Uwekezaji wa DP world katika bandari zetu Tanzania, umepokelewa kwa mitazamo tofauti. Wengi wameonesha kutokubaliana nao kwa asilimia kubwa na kudai maboresho kadha wa kadha kwa manufaa ya nchi yetu huku wanaoupigia chapuo wakisema mkataba huo ni bora na utasaidia kuboresha utendaji bandarini na...
Habari ya majukumu wana JamiiForums,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, kuna waraka ambao umetolewa na wataalamu wa maabara kuhusu ajira zinazotolewa na serikali.
Binafsi Nimesoma na kuelewa lengo, pia naunga mkono hoja za wataalamu wetu.
karibuni kwa nyongeza ya maoni...
Habari wanaJF.
Kama kichwa kinavyosema, huwa naona ukitaka kwenda masters au postgraduate diploma ni lazima uwe na degree? Ukiangalia qualification za kujiunga zinafanana, ukiangalia namna ya usomaji chuoni kunafanana, ukiangalia kwenye prospectus vyuoni ni vitu ambavyo ni vinafanana kila...
Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Afrika ambazo, zina wimbi kubwa la vijana wasiokuwa na ajira hasa , wahitimu wa vyuo vya kati na vyuo vikuu. Jambo hili likionekana kuchochea sana vitendo vya kihalifu hasa, katika miji mikubwa kama Dodoma, Dar es salaam na Mwanza.
Sio kwamba...
Bila kujali Mkataba husika unasema nini kuhusu kulinda ajira za wazawa, lakini maadam tunaenda kuwakabidhi wageni watuendeshee bandari yetu, basi hilo nililolisema ipo siku mnaweza kulishuhudia kwa watoto ama wajukuu zenu au kwa watoto na wajukuu wa ndugu na jamaa zenu wakati huo nyie mkiwa ni...
Mageuzi katika bandari kupitia ushirikiano na DP World yataleta mabadiliko muhimu ambayo yataleta faida kubwa kwa uchumi na biashara. Baadhi ya faida hizo ni:
1. Kupunguza muda wa ushushaji wa makontena kutoka siku 4.5 hadi siku 2: Kabla ya mageuzi hayo, mchakato wa ushushaji wa makontena...
Hongereni wote mliopata mliopata ajira katika kada ya Ualimu na Afya ni wakati wa kwenda kulitumikia Taifa na kuwafuta machozi wale waliokuwa wanawategemea makubwa hasa baada ya kumaliza Elimu.
Lengo la uzi ni kuwaomba wale wote waliochaguliwa ajira serikalini na kwa hakika katika hao kuna...
Position: Engineer II (Environmental) – 1 Post
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To conduct environmental research on road maintenance and development works;
ii. To update the environmental management procedures to the roads sector;
iii. To conduct...
UTANGULIZI.
Licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali, wazazi, jamii, Asasi za kiraia, wadau wa Elimu, na taasisi za kidini katika kuhakikisha suala la malezi linakuwa jukumu la kila mtu katika jamii, suala hili la malezi ya watoto bado limekuwa na changamoto kubwa sana kutokana na...
Position: Post Legal Officer II – 2 Posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To review law, investigates facts, and prepare legal documents;
ii. To interpret laws related to Agency operations;
iii. To file pleadings in Court;
iv. To represent the Agency...
Position: Accountant II – 4 posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare Financial Reports;
ii. To prepare bank reconciliation;
iii. To record and processes financial transactions;
iv. To maintain and update the Fixed Assets Register; and
v. To...
Position: Post Procurement Officer II – 6 POST
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare estimates and budget for office supplies;
ii. To manage incoming and outgoing supplies;
iii. To maintain receipt and issue register;
iv. To manage stock;
v. To...
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,
Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?
Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa...
Reporting to: Head of Business Development – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The Purpose of the job is to be responsible for analyzing data and assessing risk using statistical models. Design and price insurance policies and use advanced statistics and modelling to...
Position: Claims Specialist - CIC (2288)
Reporting to: Head of Operations – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The purpose of the job is to provide and manage the claims strategic interface across all aspects of the business. The person will be responsible for handling...
Position: Head of Business Development - CIC (2286)
Reporting to: Managing Director – CIC
Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker
Job Summary
The Purpose of the job is to be responsible for proactively responding to identified business opportunities for all lines of business. To provide...
Kichwa cha habari: Ajiralink.com - Kuunganisha Vijana na Fursa za Ajira na Ukuaji wa kifikra na utendaji kwa vitendo.
Kwa kuzingatia vigezo na masharti yaliyotolewa, naomba kutoa andiko kuhusu wazo la Ajiralink.com, jukwaa litakalolenga kuondoa changamoto ya upatikanaji wa ajira, nafasi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.