Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
1. Huwenda wanaume wengi huingia ndoani bila kumjua kikamilifu mwanamke ni nani.
2. Wanawake pamoja na mafunzo mbali mbali wanayopitia bado hayajawafanya watambue mwanaume ni nani zaidi wanafundishwa jinsi ya kumtuza mwanaume kitu ambacho kikweli ni kidogo sana na ziada maana upendo hujiongoza.
Hivyo basi natamani kuwaambia kaka zangu kwamba licha ya kupewa karama ya uongozi na Mungu mwenyewe wengi wenu hawana maarifa ya kuwa viongozi.
Huwezi kuwa kiongozi bora bila kutambua aina ya watu unaowaongoza wajue kwanza kisha chagua mmoja muongoze.
Kuwajua wengine ni maarifa kujijua wewe hiyo ni hekima.
Kwa hiyo jambo la msingi ni Ufahamu (Maarifa) na hekima. Ukiwa na haya mawili utajua wapi useme nini na wapi ukae kimya wapi ufanye nini wapi usifanye lakini pia utakuwa na uwezo wa kujidhibiti hasira au maamuzi yoyote ya kijinga ambayo yanaweza kugharimu utulivu wenu.
Kinyume na hapo huo mnaoita upendo unaweza kugeuka matendo ya mateso lakini kubwa zaidi ni kutambuana kwamba mwenza wako ni nani ipi nafasi yake kwako
Kwanini uko naye, tafsiri ya upendo kwake ni ipi na vipi vyaweza kuwa vipaumbele vyake na mengine kama hayo.
2. Wanawake pamoja na mafunzo mbali mbali wanayopitia bado hayajawafanya watambue mwanaume ni nani zaidi wanafundishwa jinsi ya kumtuza mwanaume kitu ambacho kikweli ni kidogo sana na ziada maana upendo hujiongoza.
Hivyo basi natamani kuwaambia kaka zangu kwamba licha ya kupewa karama ya uongozi na Mungu mwenyewe wengi wenu hawana maarifa ya kuwa viongozi.
Huwezi kuwa kiongozi bora bila kutambua aina ya watu unaowaongoza wajue kwanza kisha chagua mmoja muongoze.
Kuwajua wengine ni maarifa kujijua wewe hiyo ni hekima.
Kwa hiyo jambo la msingi ni Ufahamu (Maarifa) na hekima. Ukiwa na haya mawili utajua wapi useme nini na wapi ukae kimya wapi ufanye nini wapi usifanye lakini pia utakuwa na uwezo wa kujidhibiti hasira au maamuzi yoyote ya kijinga ambayo yanaweza kugharimu utulivu wenu.
Kinyume na hapo huo mnaoita upendo unaweza kugeuka matendo ya mateso lakini kubwa zaidi ni kutambuana kwamba mwenza wako ni nani ipi nafasi yake kwako
Kwanini uko naye, tafsiri ya upendo kwake ni ipi na vipi vyaweza kuwa vipaumbele vyake na mengine kama hayo.