chuma jr
Member
- Oct 17, 2015
- 84
- 133
Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala ya Tigopesa.
Vigezo
Kama upo tayar na umekidhi vigezo Basi tuma ujumbe kwa namba hii 0627218573 sms za kawaida na whatsapp tu.
Vigezo
- awe na uzoef kwenye kazi hiyo au uzoef katik tasnia ya uwakala.
- awe mtu wa kujituma na mwenye lugha nzuri kwa watu wote.
- asiwe mtu wa hasira au dharau.
- awe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe na kupangilia mambo katka ofisi.
- Awe tayar kuingia ofisini siku zote mpk jumapili.
- Awe na uwezo mzuri kwenye mahesabu na kusimamia mahesabu ipasavyo.
- Uwezo wa kutumia computer vizur utakuongezea thamani.
- Awe anatokea maeneo ya karibu na Buguruni ilipo ofisi.
Kama upo tayar na umekidhi vigezo Basi tuma ujumbe kwa namba hii 0627218573 sms za kawaida na whatsapp tu.