afya ya akili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Ungepata nafasi ya kurudi chuo ungesoma nini na kwanini? Unawashauri nini vijana wanaoingia chuo mwaka huu?

    Lengo ni kuwapa vijana picha halisi ya maisha? Vijana wengi wanaenda vyuoni kwa kufata mkumbo, wachache sana wanabahatika kujitambua mapema na kupata fursa, mimi binafsi niliajiriwa serikalini kama Mwalimu bachelor holder, then nikarudi veta kusoma umeme wa magari na kujishikiza kwa mafundi...
  2. JamiiForums Tanzania Waenda guest wana changamoto ya afya ya akili

    Miongoni Mwaa Dalili za Changamoto Ya Afya ya Akili Ni 1.kwenda Nyumba za wageni Wakati wewe Ni Mwenyeji. 2.Kutuma Na Ya Kutolea Ili Aje Uyo Unaekutana nae. 3.Kulalia Mashuka Ambayo Wengine Wameyatumia Na Kumwaga Uchafu wao. 4.Kujifutia Taulo Usoni Ambalo Wengine Wamejifutia Kwenye Makalio.
  3. JamiiForums Tanzania Ukosefu wa Kipato chanzo cha Changamoto za Afya ya Akili

    Umasikini wa kipato umetajwa kuwa kichocheo kikubwa cha migogoro katika familia na hatimaye kusabaisha msongo wa mawazo na changamoto za afya za akili. Hayo yameelezwa Agosti 6, 2026 katika mkutano wa tathini ya matokeo wa mradi wa unasihi wa busara, Faraja na Ustawi uliofanywa kwa miezi sita...
  4. JamiiForums Tanzania Tatizo la afya ya akili linavyomaliza wengi kimyakimya

    Hii gari imeonekana ikiwa imepaki pembezoni mwa uwanja wa hapa mtaani kwetu toka Jumanne ya wiki iliyo pita, mwenye gari hii alikuwa mdada. Huyu dada ilikuwa Kila siku saa mbili asubuhi anakuja na gari lake ana paki hapo anashuka na kiti chake anakaa hapo nje ya gari chini ya mti, halafu...
  5. JamiiForums Tanzania Deo Kisandu hayuko sawa, unaweza kucheka matendo yake kama civilian coin mwamba hayuko sawa

    Kwa bahati mbaya jamii yetu huwa inaridhishwa kuwa mtu ana shida ya akili hadi pale atakapo anza kuokota makopo ila akiwa ana act namna ambayo haieleweki na sio kama kawaida yake huwa tunachukulia poa tu. Huyu sio yule deo wa CDM na NCCR.
  6. JamiiForums Tanzania Kuna IDs ambazo unaweza kudhani wanafanya masihara lakini kiukweli wana viashiria vya issue ya afya ya akili. Msiwanyanyapae!

    Siko hapa kutaja mtu. Ila kwa bahati mbaya katika jamii zetu ukizungumzwa afya ya akili ni kama utoto wa mamaa hivi ila kiukweli vijana wana issues sana. Akili zimevurugwa kwa mchanganyiko wa mazito mengi sasa akiwa nyuma ya keyboard atayaachia yote bila break hana wakuongea nae mtaani, hana...
  7. JamiiForums Tanzania Walokole wengi wana magonjwa ya afya ya akili?

    Wanajukwaa sina mengi ya kueleza, lakini itoshe kusema hawa watu wanaosali makanisa ya kilokole kwa asilimia kubwa wanamatatizo makubwa ya afya ya akili! Mama yangu ni mlokole, Imagine back then 1998 aliachana na baba sababu baba kakataa kuokoka, baba kafanyiwa matukio mpaka akakimbia familia...
  8. JamiiForums Tanzania Jitambue leo: Tofauti kati ya kununua mali na kununua madeni

    TOFAUTI KATI YA KUNUNUA MALI NA KUNUNUA MADENI Watu wengi huamini kwamba kila wanachonunua ni mali, lakini ukweli ni kwamba si kila kitu unachomiliki ni mali. Baadhi ya vitu huingiza fedha mfukoni mwako, na vingine hutoa fedha mfukoni mwako kila siku. Mali ni kitu kinachokuongezea kipato au...
  9. JamiiForums Tanzania Naanza kujihisi siko sawa, nahitaji msaada wa Kisaikolojia?

    Nawaza makebo makubwa muda wote. Naanza kujihisi siko sawa. Je, naweza pata msaada gani kisaikolojia? Fikra zangu zimegeuka porno, pesa zangu zinaishia kwa milupo.
  10. JamiiForums Tanzania Unawezaje kufurahia watu kutekwa ,mauaji, watu kupotezwa?

