anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Strictly Syrup

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 🚨FREELANCE TASK🚨 Mtaalamu wa kutengeneza 3D models anahitajika

    Salaam, Kama una uwezo wa kutengenenza 3D models unahitajika kuna task inatakiwa kufanyika, na malipo utapata baada ya kazi. Na kama utafanya vizuri, utakuwa unapewa task za mara kwa mara. Hii siyo ya kukosa. Kama una skills hizo, karibu PM.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Programmer/ Mtaalamu wa java EE anahitajika!

    Habari zenu wana jamvi. Nahitaji programmer/ mtaalamu mbobefu wa Java EE kwa ajiri ya kunisaidia kwenye moja ya projects ambazo ninazo. Ni short term contract na tutalipana according to makubaliano. Kwa kifupi nature ya kazi ni ku-customize mfumo ambao upo na unatumika tayari na taasisi...
  3. DEFENDAX

    JamiiForums Tanzania SERIOUS: Mchumba (mwanamke) anahitajika

    Mimi kijana mwenye umri wa miaka 26 Nimejiajiri, nina biashara inayoniingizia kipato kila siku Rangi - Maji ya kunde Urefu - Kawaida, siyo mrefu sana wala siyo mfupi Sifa za ninaemuhitaji, awe ni mwanamke mweny sifa hizi; Umri angalau kuanzi miaka 25 kushuka chini Mweusi, akiwa maji ya kunde...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Fundi wa samani za ndani anahitajika

    Wanahitajika mafundi furniture watatu wenye uzoefu. Eneo la kazi Ni Kigamboni Dar es Salaam. Sifa Nidhamu ya kazi Msikivu Mkazi wa Dar
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi: Anahitajika Afisa Masoko na Mauzo (marketing & sales) - Mwanza au Dar es Salaam

    Hello! Wana JF. Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili lipo kwenye attachment.
  6. Namche Bazar

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa Chekechea anahitajika.

    Habari za leo? Mwalimu wa Chekechea ya English Medium (shule ya awali) anahitajika kwenye shule iliyopo Kilapula,Tanga. Anahitajika mwalimu mwenye taaluma ya ualimu na mzoefu na watoto. Mwenye sifa tajwa tuwasiliane PM.
  7. James_patrick_

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kuhitaji dereva mwenye sifa nzuri, napatikana

    Habari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari. Kwa sasa fani yangu ni udereva ambao nimeanza tokea 2014, na nimefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu, kitu ambacho...
  8. mitindo huru

    JamiiForums Tanzania Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    IVF kirefu chake ni In Vitro Fertilization. IVF ni jambo la kurutubisha kwa kuunganisha mbegu za uzazi za mwanamme na yai la uzazi la mwanamke maabara, baada ya hapo zoezi linalofatia ni kupandikiza ujauzito kwa mwanamke kwa njia ya sindano kisha ujauzito utaendelea kukua kama kawaida kwa mda...
  9. Investaa

    JamiiForums Tanzania App and Laravel Developer anahitajika haraka. Awe Dar

    Habari wataalam, husika na kichwa cha habari hapo juu. Uwe unajua android sawa sawa bila kusahau laravel framework. NJOO PM, UWE DAR MAANA NATAKA NIONANE NA WEWE LEO LEO.
  10. Azim Sokoine

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtu kwa ajili ya kazi za miamala

    Habari wakuu, Anahitajika mtu kwa ajili ya kazi za financial transatcions awe mwanamke eneo la kazi ni Dar es Salaam.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Kazi, Mtu 1 Anahitajika/ Malipo 1500/day

    Habari zenu ahsanteni wote mliokua interested na thread hii😊, nimerudi kuwajulisha tayari nimeshapata mtu. Kwa ambao mme ni dm will consider you kama ikitokea kazi nyingine, til next time💯
  12. KISUNZU YP

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Muuzaji wa Duka la Dawa Muhimu (DLDM)

    Habari za muda huu wadau. Anatafutwa mtu wa kuuza duka la dawa muhimu. SIFA Awe na ADO Awe mwaminifu Awe mwadilifu Awe na ujuzi wa kutoa dawa kwa usahihi Sehemu ya kazi ni Sikonge - Tabora Siku za kazi ni Jumapili - Ijumaa Mawasiliano 0620860602 0621601703 0744200166 0764601703
  13. Equation x

    JamiiForums Tanzania Bingwa wa 'software' anahitajika

    Habari wakuu? Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza software ya 'animation', yaani ya kutengeneza 'video' za katuni. Hiyo 'programme' iwe na angalau sifa hizi:- Iwe ni rahisi kutumia Iweze kutumia lugha mbili kiingereza/kiswahili Iweze kutengeneza 'character' wa aina yoyote 'Back ground' iwe...
  14. saemonity

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa MATLAB anahitajika

    Peleni na majukumu. Natatafuta mtu mwenye ujuzi na programu ya MATLAB, sana sana kwenye Signal processing. Lengo ikiwa ni kutengeneza project. Kama unaujuzi huo na unaweza kuniongoza kujenga project kwenye programu husika naomba uni PM, malipo yapo.
  15. T

    JamiiForums Tanzania MWALIMU WA CHEKE CHEA( AWALI) ANAHITAJIKA

    mwalimu anahitajika mwenye sifa kuu zifuatazo *elimu ya cheti au diploma *awe na uwezo wa kuwafundisha matukio watoto ya kwenye mahafari( garaduation) *awe na uwezo wa kufundisha masom ya baby mpaka pre unity *mshahara ni maelewano *simu 0686138399 *eneo ni dar- kinondon- kata ya kawe.
  16. enelisamwakapala

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa Chemistry na Mathematics anahitajika

    1.Anahitajika mwalimu anayeweza kufundisha o level Chemistry na Mathematics 2.Starting salary 400,000/= wakati wa probation ya miezi mitatu 3.Shule iko kibaha 4.Nitumie Cv yako inbox
  17. RingaRinga

    JamiiForums Tanzania Mchoma chapati anahitajika

    Ndugu habarini. Nina kamgahawa kangu. Nahitaji kijana wa kike au kiume kwa kazi ya mgahawa. Mwenye uwezo wa kuchoma chapati zilizochambuka (zisizo na mafuta mengi), mwaminifu, itapendeza zaidi kama anaweza pia kupika wali mzuri sufuria kubwa kuanzia kilo kumi na mapishi mengine. Malipo...
  18. makaveli10

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtaalamu (mganga) wa kumgandisha mwizi na mali aliyoiba sehemu alipoibia

    Ndugu zangu nimekwama, tena nimekwama haswa. Nimegadhibika pasina mfano 😠😡, mimi si mtu wa kwenda vilingeni ila kwa hili Mola wangu anisamehe sana. Shambani nina minazi takribani 100 ila siambulii kitu, Hawa waduwanzi naona sasa wanaleta mazoea yasiyovumilika. Zamani kila baada ya miezi mitatu...
  19. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, anahitajika minning engineer haraka sana.

    Taarifa ya ajira anatakiwa mining engineer haraka sana eneo la kazi ni sumbawanga. Mwenye sifa tuwasiliane bila kuchelewa uingie kazini.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Graphics designer anahitajika haraka

    Sifa Uwezo wa kuandaa matangazo ya video, animations, posters, banners, n.k Moyo wa kufanya kazi ya kujitolea Kituo cha kazi itakuwa Goba, Dar Es Salaam Hata akitaka kufanyiakazi nyumbani kwake/kazini kwake ili Mradi malengo ya kampuni yatimizwe kwa- wakati Mshahara ni TZS 300,000 kwa- mwezi...
Back
Top Bottom