anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    JamiiForums Tanzania Mke - Waziri Mkuu anahitajika kuisimamia serikali vema

    Wanawake wa JF, Husika na mada tajwa hapo juu. Waziri Mkuu anahitajika kwa minajili ya kuisimamia serikali ili kuleta amani, upendo, furaha na maendeleo ndani ya familia ambayo Mungu atatujalia kuanzisha pamoja. Naomba ifahamike kuwa nchi yeyote Ile duniaini ili ifanikiwe inahitaji serikali...
  2. Isaack Newton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpiga bass guitar anahitajika haraka Zanzibar

    Habari wakuu, tunahitaji mpiga bass guitar wa kila Jumapili kwenye ibada kanisani, muda kuanzia saa tatu mpaka saa tano na nusu. Masaa mawili na nusu kila Jumapili, kwa bei ya 15000/= kila Jumapili. Tupo Zanzibar, guitar lipo nyuzi tano ni jipya halijatumika hata kidogo. Atakaeridhia kwa hiyo...
  3. The bump

    JamiiForums Tanzania Cleaner/Mtu wa Usafi Ofisini Anahitajika

    Mdada/Mkaka (Sio Mmama/Mbaba) Anahitajika Kijana ambae ana muonekano wa Kijana atakae weza kufanya kazi ya Usafi na kusafisha Bidhaa zilizopo Ofisini. Majukumu Yake ni Kuhakikisha Sakafu Safi wakati wote,Viti vya wateja,Makabati vinafutwa Vumbi wakati wote. Ki ujumla Usafi Usafi Usafi Kauli...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dalali vyumba vya kupanga Tanga anahitajika haraka sana.

    Wakuu nahitaji chumba cha kupanga kiwe Tanga mjini mtaa wowote ule kiwe chumba kimoja ambacho kinajitegemea tafadhari niambie bei yake hapa baada ya hapo nitumie namba PM. Ova.
  5. The bump

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

    Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika. Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika. Nyumba imekamilika inayofaa...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Mke mwema anahitajika

    Sifa zangu Elimu: degree Kazi: nimejiajiri (phone accessories) Mahali Kanda ya ziwa Umri: 30 Dini: pentecoste SIFA ZA MKE Elimu: kuanzia form 4 Umri: chini ya 30 Dini: mkristo akiwa na vocal ya kuimba itapendeza zaidi Awe mrembo na mwenye shepu yakuvutia NOTE: ASIWE NA MTOTO KABILA LOLOTE...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mpenzi, Mume hapo baadaye anahitajika

    Habari ya wakati huu! Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi. Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na kama akiwa hana mtoto itakua vizuri zaidi, Kama anaye basi asizidi 1, awe mrefu ft 5.8 na...
  8. hoter.one5

    JamiiForums Tanzania Wenye vyeti vya mafunzo ya Labour Base wanahitajika 3

    Habarini wadau, Kuna mdau anahitaji mtu mwenye cheti cha labour base kwaajili ya kufungua nae kampuni ya labourbase contractor kama upo tayari njoo ni kulink nae wakiwaa tatatu itakuwa vizuri zaidi maana wadau ni wengi kulingana na soko la specialist contractors kwenye indutry ya ujenzi wa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Anahitajika kijana wa kusambaza ice cream

    Kichwa cha habari chajieleza, Anahitajika kijana mdogo na mchapakazi mwenye umri kuanzia 18-20 atakayefundishika kutengeneza bidhaa tajwa hapo juu, kisha kuzichukua na kuzipeleka eneo la mauzo. ipo mashine ya kutengenezea. Umri huu wengi hawatumii jf, lkn lengo ni kama wewe mwanajf una kijana...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msichana wa kuuza Duka la Vipodozi anahitajika

    Anahitajika msichana wakuuza Duka la vipodozi. Vigezo: Awe na uzoefu wa kuuza duka la vipodozi Elimu atleast form 4, awe anajua hesabu vizuri. Kituo cha kazi kipo Tandika Dar es Salaam. Ambae atakua tayari anicheki PM.
  11. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania security anahitajika

    kituo cha afya mkarama kinatafuta security kwa ajili ya kuweka usalama eneo la hospital...sifa awe ni kidato cha nne na awe amepitia mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kwa mawasiliano zaidi nicheki pm
  12. chuma jr

    JamiiForums Tanzania Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala

    Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala ya Tigopesa. Vigezo awe na uzoef kwenye kazi hiyo au uzoef katik tasnia ya uwakala. awe mtu wa kujituma na mwenye lugha nzuri kwa watu wote. asiwe mtu wa hasira au dharau. awe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe na kupangilia mambo katka ofisi...
  13. G

    JamiiForums Tanzania Mke anahitajika

    Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati...
  14. X

    JamiiForums Tanzania Mchumba wa kike anahitajika Tanga

    SIFA ZANGU Mwanaume mrefu Fut 5.6, Mweupe, Macho ya Brown, Mfanya Biashara Tanga Mjini, Nipo ( SINGLE ). SIFA ZA MCHUMBA WA KIKE. Awe mrefu wastani/ Mfupi sawa, Dini yoyote, Awe Tanga / Mkoa mwingine, Awe tarari kuanza Mahusiano mapya, Awe na upendo wa dhati. Kwa aliye tayari naomba Ani...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Dada wa kazi za nyumbani anahitajika

    Dada wa kazi za nyumbani anahitajika, nyumba ipo Kinondoni studio Dar es Salaam. Kuna dada mwingine yupo anahitajika mwingine wa kusaidiana naye. Kazi za kawaida za nyumbani na malezi ya Watoto. Kazi sio ya kuja na kuondoka ni ya Kuishi apo apo. Mshahara utakuwa makubaliano baina ya pande...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Dereva Bajaji Arusha

    Mimi Nina Bajaji RE 250 Nimeinunua Mwezi Wa 3 ipo Arusha, Kazi Zangu Nyingi Zinanifanya Nisiwepo Arusha Hivyo Usimamizi Unakua Mdogo Na Madereva Wakishajua Haupo Wansumbua kutoa Hesabu Ya Day Hivyo Nahitaji Dereva Anayetaka Bajaji Ya Mkataba 1) Awe Na Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA) 2)...
  17. Mjomba Nchumari

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Accountant

    Anahitajika Accountant VIGEZO -Uwe na degree or diploma kwenye accountant -Uwe mkazi wa Tanga Tuma Cv yako WhatsApp 0752965879(usipige sim)
  18. ikhlas

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa

    Kwema wazee, natafta kijana mzoefu wa biashara ya kuuza juice ya miwa awe na sifa zifuatazo Chini ya Umri wa miaka 25 Awe mzoefu wa biashara ya juice ya miwa hasa eneo la Kariakoo na Mbagala Awe na ujuzi wa kuifanyia service mashine Awe ameshapoint eneo la kufanyia kazi lenye mzunguko mzuri ...
  19. The bump

    JamiiForums Tanzania Fundi simu anahitajika, nina ofisi nahitaji fundi

    Fundi simu anahitajika kama kichwa ya habari inavyosema hapo juu,fundi ninae muhitaji ni fundi makini,anaejua kazi,anaejua majukumu ya kazi yake Maeneo yote mawili software na hardware. Japo matatizo ya software sio mengi lakini fundi mwenye anajua basic tips za kuondoa FRP,FLASHING TOOLS,nk na...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Mwenye cheti cha labourbase anahitajika

    Habari nahitaji mwenye cheti cha mafunzo ya labourbase tuwasiliane kwa namba hii 0626402722
Back
Top Bottom