Habari
Tumefanikiwa kufungua kituo cha Tuition maeneo ya Charambe Majimatitu, mwezi ujao tunafanya programu ya Pre-Form One kwa wanaomaliza darasa la saba.
Tumefanikiwa kuweka matangazo ya kitambaa na karatasi.
Cost zilizobaki
A) kwenda mashuleni (shule 5).
B) Vipeperushi & T-shirt
C)...
Habarini wakuu,
Nilikuwa nahitaji kijana wa kukaa DUKANI (uuzaji)
- Ni duka la jumla lipo maeneo ya Gongo la Mboto
VIGEZO
Awe anajua kusoma, kuandika na kuhesabu (kuanzia kidato cha nne na kuendelea)
Jinsia yeyote
Awe mkazi wa Dar-es-Salaam
Awe na uzoefu wa kazi za dukani
Awe mtiifu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.