Habari wadau.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri (hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Kwanini nasema wametuzidi akili?
Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine.
Leo nimetembelea shule ya msingi na sekondari inayoitwa Indian School iliyopo kurasini Dsm.
Dhumuni la kutembelea ilikuwa kujua utaratibu wao; mtaala gani wanafundisha na gharama za ada kama nikitaka mwanangu aende akasome hapo.
Baada ya kufika nilipokelewa na wahindi tupu. Yaani shule nzima kuanzia wanafunzi mpaka walimu ni wahindi tupu. Sikuona mwanafunzi mweusi hata mmoja.
Ada yake kwanza ni around milioni 10 kwa mwaka bila usafiri (hiyo chekechea tu na msingi madarasa ya chini). Na sylabus inayofundishwa ni ya India. Yaani mitihani wanayofanya hapo wanapomaliza ni mtihani wa taifa wa india. Ni sawa kuwe na shule inayoitwa Tanzanian school ijengwe india ama marekani then necta wawe wanapeleka mitihani yao ile ile inayofanywa na shule zote Tanzania.
Mazingira ya shule ni mazuri sana na hata macho yanatambua kwamba shule ni quality ya juu.
Maelezo yao ni kwamba shule hii imejengwa hapa dar es salaam sababu ya kusaidia indian expart wanaokuja na familia zao wasipate shida pa kusomesha watoto. Na mtaala wameweka wa india sababu ndio wameuzoea.
Nikawaza je wa Tanzania ama Serikali ya Tanzania tuna uwezo wa kuweka shule yetu ya necta nje ya Tanzania. Na mitihani tukawa tunawapelekea
Kwanini nasema wametuzidi akili?
Nasema wametuzidi akili sababu Kwenye hilo Jambo kuhusu elimu yao walilolifanya! Yaani kuweka mazingira ya kizazi chao kiendelee kupata Yale ya nchini kwao hali yakuwa wako nchi nyingine.