GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,681
- 109,092
Swali kutoka kwa Mtangazaji Abdulrazaq Majid....
Kitenge je, ni kweli Haji Manara juzi pale alijitokeza tu na mkampa Kipaza Sauti afanye kile alichokifanya au labda ni Tukio ambalo mlilipanga na mlikuwa nae Kimaandalizi?
Jibu la Mtangazaji Maulid Kitenge....
Ukweli ni kwamba Siku Moja kabla ya Tukio / Tamasha lile tulikuwa nae MC Mwenzetu wa Kigogo Sambusa Haji Manara katika Maandalizi yote yale hivyo hatukushangaa hata alipokuja japo naona kama vile TFF Wamekurupuka kuwaita Yeye ( Manara ) na Injinia Hersi kwani Sisi MC's Watatu Kitenge, Zembwela na Dakota tulifurahi pia Kujumuika na MC Mwenzetu wa Mtaa na Kigogo Sambusa Haji.
Taarifa: EFM Radio Sports Headquarters Asubuhi hii.
Haya wale Msio na Akili ( wenye Akili fupi ) karibuni tena muendelee Kuutetea Upuuzi wa Haji Manara, alichokifanya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na ilichokifanya pia Klabu ya Yanga kama Taasisi iliyo chini ya Mwamvuli wa Mama ( Mzazi ) TFF.
Kitenge je, ni kweli Haji Manara juzi pale alijitokeza tu na mkampa Kipaza Sauti afanye kile alichokifanya au labda ni Tukio ambalo mlilipanga na mlikuwa nae Kimaandalizi?
Jibu la Mtangazaji Maulid Kitenge....
Ukweli ni kwamba Siku Moja kabla ya Tukio / Tamasha lile tulikuwa nae MC Mwenzetu wa Kigogo Sambusa Haji Manara katika Maandalizi yote yale hivyo hatukushangaa hata alipokuja japo naona kama vile TFF Wamekurupuka kuwaita Yeye ( Manara ) na Injinia Hersi kwani Sisi MC's Watatu Kitenge, Zembwela na Dakota tulifurahi pia Kujumuika na MC Mwenzetu wa Mtaa na Kigogo Sambusa Haji.
Taarifa: EFM Radio Sports Headquarters Asubuhi hii.
Haya wale Msio na Akili ( wenye Akili fupi ) karibuni tena muendelee Kuutetea Upuuzi wa Haji Manara, alichokifanya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na ilichokifanya pia Klabu ya Yanga kama Taasisi iliyo chini ya Mwamvuli wa Mama ( Mzazi ) TFF.