anahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Partner Anahitajika Katika Mradi Wa Mafunzo Ya Sabuni Papo Kwa Papo

    Asilia Natural Cosmetics tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika kuendesha mafunzo kwa vitendo ya bidhaa za nyumbani. Na sasa tumekuja na formula rahisi ya kuwezesha uzalishaji wa sabuni ya kipande papo kwa papo bila kusubiri masaa 24 wala kutumia jiko, wala kutumia mashine. Hivyo, tunahitaji...
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Secretary Wa kupiga na kupokea simu

    Habari wakuu Nahitaji secretary, jinsia yoyote ,umri wowote, mwenye uzoefu wa kupigia simu wateja, kupanga mikutano, kukumbusha madeni n.k. Anaweza fanyia kazi online, ila akiwa Dar au Kibaha ni bora zaidi. Piga 0713-039 875
  3. Planet Open School

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa Biology na Chemistry anahitajika Mwanza

    Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu. Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Mwalimu atakuwa na vipindi vitatu kila week kwa kila somo. Baada ya...
  4. Equation x

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

    Habari wakuu, Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email: businessideas2f@gmail.com ,mwisho wa kutuma ni tarehe 30/09/2021; malipo kwa mwezi yataanzia 250,000/=...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Indices trading partner / investor anahitajika

    Habarini Wana jukwaa Nahitaji investor serious awe na uelewa hata kidogo wa masuala ya online volatility index trading. Kiwango cha chini cha investor huyu kianzie Million 5. Nafanyia kazi mahala alipo yeye yaan nakuwa naye muda wote . Kiwango Cha chini Cha faida katika uwekezaji wake ni 30%...
  6. Black Bolt

    JamiiForums Tanzania PRE-FORM ONE: Mkopo au muwekezaji anahitajika kufanikisha Pre-Form One Programu

    Habari Tumefanikiwa kufungua kituo cha Tuition maeneo ya Charambe Majimatitu, mwezi ujao tunafanya programu ya Pre-Form One kwa wanaomaliza darasa la saba. Tumefanikiwa kuweka matangazo ya kitambaa na karatasi. Cost zilizobaki A) kwenda mashuleni (shule 5). B) Vipeperushi & T-shirt C)...
  7. NDORANGA

    JamiiForums Tanzania Kijana wa dukani (duka kubwa la jumla jumla) anahitajika

    Habarini wakuu, Nilikuwa nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji) - Ni duka la jumla lipo maeneo ya Gongo la Mboto VIGEZO Awe anajua kusoma, kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea) Jinsia yeyote Awe mkazi wa Dar-es-Salaam Awe na uzoefu wa kazi za dukani Awe mtiifu na...
Back
Top Bottom