ujinga huu. Kwani mleta mada ana u special gani hadi akabwe . Kwa hyo ni vibaya watu kunyanyua vyuma?Wamekusikia
Ndo watakapojua😂😂Hawatasikia mpk wapapase shingo ya kiumbe kikubwa... Ila wasijiroge wakapapasa ya mjeshi..😅
Kwamba wanaokabwa wote ni watu special sio🤨ujinga huu. Kwani mleta mada ana u special gani hadi akabwe . Kwa hyo ni vibaya watu kunyanyua vyuma?
KARIBU SANANami naanza kunyanyua ngoma iwe droo.. mjini hapa..😂
acha kuwananga. Maana life huwa linabadilikaMkuu si vibaya...😂😅
Unawaongelea vijana gani hao wajinga wajinga wasiojitambua. Vijana wanaodhani Diamond kabahatisha maisha bila kujitoa. Kwa ufupi vijana wa Tanzania ni wajinga tena wakose ajira wajinga sana tena sana.Serikali fanyeni namna watu wapate kazi watu wameanza kunyanyua nondo huku mtaani!,punde si punde wataanza kusema na shingo zetu kwenye vichochoro.. watu watabanwa mbavu watoe vya watu! Mi sisemi mengi
Sasa jeNdo wale shingoni kwa watu wengine Sasa...?😂
Mkuu makasiriko sana yamekujaa polepole...Unawaongelea vijana gani hao wajinga wajinga wasiojitambua. Vijana wanaodhani Diamond kabahatisha maisha bila kujitoa. Kwa ufupi vijana wa Tanzania ni wajinga tena wakose ajira wajinga sana tena sana. Wengi hawataki kufanya kazi kutwa nzima Kushinda vijiweni na kugongea msosi kwa wazazi wao. Serikali inabidi ipitishe sheria ukifia 18 uondoke kwa wazazi wako.
kwamba wanaonyanyua vyuma ni kwa ajili ya kuwakaba shingo humanoid species kama mleta mada?Kwamba wanaokabwa wote ni watu special sio🤨