MSAADA: Matibabu ya mgonjwa wa akili

Patandi

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
397
371
Wakuu heshima kwenu.

Naomba msaada wenu kuhusu matibabu sahihi ya ugonjwa wa akili na mahali yanapopatikana. Nina ndugu yangu alianza kusumbuliwa na ugonjwa huu tangu akiwa mdogo. Baada ya kutibiwa huku kijijini bila mafanikio alipelekwa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Pale Muhimbili alifanyiwa kipimo cha EEG na report yake ilisemahivi:

"The EEG tracing shows an abnormal background predominantly theta activity mingled with delta sharp complexes. The frequency range from 4.3 to 9.9Hz. Amplitude range from 38.2 to 70.6 uV. Photo-stimulation and hyperventilation provoked no further abnormal activity.

Conclusion: - EEG shows an abnormal backgound. Hyperventilation and Photic stimulation provoked no further abnormal activity. This is in keeping with seizure disorder."

Baada ya hapo ameendelea kutibiwa katika Hospital mbalimbali ikiwemo Muhimbili, Hospital ya Mkoa Iringa, Hospital ya Rufaa Mbeya,Bagamoyo Mental Health Facility, Korogwe na Mirembe National Mental Health Hospital.

Dawa ambazo amepata kuzitumia na baadhi anaendelea kuzitumia ni kama ifuatavyo; Haloperidol tabs, Carbamazepine tabs, Lagactil inj, Diazepam tabs na inj, Modical, Halotex tabs Tagretal tabs, Promethazine tabs n.k

Dawa hizo ameanza kuzitumia tangu mwaka 2007 akiwa na umri wa miaka 10 lakini mpaka leo hakuna mafanikio. Hali inazidi kuwa mbaya. Amekuwa na hasira nyingi, mkali, anapiga watu, anahararibu majengo na magari ya watu ya watu. Kwa ujumla amekuwa tishio kwa watu na vitu.

Tumejaribu kuonana na viongozi wa serikali na vyombo vya usalama ili aweze kupelekwa mahali ambapo atakuwa salama zaidi ili jamii na mali zao waepukane na changamoto wanazopitia lakini hatujafanikiwa.

Kupitia uzi huu tunaomba yeyote mwenye msaada wa aina yoyote ya kutuwezesha kupata mahali ambapo anaweza kwenda kupata matibabu ambayo yamponya na kuweza kuishi na jamii inayo mzunguka kwa amani atusaidie.

Muda aliokaa Mirembe wanasema kufuatana na kanuni zao unatosha na hawawezi kumpokea tena . Tufanyaje ili kunusuru maisha yake na ya jamii huku tunakoishi.
Tunatanguliza shukurani zetu.
 
Ni kwakuwa hatuna resources za kutosha lakini kwa maelezo yako huyu mgonjwa alitakiwa kuwa sehemu salama akiendelea na matibabu.
 
Wakuu heshima kwenu.

Naomba msaada wenu kuhusu matibabu sahihi ya ugonjwa wa akili na mahali yanapopatikana. Nina ndugu yangu alianza kusumbuliwa na ugonjwa huu tangu akiwa mdogo. Baada ya kutibiwa huku kijijini bila mafanikio alipelekwa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Pale Muhimbili alifanyiwa kipimo cha EEG na report yake ilisemahivi:

"The EEG tracing shows an abnormal background predominantly theta activity mingled with delta sharp complexes. The frequency range from 4.3 to 9.9Hz. Amplitude range from 38.2 to 70.6 uV. Photo-stimulation and hyperventilation provoked no further abnormal activity.

Conclusion: - EEG shows an abnormal backgound. Hyperventilation and Photic stimulation provoked no further abnormal activity. This is in keeping with seizure disorder."

Baada ya hapo ameendelea kutibiwa katika Hospital mbalimbali ikiwemo Muhimbili, Hospital ya Mkoa Iringa, Hospital ya Rufaa Mbeya,Bagamoyo Mental Health Facility, Korogwe na Mirembe National Mental Health Hospital.

Dawa ambazo amepata kuzitumia na baadhi anaendelea kuzitumia ni kama ifuatavyo; Haloperidol tabs, Carbamazepine tabs, Lagactil inj, Diazepam tabs na inj, Modical, Halotex tabs Tagretal tabs, Promethazine tabs n.k

Dawa hizo ameanza kuzitumia tangu mwaka 2007 akiwa na umri wa miaka 10 lakini mpaka leo hakuna mafanikio. Hali inazidi kuwa mbaya. Amekuwa na hasira nyingi, mkali, anapiga watu, anahararibu majengo na magari ya watu ya watu. Kwa ujumla amekuwa tishio kwa watu na vitu.

