma in Animal welfare and/or Laboratory technology or related activity *Recent Graduates are highly recommended * Tanzanian Key skills/knowledge. Experience in Animal Health, Behaviour and welfare Experience in...
  15. K

    Cashier Anahitajika Dar es Salaam

    Description To work as a cashier Minimum Education O-Level QUALIFICATION: Minimum NBAA DIPLOMA IN ACCOUNTS Send your CV and application letter to: teseandtecho@gmail.com Deadline; 10 JULY 2023
  16. A

    Anahitajika Mdada mwenye Uzoefu na Kazi za Microfinance

    Husika na kichwa Cha habari hapo Juu, anahitajika Mdada mwenye Uzoefu na Kazi za Microfinance. Sifa awe na Elimu Diploma ya Finance, Business Administration or Marketing. Awe na uwezo wa kufanya kazi bila kuhitaji kusimamia, Awe na uwezo wa Kutumia computer programm eg Excell , access, or...
  17. The bump

    Mdada wa kuuza duka na usafi anahitajika Kibamba Chama

    Majukumu yako Kuuza bidhaa dukani Usafi wa ofisi wakati wote Kuendelea na Mpesa na Tigo Pesa Mshahara 200,000 kwa mwezi Ofisi itatoa Mlo wa mchana Ofisi itatoa malazi (sehemu ya kuishi) kwa anaetokea Mkoani Wakati wote atakapokuwa mfanyakazi. ELIMU Uwe umefika Chuo chochote Usikie na kuelewa...
  18. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Ya Nywele

    NATURAL SKIN SOLUTION IMANI YETU Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili; Moja...
  19. Supu ya kokoto

    Mwalimu wa Tuisheni anahitajika Mkuyuni Mwanza

    Mwalimu wa Tuisheni masomo ya sekondari anahitajika maeneo ya Mkuyuni, Mwanza. Pm kwa yeyote anayefahamu au kuwa na Tuisheni center maeneo ya Mkuyuni.
  20. BRUNOPACINO

    Mfanyakazi anahitajika kwa kazi ya games ps4, ps3, na pc

    KAZI YA KUWEKA GAMES KWENYE PC, PS3 NA PS4 🚨 MFANYAKAZI MWANAUME (MALE ONLY) ANAHITAJIKA AWE NAVIGEZO VIFUATAVYO: 1. Awe Anaishi maeneo ya riverside, mawasiliano, sinza, mwenge au ubungo , 2. Awe na ufahamu wa kuweka game na kutengeneza mashine za ps4, ps3, na PC 3. CV yenye wadhamini halali...
Back
Top Bottom