Akili (Persian: اكيلي, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.
Amewataka:
: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
: Dorothy ni mke wao
: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.
: D oroth anasema nilikamatwa na...
afya
akili
baba mkwe
bishop
chanjo
dorothy gwajima
gani
gwajima
hata
inatisha
kukosa
kuvunjika
live
matokeo
mbunge
movie
mrembo
nchi
ndoa
nidhamu
roho
sababu
sana
ubaya
uongozi
waziri
waziri wa afya
Ukifunua vitabu vya sekondari kila definition utaona inaanza "it's greek Word" hata lugha rasmi ya Binomial nomenclature ni Greek tuseme Biology na sayansi kwa ujumla lugha yake ni Kigiriki.
Kwanini?
Asiilimia 70% ya wanafalsafa, Wanasayansi, Wagunduzi wote wanatoka Ugiriki. Kwa ufupi Sayansi...
Nimefanya uchunguzi binafsi, ukitaka kujua ukweli ingia kwenye dm za wadada kwenye mitandao ya kijamii kama facebook, insta, humu jf, uone wanaume tunavojichoresha na kujidhalilisha na kujipendekeza Kwa kuwatumia wadada sms 20 za kimapenzi kwa mpigo, yoote hiyo ili upate attention ya mdada...
Kuna jambo linatatiza bongo yangu kiasi cha kuisi kuna haja ya kuuliza kama wataalamu wanaweza kutupatia majibu kama kuna mahusiano ya ukaribu kati ya kupenda au kujisikia sana kufanya tendo la ndoa na IQ ya bongo zetu.
Katika utafiti wangu niliofanya nikiwa zangu sober huku mtaa wa sokomoko...
Nawasalimuni nyote wanamichezo. Kwanza kabisa mimi ni shabiki wa Simba kabisa ila kuna kitu hakiko sawa.
Sitaki kuongelea mambo yooote sababu hayataisha ila nalenga chanzo tu. Kumekuwa na hoja nyingi sana kuhusu Manara kuwa anafanyaje kazi simba huku akitangaza bidhaa za Azam, hilo lipo sahihi...
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga...
samahani kama nimetumia neno baya, lakini ukweli ndio huo, nimesikiliza na kusoma basdhi ya hoja na maoni ya wapinga chanjo, nimegundua taifa hili bado linamzigo wa ujimga kwa asilimia 90, soma baadhi ya sabanu zao
huyu yeye anaamini alinayechoma hiyo sindano ni ummy mwalimu, kwaiyo...
Askofu Gwajima yupo CCM lakini bado anazitumia akili zake pongezi kwake.
Hivi ndivyo inavyotakiwa. Lakini ukikuta mtu anashindwa kutumia akili zake ipasavyo ni kwasababu ya njaa.
Maombi yanaendelea kanisani kesho.
Nampoteza fulani kwenye ulimwengu wa siasa katika jina la Yesu.😂😂😂😂😂😂😂
Mtu...
kama sikosei hii kauli aliizungumza cyprian mulaga musiba, wakati ule taifa linapinga katakata uingizaji wa chanjo kwa amri kutoka juu,
watu wengi waliamini katika hili lakini kiuhalisia iyo ilikua ni elimu ya kijinga inayopanddikizwa kwa watanzania na matokeo yake ni haya tunayaona leo...
Ulemavu ni nini!Ni hitilafu ya Kidumu ambayo inaweza kumkuta mtu yoyote yule awe mtu mzima au mtoto kwa nyakati tofauti ambapo inaweza kuwa wakati wa kuzaliwa kabla na baada ya kuzaliwa
Walemavu ni kundi ambalo limetengwa sana na kusahaulika katika Jamii zetu ambapo watu wengi sana tumekuwa...
Simba ilipojitoa Kagame cup na kusema wanawapa mapumziko wachezaji ya siku 10 then wanaenda kambi Misri kulikuwa na kebehi za kutosha kwamba wamewakimbia Yanga ambao walisema watashiriki michezo hiyo inayoanza tarehe 1 August.
Cha kushangaza inasemekana watatoa mapumziko ya week mbili na...
Wakuu habarini!
Mi nasemaga kitu kimoja kama wewe ni boss mwenye kampuni ya toyota nitajishika na wewe boss ukipanda na mi napanda, ukitoa new fashion nami napita nayo nyuma yako, wabongo tunashindwaga hata kutembelea nyota.
Wewe kila fashion mpya pita nayo mbona watu wengi wanafanya hivo...
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata...
Katika mada iliyopita tulijaribu kuangalia ni jinsi gani jamii ina mchango mkubwa katika kuwasaidia watu wenye matatizo ya ugonjwa wa akili , pia tulijaribu kuonyesha ni kwa namna gani magonjwa ya akili hutokea na mwisho tuliona kwamba magonjwa ya akili sio ukichaa uliopitiliza tu bali magonjwa...
Ni katika kuadhimisha miaka 20 ya shirika la Haki Elimu.
Ameshauri watumishi wa serikali waachane na kasumba ya kuamini kwamba kuwa kwao katika utumishi serikalini basi ni wao tu wenye akili kuliko wananchi wa kawaida.
Martha Qoro (PhD) ameshauri juu ya kuongeza wigo wa kujifunza lugha...
Wazungu wana msemo kwamba "some people are so vain that they forget to be clever"
Ndivyo navyowaona Polisi wetu wa Tanzania. Yaani mtu mwenye tuhuma nzito za kutaka kuua viongozi, hadi unamkamata lazima uwe na ushahidi dhidi yake mzito. Sasa iweje unamkamata kwa tuhuma nzito kiasi hicho, halafu...
Labda watu hawaelewi maana ya Katiba au umuhimu wa Katiba ya nchi, au Katiba ya nchi ni kwa ajili ya nini na nani.
Lakini hakuna mtu duniani, kama ana akili timamu, atazuia wazo la kuboreshwa kwa Katiba ya nchi. Mtu anaefanya hivyo ni mwendawazimu, au hajui kazi ya Katiba ni nini, au utaratibu...
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya...
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro "Sheria iko wazi.
1. Awe raia halisi wa Tanzania
2. Umri
3. Diplomasia
4. Makampuni.
Lakini zaidi tunazingati mwombaji awe na Akili timamu na zaidi awe na uwezo wa kuimiliki na kuitumia silaha. Kuna mtu akifika miaka 50 uwezo...
Yani ukimuangalia humamlizi, kila kilichochake unakiona kizuri, unamuona ni mrembo kuliko wote, tatizo ni kua hizi hisia hazidumu kwa muda mrefu, i wish it could be that, life would be so wonderful.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.