Tumejaribu kuonana na viongozi wa serikali na vyombo vya usalama ili aweze kupelekwa mahali ambapo atakuwa salama zaidi ili jamii na mali zao waepukane na changamoto wanazopitia lakini hatujafanikiwa.

Kupitia uzi huu tunaomba yeyote mwenye msaada wa aina yoyote ya kutuwezesha kupata mahali ambapo anaweza kwenda kupata matibabu ambayo yamponya na kuweza kuishi na jamii inayo mzunguka kwa amani atusaidie.

Muda aliokaa Mirembe wanasema kufuatana na kanuni zao unatosha na hawawezi kumpokea tena . Tufanyaje ili kunusuru maisha yake na ya jamii huku tunakoishi.
Tunatanguliza shukurani zetu.
Mkuu pole sana kw amdogo wako kuumwa na amradhi ya Wendawazimu hospitali wameshindwa kuweza kumtibia kwa sababu dawa wanazo mpa haziwezi kumponyesha .Majibu ya hospitali toak kwa EEG nimejaribu kuyatafsiri ni haya hapa chini:

"Ufuatiliaji wa EEG unaonyesha usuli usio wa kawaida hasa shughuli ya theta iliyochanganyika na mchanganyiko wenye ncha kali za delta. Masafa ya masafa kutoka 4.3 hadi 9.9Hz. Kiwango cha amplitude kutoka 38.2 hadi 70.6 UV. Kichocheo cha picha na uingizaji hewa mwingi havikusababisha shughuli yoyote isiyo ya kawaida.

Hitimisho: - EEG inaonyesha backgound isiyo ya kawaida. Uingizaji hewa hewani na msisimko wa Picha haukusababisha shughuli yoyote isiyo ya kawaida. Hii inaendana na ugonjwa wa kifafa."

Wanacho hisi hospitali mdogo wako ana maradhi ya kifafa wakati sio ukweli ana maradhi ya Wendawazimu kwamujibu ulivyoeleza wewe maelezo yako ninanukuu haya hapa ( Amekuwa na hasira nyingi, mkali, anapiga watu, anahararibu majengo na magari ya watu ya watu. Kwa ujumla amekuwa tishio kwa watu na vitu) Kwa Dalili hizo anayo maradhi ya wendawazimu na akitibiwa anaweza kupona maradhi yake. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia ndugu yako ili aweze kupona maradhi yake auguwe pole ndugu yako.
 
Mkuu pole sana kw amdogo wako kuumwa na amradhi ya Wendawazimu hospitali wameshindwa kuweza kumtibia kwa sababu dawa wanazo mpa haziwezi kumponyesha .Majibu ya hospitali toak kwa EEG nimejaribu kuyatafsiri ni haya hapa chini:

"Ufuatiliaji wa EEG unaonyesha usuli usio wa kawaida hasa shughuli ya theta iliyochanganyika na mchanganyiko wenye ncha kali za delta. Masafa ya masafa kutoka 4.3 hadi 9.9Hz. Kiwango cha amplitude kutoka 38.2 hadi 70.6 UV. Kichocheo cha picha na uingizaji hewa mwingi havikusababisha shughuli yoyote isiyo ya kawaida.

Hitimisho: - EEG inaonyesha backgound isiyo ya kawaida. Uingizaji hewa hewani na msisimko wa Picha haukusababisha shughuli yoyote isiyo ya kawaida. Hii inaendana na ugonjwa wa kifafa."

Wanacho hisi hospitali mdogo wako ana maradhi ya kifafa wakati sio ukweli ana maradhi ya Wendawazimu kwamujibu ulivyoeleza wewe maelezo yako ninanukuu haya hapa ( Amekuwa na hasira nyingi, mkali, anapiga watu, anahararibu majengo na magari ya watu ya watu. Kwa ujumla amekuwa tishio kwa watu na vitu) Kwa Dalili hizo anayo maradhi ya wendawazimu na akitibiwa anaweza kupona maradhi yake. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia ndugu yako ili aweze kupona maradhi yake auguwe pole ndugu yako.
Asante kwa yote Mkuu. Nawezaje kukupata ili aweze kutibiwa maana hali ni mbaya sana.
 
Back
Top Bottom