    Kuna watu humu JF wana matatizo ya afya ya akili kabisa unakuta mtu anafurahia au kulinganisha Uhai wa binadamu na vitu unakuta mtu anafurahia mauaji, watu kutekwa kupotezwa huyu hawezi kua binadamu wa kawaida lazima ana matatizo ya Afya ya akili...
  11. JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Wafundishe watoto kuepuka gadgets, wajenge social skills za lazima

    Ushauri Dkt. Garvin Kweka kwa wazazi ili kuwasaidia watoto kukabiliana na msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili katika umri mdogo. Dkt. Kweka anashauri wazazi kuwafundishwa watoto kuepuka matumizi ya gadgets kwa muda mrefu ili wapate skills nyingine. Anasema mtoto anaweza kupata...
  12. JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Kuna mtu anafikiri bila yeye kazini hakutatokea chochote, ukimpa likizo anarudi kuwasalimia - Tambua pengo lako kazini linazibika

    Haya ni baadhi ya madini ya Dkt. Garvin Kweka, anayesisitiza umuhimu wa kuwa na social skills ili kusaidia kukabiliana na msongo wa mawazo na changamoto za afya ya akili. Anasema si vyema kukaa na maumivu au uchungu kwa muda mrefu, kwani huathiri afya ya mtu. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunaipinga Israel, tuache kutumia iPhone. Vinginevyo ni sawa na kulaani kitimoto ila tukijifungia vyumbani twala hadi kujilamba vidole

    Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel Hata iphone 17e chip yake kwa kiasi kikubwa sana imekuwa designed Israel, Mitandaoni imekuwa gumzo...
  14. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Inakuwaje wananchi wanachagua Jenerali Moses Ali ambaye nimzee na kuonekana ana changamoto ya afya ya akili!

    Hili limenisikitisha sana, nimeona video ya Mbunge mwenye umri wa miaka 87, Naibu Waziri Mkuu wa Kwanza, Jenerali Moses Ali, aliyetetea kiti chake cha Ubunge wa Jimbo la Adjumani West baada ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2026 akihangaika sana kuwasiliana na watu, lakini pia akionekana kuwa mwenye...
  15. JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume dhidi ya afya ya akili

    Kilio Kisichoonekana Afya ya Akili ya Vijana wa Kiume Katika dunia ya leo, kuna kilio kikubwa kinachotokea kila siku… lakini hakuna anayekisikia Ni kilio cha vijana wa kiume. Kijana wa kiume amefundishwa tangu utotoni kuwa mwanaume halisi halii, hasemi shida zake, haonyeshi udhaifu, na...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Dkt. Dugange (Miaka 3 bila Uhamisho), Kilio cha Watumishi, Afya ya Akili na Ndoa zilizo Hatarini. Nini Kifanyike?

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange, ametoa agizo kuwa waajiriwa wote wapya wa Serikali lazima wafanye kazi kituo kimoja kwa muda usiopungua miaka mitatu (3) kabla ya kuruhusiwa kuomba uhamisho, isipokuwa kwa changamoto za kiafya zilizothibitishwa na jopo la...
  17. JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Hisia Mseto (Bipolar Disorder): Elimu ya Kina kwa Watanzania na Wadau wa Afya ya Akili

    Siku ya Bipolar Duniani huadhimishwa kila mwaka mnamo Machi 30, tarehe ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mchoraji mashuhuri Vincent van Gogh, ambaye aligundulika baada ya kifo chake kuwa aliishi na ugonjwa huo. Maadhimisho haya yanatumika kama jukwaa la kimataifa la kuongeza uelewa, kuondoa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ipime afya ya akili yako hapa

    Mtu akipelekwa hospitali ya Milembe kwa mara ya kwanza, hasa akiwa na dalili za kuchanganyikiwa, hupelekwa kwenye chumba maalum. Ndani ya hicho chumba hakuna vitu vingi Ni ukimya tu na ukuta mmoja wenye picha hii. 👇 Picha yenyewe inaonekana ya ajabu kidogo… kama kitu kilichochorwa kwa namna...
  19. JamiiForums Tanzania Hatua Gani Zinachukuliwa Igundulikapo Tatizo la Afya ya Akili kwa Kiongozi?

    Hebu tusaidiane uelewa, nini kinapaswa kufanyika itokeavyo hayo? Viongozi ni binadamu kama mimi au wewe na hali hiyo yaweza kumtokea yeyote!
  20. O

    JamiiForums Kenya Afya ya Akili Katika Familia Migogoro Midogo Inageuka Mauaji

    Familia moja huko Tongaren Constituency, Bungoma County iko kwa maombolezo baada ya kijana wa miaka 24 kudaiwa kuuawa na ndugu yake wa miaka 21 following a dispute over gumboots. The deceased, Joshua Wafula Furaha, alichomwa kisu mara kadhaa kichwani, shingoni na kifuani, akapoteza damu nyingi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…