Ukiandika CV hivi, ajira hukosi

Yohana Daniel

Member
Mar 18, 2018
59
24
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,

Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?

Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa ni mzigo kwa waajiri kusoma kitabu.

Naombeni ushauri wenu
 
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,

Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?

Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa ni mzigo kwa waajiri kusoma kitabu.

Naombeni ushauri wenu
We dogo jifunze kuandika kichwa cha habari kinachoendana na content! Hapa sio Facebook kuwa straight usaidiwe
 
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,

Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?

Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa ni mzigo kwa waajiri kusoma kitabu.

Naombeni ushauri wenu

Screenshot_20230609_100153_Chrome.jpg


Clickbait 🚮🚮🚮🚮🚮

Screenshot_20230609_095719_Chrome.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom