Binadamu wanachangamoto kweli, unamweleza shida zako ukifikiri atakusaidia ata kwa mchango kidogo; matokeo yake wanakushauri Mungu atakusaidia.
Sasa mtu ana njaa, hitaji lake kwa sasa ni chakula; sasa hapo Mungu atamsaidiaje, badala ya wewe kumuwezesha kula? Urafiki ni kutatua kero iliyopo, na...